Gavana wa BoT: Deni la Taifa ni Tsh Trilioni 100, linazidi kukua japo bado linahimilika

Ukomo unawekwa na Nchi yenyewe unaweza hamishwa kutoka 55% Hadi 70% .

Mwisho Nchi zote zilizoendelea Zina madeni over 75-120 % of GDP
Ndiyo alivyosema Gavana? Au wewe ndiyo Gavana? Kama ni wewe,kwanini BBC umeleta mkanganyiko ujatoa haya maelezo.
 
Kabisa mkuu, hayo masifa hayatakiwi kikubwa ni uwajibikaji
 
‘’Kwa mwaka wa 2024 deni letu la taifa la takriban shillingi trilioni 100, lipo katika uwiano wa takriban asilimia 44% ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 55%unaokubalika kimataifa’’
Kwa hiyo tunatakiwa tukope kiasi gani ili tufike hiyo 55%?
 
Kwaiyo bado 11% tufike kwenye ukomo kwa maelezo yake na kama nimemuelewa vizuri.
Ndio ukweli wenyewe, unaweza kuziona ni kubwa na nyingi kwa makaratasi lakini 😃
 
kmmk zenu wanasiasa
 
Amelikuta likiwa asilimia ngapi?
 
Amelikuta likiwa asilimia ngapi?
Alikuta deni likiwa 60 T, ambayo ni cumulative kwa awamu zote kabla yake.
Kwa miaka yake 4 tu ametisha mno..

Alipoingia madarakani hayati Rais John Magufuli, deni la taifa lilikuwa ni Shilingi 35 trilioni, kwa mujibu wa taarifa rasmi za Bunge la Tanzania.

Mwezi Aprili 2018 deni lilifikia Shilingi 49.9 trilioni, kwa mujibu wa Bajeti ya serikali iliyosomwa Bungeni. Mwaka mmoja baadae (Aprili 2019) deni la taifa likafika Shilingi 51.03 trilioni. Deni halikupungua. Likaendelea kukua na kufikia Shilingi 60.7 trilioni mwezi Aprili 2021.


Kwa nini deni la taifa linaendelea kuongezeka nchini Tanzania? - BBC News Swahili Kwa nini deni la taifa linaendelea kuongezeka nchini Tanzania? - BBC News Swahili
 
Duuh, eti linahimilika? Yaani upigaji unaendelea>
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…