Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Ili jambo linatakiwa likemewe Magufuli alitaka kulipeleka mpaka jeshi la polisi. Yeye akifurahishwa na kazi ya mtu anaagiza apewe chao papo hapo, Ernest Mangu akamwambia huku tuna mafunzo na taratibu zetu atupandishi tuu watu vyeo.

Huyu mama anaendeleza hizi tabia. I can see kutaka mtu makini wa kumsaidia Mwigulu kazi wizara ya fedha, ila alikuwa hajui huyo katibu mkuu ampeleke wapi akaona BoT ndio mahala pake.
 
Ili jambo linatakiwa likemewe Magufuli alitaka kulipeleka mpaka jeshi la polisi. Yeye akifurahishwa na kazi ya mtu anaagiza apewe chao papo hapo, Ernest Mangu akamwambia huku tuna mafunzo na taratibu zetu atupandishi tuu watu vyeo.
Tusipoheshimu mifumo tuliyojiwekea hasa kwenye checks and balances tutazidi kutumbukia shimoni
 
Only monetary policy.
Fiscal policy sio jukumu la central bank
 
Sheria ya utumishi wa umma haitaji umri wa kustaafu kwa vyeo,inataja kwa ujumla umri wa kustaafu wa watumishi wa umma ambao ni 60 years (last time i checked kuhusu umri)
Gavana naye ni mtumishi wa umma.
 
Gavana akiongea na wafanyakazi wizara mambo ya nje


Umahiri wa gavana Prof. Benno Ndulu akizungumzia mada mbalimbali kwa lugha nyepesi kwa wasio na uelewa mpana wa masuala ya uchumi n.k

Financial dollarization nchini Tanzania toka mwaka 1992 nchi ilipofunguka

Sababu ya watu kutoipenda sarafu / currency yao na threshold ya 30% ya matumizi ya fedha ya kigeni ina maana gani katika uchumi wa nchi

Transaction dollarization .... kuporomoka kwa thamani ya shilingi ndiyo kunafanya watu kukimbilia kwenye matumizi ya dola na siyo kinyume chake anasisitiza Prof. Benno Ndulu ...

Madhara ya kuweka fixed exchange rates kule Malawi n.k yalisababisha sarafu ya dola ya Kimarekani kupotea ... Rais Mzee Ali H. Mwinyi alipewa fungate ya kukuta kikapu kikiwa na dola chache benki kuu pia Zambia walijaribu kudhibiti kiwango cha thamani ya kubadilishana kwacha kwa dola, cha moto walikiona ... hivyo sera hii Prof. Benno Ndulu anasema ...

Utafiti wa bei za bidhaa na huduma kujua wafanyabiashara Tanzania wanapaga bei kwa kuzingatia sarafu ya dola ya marekani au shilingi? Utafiti wa BoT prof. Ndulu ulifanyika Dsm, Moro, Mwz, Arusha, Zanziba, Mjini Magharibi, Pemba Kaskazini na kusini na kubaini kuwa ... nchini Tanzania kote Bara na Zanzibar ... lakini maeneo ya Masaki, Mikocheni, Upanga

masuala ya hati fungani, sarafu ya dola ya marekani , mafuta gesi kilimo ...


Uchumi wa Marekani unaongoza uchumi wa dunia.....

Teknolojia ya Marekani kupata Gesi na mafuta kutoka katika mawe badala ya baharini au jangwani ...

Bidhaa za viwanda vya ndani lakini malighafi wanaagiza kwa dola ya marekani ...
 
na inawezekana anazaidi hata hiyo 65, huenda ana 76.
maana wazee wetu wa zamani hawakuwa wanafahamu miaka yao sahihi ya kuzaliwa, wanakisia tu, apumzike tu ni haki yake.
Kweli
 
Na yeye asubiri "Mama" atoke madarakani ndiyo aanze kulialia kama Prof Assad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…