Ndiyo alivyosema Gavana? Au wewe ndiyo Gavana? Kama ni wewe,kwanini BBC umeleta mkanganyiko ujatoa haya maelezo.Ukomo unawekwa na Nchi yenyewe unaweza hamishwa kutoka 55% Hadi 70% .
Mwisho Nchi zote zilizoendelea Zina madeni over 75-120 % of GDP
Nakutoa Nje ya BoxNdiyo alivyosema Gavana? Au wewe ndiyo Gavana? Kama ni wewe,kwanini BBC umeleta mkanganyiko ujatoa haya maelezo.
😄 🤣Nakutoa Nje ya Box
Kabisa mkuu, hayo masifa hayatakiwi kikubwa ni uwajibikajiAibu kubwa sana kwa nchi yetu kusema deni himilivu ndo sifa hiyo ,utawala huu umefeli sana ,sana,tu raslimali zetu zote tunashindwa Nini??? Nchi ili iendelee inahitaji uongozi Bora sio machawa ,sifa za kijinga kila Kona ,hovyoo .tumechoka sifa za machawa kwa mama 🐸🐸🐸🐸🐸🐸🐸📢📢📢📢📢📢
Kwa hiyo tunatakiwa tukope kiasi gani ili tufike hiyo 55%?‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
Ndio ukweli wenyewe, unaweza kuziona ni kubwa na nyingi kwa makaratasi lakini 😃Kwaiyo bado 11% tufike kwenye ukomo kwa maelezo yake na kama nimemuelewa vizuri.
Hovyo kabisaHata kama tunalipa wanyonge ila siyo sifa kuliita himilivu wakati amebakiza 11% kwenda kwenye kikomo.
Huyo huyo mkuu.Nani? Gavana?
Yupi sasa aliefukuzwa kwa kashfa au 😄Job Ndugai Mshauri wa Askofu mkuu wa Canterbury 😂😂
kmmk zenu wanasiasaWakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Duh,Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa
Alikuta deni likiwa 60 T, ambayo ni cumulative kwa awamu zote kabla yake.Amelikuta likiwa asilimia ngapi?
Duuh, eti linahimilika? Yaani upigaji unaendelea>Wakuu,
Gavana wa Benki kuu ya Tanzania (BOT) Emmanuel Tutuba akiwa anazungumza kwenye mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Florian Kaijage amekiri kuwa deni la taifa hilo linazidi kukua ila bado lipo chini ya ukomo wa uwiano wa deni la taifa na pato la taifa unaokubalika kimataifa wa asilimia 55%.
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
‘’Deni letu ni himilifu kwa muda mfupi wa kati na mrefu na lipo ndani ya viwango vinavyokubalika kimataifa.’’
Deni halijawahi kuvuka 55%Nchi gani imewahi pigwa mnada?
Kabla ya Mabeberu kusamehe madeni awamu ya MKAPA NA JK ,deni lilikuwa kubwa zaidi ya 55% na Bado Nchi haikupigwa mnada.
Askofu mkuu wa Canterbury ni KITI 😃Yupi sasa aliefukuzwa kwa kashfa au 😄
Miaka hiyo Nchi Ili stack kulipa madeni ya kina Nyerere.Deni halijawahi kuvuka 55%