Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Janja...
Mimi natahadharisha serikali sijabagua mtu.

Sina uwezo wa kuzuia ujenzi wa shule wala kushika nafasi ya maamuzi Wizara ya Elimu.
kipindi cha Magufuli naona uliufyata now after Magufuli umeibuka tena na Lugha zako kali za kichochezi unaongea takwimu bila kuweka data na kuonyesha ulikozitoa
 
kipindi cha Magufuli naona uliufyata now after Magufuli umeibuka tena na Lugha zako kali za kichochezi unaongea takwimu bila kuweka data na kuonyesha ulikozitoa
Sijui Mamlaka zimelala huku watu Kama Hawa wakipanda chuki! Hakika anaidharaulisha dini yake!
Anasahau kuwa Kuna makuminya Shule na Vyuo vya Kaanisa vilitaigishwa na Serikali ya Awamu ya Kwanza kwa faida ya Watanzani wote Waislam na Wapagan
 
Sijui Mamlaka zimelala huku watu Kama Hawa wakipanda chuki! Hakika anaidharaulisha dini yake!
Anasahau kuwa Kuna makuminya Shule na Vyuo vya Kaanisa vilitaigishwa na Serikali ya Awamu ya Kwanza kwa faida ya Watanzani wote Waislam na Wapagan
hilo hawezi kuligusia mkuu huyu mzee si wa kupuuzwa inafaa achukuliwe atua
 
Historia iko sawa kabisa..na haina shida yoyote ndio mana inafundishwa mashuleni..wewe ndio unataka kutuharibia historia ya nchi yetu..kwa mlengo wako wa hovyo...hii sio sawa haikubariki..tulia ulee wajukuu mzee unazeeka vibaya..kubali tu huwezi pigana na kila kitu..siku zote kuna samaki wakubwa ndani ya bahari kukuzidi chamsingi ishi nao tu..maisha yaende.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kwanini hivyo vyuo,shule msijenge toka nyererealivyofariki mpaka leo?
Ndio ushangae..kipindi cha mwinyi mbona hawakutumia fursa hiyo..wana akaja JK hadi leo ssh bado wanalia lia kuonewa huruma..huyu mzee hafai anataka kupanda mbegu mbaya kwem3ye nchi yetu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Lombo,
Amefutwa katika historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika ingawa yeye ndiye aliyemtia Mwalimu katika uongozi wa TAA 1953 na 1954 TANU ikaundwa.
Hicho chama kilikua chake aakamuweka yeye nyerere awe kiongozi?..inamaana hakukua na uchaguzi wa wanachama kuchagua viongozi wao?...mjinga tu ndiye atakaye sikiliza huu upuuzi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Mzee kilizi jibu hoja acha kulia lia..tuzo hata wajinga hupewa..hujui kuna tuzo hadi za wacheza p**n.
Usizuzuke ha tuzo..jibu hoja usijifiche kwenye kichaka cha tuzo..na ubaguzi wako..chuki haitokusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ebu tukusikie..ulitakaje kwani?

#MaendeleoHayanaChama
 
kipindi cha Magufuli naona uliufyata now after Magufuli umeibuka tena na Lugha zako kali za kichochezi unaongea takwimu bila kuweka data na kuonyesha ulikozitoa
Sajo...
Si kweli unaweza ukapita humu utaona makala zangu.

Unadhani naweza kumuogopa Allah SW na nikamuogopa Magufuli pamoja na yeye?

Ungeweza ukaandika maneno hayo bila ya kuandika tusi na ningekuelewa.

Ndugu yangu hiyo ghadhabu inasababishwa na kitu gani?

Angalia post hiyo hapo chini na tarehe yake.

Si kana nakuwekea kukudhihirishia kuwa mimi ni mbabe.

Hapana.

Nimeweka kukufahamisha kuwa hukusema kweli.

 
sheria ya takwimu inasemaje? maana unaongelea takwimu bila kuthibitisha source ya kuaminika ya hizo takwimu zako
 
mtu yeyeto anayeipenda Tanzania lazima atagadhabika na uchochezi unaoufanya
 
Inspector...
Kitabu hakibadiliki kama kilikuwa cha kichochezi kilipochapwa 1998 bado ni cha kichochezi 2021.

Tunakwenda chapa ya tano.
Kitabu hiki kinauzika sana.

Kama unavyoona hapa JF ninavyosomwa na kitabu ni hivyo hivyo.
Mkuu, Mohamed Said!
Kikoje kwa bei?
 
Historia ipi? hii ya kuandikwa na Mohamed Said au kuna nyingine? Katika watu wote waliokuwemo Serikalini na TANU kwanini wabambikiwe wao tu? Tuwekee huo ushahidi wa kuonyesha kwamba walibambikiwa kesi FEKI.


Soma history vizuri..
Hawakutaka kupindua serikali ..
Walibambikiziwa kesi kwa kutofautiana na Nyerere....
Bibi Titi alipachikwa tu kwa kesi ambayo hata haijui..
 
Mkuu, Mohamed Said!
Kikoje kwa bei?
Reginald...
Bei ni Shs: 10,000.00.
Kipo cha Kiingereza na cha Kiswahili.

Nunua ukisome hiki kitabu kina mengi sana ambayo wengi hawakuwa wanayajua katika hitoria ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Nakushauri ununue cha Kiswahili kwa kuwa baada ya kutoka kitabu 1998 kabla Mzee Tewa Said Tewa hajafa aliniita nyumbani kwake akanipa faili.

Nilikuwa nimezungumza mengi na Mzee Tewa lakini alikuwa mengine hakuniambia.

Kilipotoka kitabu alibadili fikra akaamua kunipa hilo faili ili nisome yale ambayo yeye alifanya siri kwa wakati ule.

Hakuchukua muda baada ya kunipa lile faili Mzee Tewa akafariki dunia.

Mwaka wa 2002 ikachapwa tafsiri ya Kiswahili na humo ndimo nilipoandika haya niliyotoa katika faili la Mzee Tewa.



 
Mkuu, Mohamed Said!
Kikoje kwa bei?
Reginald...
Bei ni Shs: 10,000.00.
Kipo cha Kiingereza na cha Kiswahili.

Nunua ukisome hiki kitabu kina mengi sana ambayo wengi hawakuwa wanayajua katika hitoria ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Nakushauri ununue cha Kiswahili kwa kuwa baada ya kutoka kitabu 1998 kabla Mzee Tewa Said Tewa hajafa aliniita nyumbani kwake akanipa faili.

Nilikuwa nimezungumza mengi na Mzee Tewa lakini alikuwa mengine hakuniambia.

Kilipotoka kitabu alibadili fikra akaamua kunipa hilo faili ili nisome yale ambayo yeye alifanya siri kwa wakati ule.

Mwaka wa 2002 ikachapwa tafsiri ya Kiswahili na humo ndimo nilipoandika haya niliyotoa katika faili la Mzee Tewa.



View attachment 1991500
 
Mkuu, Mohamed Said!
Kikoje kwa bei?
Reginald...
Bei ni Shs: 10,000.00.
Kipo cha Kiingereza na cha Kiswahili.

Nunua ukisome hiki kitabu kina mengi sana ambayo wengi hawakuwa wanayajua katika hitoria ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Nakushauri ununue cha Kiswahili kwa kuwa baada ya kutoka kitabu 1998 kabla Mzee Tewa Said Tewa hajafa aliniita nyumbani kwake akanipa faili.

Nilikuwa nimezungumza mengi na Mzee Tewa lakini alikuwa mengine hakuniambia.

Kilipotoka kitabu alibadili fikra akaamua kunipa hilo faili ili nisome yale ambayo yeye alifanya siri kwa wakati ule.

Mwaka wa 2002 ikachapwa tafsiri ya Kiswahili na humo ndimo nilipoandika haya niliyotoa katika faili la Mzee Tewa.



View attachment 1991500
 
Mkuu, Mohamed Said!
Kikoje kwa bei?
Reginald...
Bei ni Shs: 10,000.00.
Kipo cha Kiingereza na cha Kiswahili.

Nunua ukisome hiki kitabu kina mengi sana ambayo wengi hawakuwa wanayajua katika hitoria ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Nakushauri ununue cha Kiswahili kwa kuwa baada ya kutoka kitabu 1998 kabla Mzee Tewa Said Tewa hajafa aliniita nyumbani kwake akanipa faili.

Nilikuwa nimezungumza mengi na Mzee Tewa lakini alikuwa mengine hakuniambia.

Kilipotoka kitabu alibadili fikra akaamua kunipa hilo faili ili nisome yale ambayo yeye alifanya siri kwa wakati ule.

Mwaka wa 2002 ikachapwa tafsiri ya Kiswahili na humo ndimo nilipoandika haya niliyotoa katika faili la Mzee Tewa.



View attachment 1991500
 
Mzee Said,tutakusaidia kuitangaza hii Injili,wahusika wakusikie. Haiwezekani unaandika Mambo makubwa hivi,yakapita hivihivu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…