Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Seriously man? How do you think tunalipa haya madeni?Unaweza kuzitaja hizo Rasilimali za nchi? 😂😂
Upande wa pili wa bahari wana asilimia ngapi katika hili deni? Maana nasikia hata wao wanakopa kwa udhamini wa huku barabaraniWakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Hizo unazodhani ni Rasilimali zako Zina Wenyewe 🐼Seriously man? How do you think tunalipa haya madeni?
😂 na wenyewe wanajulikana. Lakini kwann wanadanganya watu?Hizo unazodhani ni Rasilimali zako Zina Wenyewe 🐼
Nchi kuuzwa ni hakikaWakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Yeye atasemaje mkuu?Kama ndio anamaanisha,je kuna haja ya Gavana kujinasibu kama jambo rahisi na zuri mkuu?
Mda si mrefu deni litafika Trillioni 200, hakika Kizimkazi anaupiga mwingiWakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
ROSTAM AZIZI NA GSM NA BARESSA SAMIA NA ABDUL KIKWETE..MWINYI NA MASHEKH WA BAKWATA NI LAZIMA WAZIDI KUWA KABILIONEA.Wakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Kwanini yeye analipa? wanyonge ndiyo tunalipaKama ndio anamaanisha,je kuna haja ya Gavana kujinasibu kama jambo rahisi na zuri mkuu?
Hovyo kabisa mkuuHii fasta tu mwaka wa uchaguzi huu.. si unaona mavikundi ya machawa kibao. Tembea na mama, sisi na mama, mama mlee mwanao, mama usinichape kofi. Ikifika mwezi wa nane tuko 68%.
Hela kibao zimekopwa miradi mingi imekwamwa tena miradi yenyewe ilikuwa chini ya trillion 20 lakini zimekopwa zaidi ya trillion 50 Kuna siku Forbes watatangaza mtoto wa bimkubwa au familia yake ni matajiri Africa nzima maana sio Kwa ufisadi huu wa waziwazi ndani ya miaka mitatuWakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Walioingia mikataba ya hiyo mikopo wataondoka duniani na kuviachia vizazi vijavyo matatizo matupu. Nchi Ina rasilimali Kibao ambazo zinatuwezesha kufanya kila kitu kwenye hii nchi,ila tumeishia kukopa huku tukigawa rasilimali zetu kwa mikataba ya kinyonyaji kwa manufaa ya wachache.Wakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Asisahau tu kumpongeza mama kwa kufanikisha deni kukua.Wakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’