Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Mnataka kujenga msikiti ktk shule hapo si mahali pake maeneo ya elimu itolewe elimu si pakujenga msikiti wala kanisa.
Ila udom ilizidi udini enzi hizo, hafu hizi mambo za dini mbona akiingia Rais mwislamu ndio zinaanza chokochoko, maana waja wamsagia kunguni mama wa watu, pia taasisi za umma why ujenge nyumba ya ibada ya aina moja tu wakati hyo ni taasisi ya umma ka si ujinga nini
 
Roho wa Mungu ananionesha MOd mmoja akitafuta sehemu ya kuunganisha uzi huu au aufute kabisa!

Ushindwe!

Mlianza jukwaa hili ili iwe ni Sehemu ya Mijadaka ya Wazi...mmeuacha uzi unaomshtumu mamaKabaka acheni na huu tumtetee!
 
Mleta mada naona ni wale ambao elimu kwao wanayopata ni ya madrasa tu huko kwingine hata uwasomeshe wanabaki na elimu ya madrasa tu ndio wanayoiamini

Serikali kwa taarifa yako ilishafuta mambo mawili makubwa unapoomba kazi hurusiwu kuandika wewe dini gani au kabila gani.

Sasa wewe mleta mada unaposema Kabaka alifukuza watumishi waislamu toka lini chuo kikuu Cha UDOM kinaajiri watumishi waislamu au wakristo.?

Kama waliondolewa ni kwa kuvunja maadili ya kikazi sio ya kidini hawakuajiriwa pale Kama waislamu au Maimamu wa misikiti .Uimamu wakatafute Bakwata sio vyuoni
 
Nakumbuka wakati nipo advance pale Ngudu secondary wanafunzi wa kiislam walipewa eneo wajenge msikiti wao wa mabati lakini baadae ikaja kuwa shida ata kwa wanafunzi wa kawaida kukatiza eneo lile maana walikuwa wanaona cha moto.

Mwishowe msikiti ulifungwa na hii nikaja kuona advantage ya kutoweka kabisa misikiti au makanisa shuleni ili kupunguza hizi migogoro
 
Wakawaulize TISS ,huyo mama wanamwonea,nasikia wao waislam walianza kujitwalia nasafi nyeti serikali iliposhtuka wakamwondoa mkuu wa chuo,alieletwa mpya wakamfanyizia navyosikia,hapo unataka wachukue hatua gani zaidi yakusambalatisha hako kakikundi
Aisee.
 
Mleta mada naona ni wale ambao elimu kwao wanayopata ni ya madrasa tu huko kwingine hata uwasomeshe wanabaki na elimu ya madrasa tu ndio wanayoiamini

Serikali kwa taarifa yako ilishafuta mambo mawili makubwa unapoomba kazi hurusiwu kuandika wewe dini gani au kabila gani.

Sasa wewe mleta mada unaposema Kabaka alufukuza watumishi waislamu toka lini chuo kikuu Cha UDOM kinaajiri watumishi waislamu au wakristo.

Kama waliondolewa ni kwa kuvunja maadili ya kikazi sio ya kidini hawakuajiriwa pale Kama waislamu au Maimamu wa misikiti .Uimamu wakaitafute Bakwata sio vyuoni
Kusema hujawahi kujaza maform ya kazini yanaonyesha dini yako?
 
Aise wasingeingilia UDOM kilikuwa kinakuwa a Muslim University. Walianza hadi kuwakamata mabinti wanaovaa nguo fupi!
Hili ni kweli Madam Aziza yule albino mzenj alianza hadi kuwa anawawinda mabinti mpaka town yani anawawinda hadi nje ya chuo akiwakamata wanafukuzwa.
 
Tatizo la waislam wakipewa uhuru sana wanajisahau sana...

Wanajiona wao ni kila kitu, wataanza sheria zao za kijinga..
Jiheshimu wewe, unataka na wao waruhusu ndoa za jinsia moja zifungwe kwenye Nyumba za ibada? hiyo ndio sheria ya akili?
 
Kusema hujawahi kujaza maform ya kazini yanaonyesha dini yako?
Hakuna

Hata Sasa kazi zote zinazotangazwa na serikali ingia online uombe hakuna popote kipengele kutakiwa ujaze wewe kabila gani au dini gani
 
Mleta mada naona ni wale ambao elimu kwao wanayopata ni ya madrasa tu huko kwingine hata uwasomeshe wanabaki na elimu ya madrasa tu ndio wanayoiamini

Serikali kwa taarifa yako ilishafuta mambo mawili makubwa unapoomba kazi hurusiwu kuandika wewe dini gani au kabila gani.

Sasa wewe mleta mada unaposema Kabaka alufukuza watumishi waislamu toka lini chuo kikuu Cha UDOM kinaajiri watumishi waislamu au wakristo.

Kama waliondolewa ni kwa kuvunja maadili ya kikazi sio ya kidini hawakuajiriwa pale Kama waislamu au Maimamu wa misikiti .Uimamu wakaitafute Bakwata sio vyuoni
😅😂
Mkuu huwa nikisoma pumba zako za kisiasa huwa najua pengine umejitoa akili kwa ajili ya tumbo tu !
Kumbe ni kweli wewe ni kilaza kiasi hiki!
 
Mleta mada naona ni wale ambao elimu kwao wanayopata ni ya madrasa tu huko kwingine hata uwasomeshe wanabaki na elimu ya madrasa tu ndio wanayoiamini

Serikali kwa taarifa yako ilishafuta mambo mawili makubwa unapoomba kazi hurusiwu kuandika wewe dini gani au kabila gani.

Sasa wewe mleta mada unaposema Kabaka alifukuza watumishi waislamu toka lini chuo kikuu Cha UDOM kinaajiri watumishi waislamu au wakristo.

Kama waliondolewa ni kwa kuvunja maadili ya kikazi sio ya kidini hawakuajiriwa pale Kama waislamu au Maimamu wa misikiti .Uimamu wakaitafute Bakwata sio vyuoni
Kwanini wasijenge msikiti nje ya chuo? ni mambo ya ajabu sn
 
Back
Top Bottom