Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

Aibu kubwa sana kwa nchi yetu kusema deni himilivu ndo sifa hiyo ,utawala huu umefeli sana ,sana,tu raslimali zetu zote tunashindwa Nini??? Nchi ili iendelee inahitaji uongozi Bora sio machawa ,sifa za kijinga kila Kona ,hovyoo .tumechoka sifa za machawa kwa mama 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸📢📢📢📢📢📢
 
Wakuu,

Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.

‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’

‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’


Harafu Mpina atakuja akijifanya ana data Mpya 😂😂
 
Kwaiyo bado 11% tufike kwenye ukomo kwa maelezo yake na kama nimemuelewa vizuri.
Ukomo unawekwa na Nchi yenyewe unaweza hamishwa kutoka 55% Hadi 70% .

Mwisho Nchi zote zilizoendelea Zina madeni over 75-120 % of GDP
 
Mama alikuta deni linasoma trilioni 72, miaka minne kakopa trilioni 28. Akimaliza madaraka tunapigwa mnada maana tutakua tumeshavuka hiyo 55% wanayojigamba ndani ya miaka mitano ijayo..
Nchi gani imewahi pigwa mnada?

Kabla ya Mabeberu kusamehe madeni awamu ya MKAPA NA JK ,deni lilikuwa kubwa zaidi ya 55% na Bado Nchi haikupigwa mnada.
 
Back
Top Bottom