Kuishi na kufa yote ni mipango yake Mungu,kiburi Cha uzima kisikufanye ukasahau kua kuna Mwenye Dunia yake na wala siyo hao Wazungu Kama unavyozania!!Daah Majabali yanazidi kudondoka aisee[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24] Wazee kama hawa ndo wanaumia sababu ya Upuuzi wa mjuaji mmoja.. Sayansi haidanganyi yanii ni muda sasa wa Viongozi kubadilika yani lasivyo wazee wetu wataisha. Thamani na muda unaotumika kutengeneza Proffesa mmoja ni kubwa sana alafu leo kitoto wanakufa kama kuku.
Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
Ila wewe hicho kirusi kinakuogopa, mbona hakikugusi!?
Kwani hapo nimesema kafa kwa ugonjwa gani?Kwani kilichomua marehemu unakijua!?
Apumzike kwa amaniKwa taarifa za uhakika ni kuwa aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu ametangulia mbele ya haki.
Profesa Benno Ndulu amefariki dunia asubuhi ya leo Februari 22, 2021 katika Hospitali ya Kairuki alipokuwa akipatiwa matibabu.
Profesa Ndulu alihudumu nafasi ya Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) kuanzia mwaka 2008 - 2018.
Alizaliwa Januari 23, 1950 (Miaka 71).
View attachment 1708828
Profesa Benno Ndulu enzi za uhai wake
Zingatia na umri wao pia, age imekwenda pia!!walikua wanakufa kwa kasi hii? mbona mna[enda kujitoa fahamu? ndani ya wiki moja tumewapoteza maalim seif, kijazi, Likwilile, Ndulu na wengineo
Ilikuwa aondoke lini kwa mujibu wa ratiba?RIP Prof. Beno Ndulu; umeondoka mapema mno Profesa!
Kifo hupangi wewe ndiyo maana baada yupo!! Sema lingine!!Ohh my God
Halaf lijinga flan linabwabwaja tu Ujinga na Ushamba wake kwenye mimbari za Kanisa kwanini lisife lenyewe hivi?
Jambo gani hilo!?Acha kudanganya watu,kumbuka kuna selikali ambayo huendeshwa kwa maslai ya watu Fulani.halafu kuna dini,ukiona hawa watu wameanza kupingana katika kusema ukweli ujue kuna jambo
Huwaga sibishani na la saba B[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila wwe hicho kirusi kinakuogopa,mbona hakikugusi!?
Kwa hiyo Marehemu alikuwa hachukui tahadhari!?Tuendelee kuchukua tahadhari.
Uelewa wako ni mdogo sana yani...!!Kuishi na kufa yote ni mipango yake Mungu,kiburi Cha uzima kisikufanye ukasahau kua kuna Mwenye Dunia yake na wala siyo hao Wazungu Kama unavyozania!!
Pengine ikawa hivyoKwa hiyo Marehemu alikua hachukuwi tahadhari!?
Samahani ndugu Myetu mwaka hauna kosa kwani ni kama nyakati zingine zozote, bali sisi wanadamu ndiyo wenye matatizo. Mwaka haujaleta virusi wala magonjwa ya aina yoyote, kilichobaki tuchukue tahadhari kwani Corona ipo na inaondoa uhai na magonjwa mengine pia yapo na yanaondoa uhai. Samahani kama nitakuwa nimekukwaza kwa kuwa siyo nia yangu.Mwaka shetani huu
Sio mapema he's 71 mnadamu alitezaliwa na mwanamke siku zake za kuishi si nyingi miaka 70akiwa na nguvu 80 kinyume chake ni shida na ubatili na taabuRIP Prof. Beno Ndulu; umeondoka mapema mno Profesa!