Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama tunalipa wanyonge ila siyo sifa kuliita himilivu wakati amebakiza 11% kwenda kwenye kikomo.Kwanini yeye analipa? wanyonge ndiyo tunalipa
Nani? Gavana?Yeye atasemaje mkuu?
Deni la taifa ni jumla ya madeni ya serikali na madeni ya makampuni hapa nchini.
Makampuni pia yapunguze kukopa.
Kama tsh 100 trillion ni 44%Hata kama tunalipa wanyonge ila siyo sifa kuliita himilivu wakati amebakiza 11% kwenda kwenye kikomo.
Apewe tu na Lema amchukue 😂😂Elon Musk katweet mda mfupi ulio pita kasema yupo tayari kulipa hilo deni kama mtampa mkoa wa Arusha...
Dah! Kazi kweli ukikokotoaKama tsh 100 trillion ni 44%
Je 11% itakuwa tsh ngapi? 😃
Je 55% itakuwa tsh ngapi? 🐼🔥
Tuendelee kula tu! 😄Ni himilivu kbs
Kwamba madeni ya makampuni hayahesabiki kwenye deni la taifa ?Umechanganya madesa
Nipe elimu yako. Kuna siku mwigulu alikuwa anatoa ufafanuzi kuhusu hili.Umechanganya madesa
Ni public debt, guaranteed by the government. How can it guaranteed the private debt?Deni la taifa ni jumla ya madeni ya serikali na madeni ya makampuni hapa nchini.
Makampuni pia yapunguze kukopa.
Harafu Mpina atakuja akijifanya ana data Mpya 😂😂Wakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Ukomo unawekwa na Nchi yenyewe unaweza hamishwa kutoka 55% Hadi 70% .Kwaiyo bado 11% tufike kwenye ukomo kwa maelezo yake na kama nimemuelewa vizuri.
Nchi gani imewahi pigwa mnada?Mama alikuta deni linasoma trilioni 72, miaka minne kakopa trilioni 28. Akimaliza madaraka tunapigwa mnada maana tutakua tumeshavuka hiyo 55% wanayojigamba ndani ya miaka mitano ijayo..
Are private companies not part of public ?Ni public debt, guaranteed by the government. How can it guaranteed the private debt?