Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Jones...
Mimi siko hapa kufanya ubishi.

Kazi niliyojipa mimi ni kusomesha yale yasiyofahamika.

Kwangu si muhimu sana uamini haya niandikayo.

Mradi nimelieleza na watu wamesoma mimi inanitosha.

Ulikuwa hujui sasa unajua.
No nilikuwa najua ila kwa namna ulileta wewe hakuna ubishi una agenda binafsi ambayo sio afya kwa taifa
 
May Day,
Hivi unajua Nyerere kaja Dar es Salaam hana ndugu wala jamaa? Unawajua waliompokea?
Mkuu, kwani Nyerere alikuja Dar kama Mkristu au kama mwanaharakati wa ukombozi wa nchi? Kwani kuna shida gani akipokelewa na wananchi wenzake, ambao wewe unawatizama kwa jicho la uisilamu? Achana na chuki chuki za kidini ndugu, wapnde watu wote ili hata unapowaacha watu duniani, wote au wengi waenzi kazi zako njema, na Mungu atakubariki kwa hilo
 
Mzee tupe ushahidi was wizi huu!
Lombo,
Mwandishi wa mswada ni Dr. Kleruu baada ya Abdul Sykes kujitoa katika mradi ule.

Huu mswada ulikaa Maktaba ya TANU toka mwaka wa 1963 hadi 1971 Ulotu alipochapa kitabu.

Katika watu waliokuwa wanajua kuhusu mswada huu ni Hassan Upeka Afisa Usalama wa Taifa.

Huyu Upeka ndiye alikuwa mwangalizi wa Maktaba hii na ndiye mwanzilishi wa Maktaba YA CCM Dodoma.

Wengine waliokuwa wanaujua mswada huu ni wanae Abdul Sykes.
 
Jones...
Mimi siko hapa kufanya ubishi.

Kazi niliyojipa mimi ni kusomesha yale yasiyofahamika.

Kwangu si muhimu sana uamini haya niandikayo.

Mradi nimelieleza na watu wamesoma mimi inanitosha.

Ulikuwa hujui sasa unajua.
Wanabodi wanalalamika hujibu hoja, huwa unaleta maelezo ambayo yapo nje ya maswali unayo ulizwa na mimi nilitaraji ujibu maswali yangu badala ya kuniambia hunilazimishi kuamini unachoandika.
 
No nilikuwa najua ila kwa namna ulileta wewe hakuna ubishi una agenda binafsi ambayo sio afya kwa taifa
Jones...
Ingelikuwa usemayo ni kweli ningeshashitakiwa mahakamani miaka mingi sana.

Kuwa nina agenda binafsi ni kweli.

Agenda yangu ni kuweka historia ya wazee wangu pale ilipostahili kuwepo.
 
Wanabodi wanalalamika hujibu hoja, huwa unaleta maelezo ambayo yapo nje ya maswali unayo ulizwa na mimi nilitaraji ujibu maswali yangu badala ya kuniambia hunilazimishi kuamini unachoandika.
Jones...
Najitahidi kujibu maswali kadri ninavyoweza ila wewe unataka nijibu upendavyo wewe.

Hao wanabodi siwaoni nakuona wewe tu hapa ndiye unataabishwa na historia hii.

Kuwa nje ya swali lako ungeshukuru kwani nakufunza mengi usiyoyajua.

Ulipata hata siku moja kujua kuwa hotuba ya TANU UNO 1955 alikuwanayo Abdul Sykes toka 1950?
 
Lombo,
Mwandishi wa mswada ni Dr. Kleruu baada ya Abdul Sykes kujitoa katika mradi ule.

Huu mswada ulikaa Maktaba ya TANU toka mwaka wa 1963 hadi 1971 Ulotu alipochapa kitabu.

Katika watu waliokuwa wanajua kuhusu mswada huu ni Hassan Upeka Afisa Usalama wa Taifa.

Huyu Upeka ndiye alikuwa mwangalizi wa Maktaba hii na ndiye mwanzilishi wa Maktaba YA CCM Dodoma.

Wengine waliokuwa wanaujua mswada huu ni wanae Abdul Sykes.
Kwa hiyo Mzee ...mimi.niridhike na haya maelezo kuwa ni Ushahidi,!?
Hata Kama ndivyo...hoja yangu ni kuwa ,Historia iliyiandikwa humo Ina mashiko!
Kuliko unavyotaka kutuaminisha wewe!
 
Jones...
Ingelikuwa usemayo ni kweli ningeshashitakiwa mahakamani miaka mingi sana.

Kuwa nina agenda binafsi ni kweli.

Agenda yangu ni kuweka historia ya wazee wangu pale ilipostahili kuwepo.
Swali lingine...hivi una maanisha nini unaposema...Wazee wako!?
Halafu kumbe hii ni ajenda Binafsi😄😄😄
 
Kwa hiyo Mzee ...mimi.niridhike na haya maelezo kuwa ni Ushahidi,!?
Hata Kama ndivyo...hoja yangu ni kuwa ,Historia iliyiandikwa humo Ina mashiko!
Kuliko unavyotaka kutuaminisha wewe!
Lombo,
Hapana usijitese bure kwa miaka mingi watu wameamini historia ya iliyoandikwa na Chuo Cha CCM Kivukoni.

Hapana ugomvi.

Wala hakuna anaekulazimisha lazima uamini historia niloyoandika kutoka Nyaraka za Sykes inayeleza kuwa kadi no. 1 ya TANU ni ya Julius Kambarage Nyerere, kadi no. 2 ni Ally Kleist Sykes, kadi no. 3 ni Abdulwahid Kleist Sykes, kadi no. 4 Dossa Aziz, kadi no.5 Denis Phombeah, kadi 6 Dome Okochi Budohi, kadi 7 Abbas Kleist Sykes nk.

Kuwa kadi 1000 za mwanzo alinunua Ally Sykes kwa fedha zake na ndiye aliyesanifu na kuzichapa Printpak wachapaji wa gazeti la Tanganyika Standard nk.

Hakuna wa kukushurutisha uamini haya.

Wala hakuna wa kukulazimisha kuwa baba yake Abdul Sykes ndiye muasisi wa African Association.

Unaweza hata kuamini kuwa watu hawa hawakupatapo kuishi Mtaa wa Kipata (sasa Mtaa wa Sykes).

Baba zangu wawili wamekulia mtaa huu nyumba ya babu yangu ikielekezana na nyumba ya Kleist Sykes.

Hawa kwangu ni wazee wangu wameniona nazaliwa nimekuwa wananiona na nimewazika makaburi ya Kisutu mimi mtu mzima.
 
Hear both parties mr Mohamed, we unahukumu pande moja tu? Je, kama hao waislam wenzako walikuwa na makosa ndio wasitimuliwe?
 
Swali lingine...hivi una maanisha nini unaposema...Wazee wako!?
Halafu kumbe hii ni ajenda Binafsi😄😄😄
Lombo,
Hakika ni agenda binafsi.

Walioanzisha African Association ni babu zangu na naweza nikakutajia kwa majina na wajukuu zao ni wenzangu tumekua sote hapa Dar es Salaam.

Walioasisi TANU akina Sykes ni baba zangu nk.

Haya ndiyo yaliyonifanya niijue historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Historia imeandikwa hawa wazee wangu wamefutwa wote.

Kwangu hiyo si historia ya TANU ninayoijua mimi binafsi.

Ndiyo nikaamua kuandika historia ya TANU kama niijuavyo binafsi.
 
May Day,
Hivi unajua Nyerere kaja Dar es Salaam hana ndugu wala jamaa?

Unawajua waliompokea?

Unadhani endapo wazee wetu wamgekuwa wabaguzi wa dini au kabila Nyerere angefika hapo alipofika?

Wewe unaridhishwa na hii hali ya leo katika mgawanyo wa fursa 20:80?
Wangekua wadini kama wewe Nyerere asingefika popote

Walimu waungwana

Wewe ni mbaguzi sana wa dini… na hiyo imeondoa integrity yako kodi kwamba your good knowledge and talent is a wqste

Utakufa mdomo wazi Kwa ubaguzi wako
 
Lombo,
Hakika ni agenda binafsi.

Walioanzisha African Association ni babu zangu na naweza nikakutajia kwa majina na wajukuu zao ni wenzangu tumekua sote hapa Dar es Salaam.

Walioasisi TANU akina Sykes ni baba zangu nk.

Haya ndiyo yaliyonifanya niijue historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Historia imeandikwa hawa wazee wangu wamefutwa wote.

Kwangu hiyo si historia ya TANU ninayoijua mimi binafsi.

Ndiyo nikaamua kuandika historia ya TANU kama niijuavyo binafsi.
Sawaaaaa

Walikua wadini kama wewe?

Je hakukua na wakristu?

Jitu gani kutwa kucha ni ubaguzi tu

Jifunge mabomu ujilipue basi
 
Sawaaaaa

Walikua wadini kama wewe?

Je hakukua na wakristu?

Jitu gani kutwa kucha ni ubaguzi tu

Jifunge mabomu ujilipue basi
Janjaweed,
Huu ni mjadala wa kistaarabu tunajadili mambo muhimu ya nchi yetu.

Mimi naeleza mambo niliyotafiti na kuandika na wengine wananihoji na najibu kadri ninavyoweza.

Unaniita mimi mbaguzi tena kwa jeuri na kuzungumza mabomu kuua watu.

Huu si mjadala wetu.

Mjadala ni kuwa kwa nini historia ya uhuru wazee wangu waliounda chama cha TANU majina yao yalifutwa?

Huna majibu basi hakuna haja ya kufokeana.
 
Wangekua wadini kama wewe Nyerere asingefika popote

Walimu waungwana

Wewe ni mbaguzi sana wa dini… na hiyo imeondoa integrity yako kodi kwamba your good knowledge and talent is a wqste

Utakufa mdomo wazi Kwa ubaguzi wako
Janjaweed,
Vipi nitakufa ajuaye Allah SW.
 
Kwenye mjadala huu hakuna ustaarabu wowote. Nyerere angeleta udini ninyi waslamu wangepata elimu kweli ? Huna lolote udini unakusumbua tu.
Janjaweed,
Huu ni mjadala wa kistaarabu tunajadili mambo muhimu ya nchi yetu.

Mimi naeleza mambo niliyotafiti na kuandika na wengine wananihoji na najibu kadri ninavyoweza.

Unaniita mimi mbaguzi tena kwa jeuri na kuzungumza mabomu kuua watu.

Huu si mjadala wetu.

Mjadala ni kuwa kwa nini historia ya uhuru wazee wangu waliounda chama cha TANU majina yao yalifutwa?

Huna majibu basi hakuna haja ya kufokeana.
 
Back
Top Bottom