Gaza kubadilishwa jina na kuwa "West Israel"

Gaza kubadilishwa jina na kuwa "West Israel"

PureView zeiss

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2016
Posts
10,786
Reaction score
35,916
Baada ya Trump kumpa rungu Netanyahu kwa kumpatia silaha za kila aina ili kuingamiza Gaza.
Nchini Israel wameshatoa jina jipya Kwa eneo lote la Gaza baada ya kuondolewa wapalestina wote kwenda Egypt na Jordan

Katika mkutano wao Kati ya Trump na Netanyahu wamekubaliana kuwaondoa wapalestina wote ili kutengeneza Gaza mpya ambayo inaitwa west Israel.

Trump ameongea na waandishi wa habari na kuwaambia kuwa "haoni kama Israel inaweza kuachia Gaza tena bila Wapalestina wote waondoke"

Huu ni mfupa ngumu sana kwa Netanyahu na Trump kama wataweza kuwaondoa wapalestina, tuache tusubiri tuone itakuaje
20250205_104838.jpg
 
Aisee!! Ukraine alisha ambiwa maeneo yaliyo yakuliwa hayawez kurudiShwa tena..

hapo masharik ya kati hapawez kuja kutulia.. Iran akijichanganya wanapita nae mzima mzima
Hii dunia Sasahivi ni kujitwalia Tu maeneo kibabe kama alivyofanya Putin dhidi ya Ukraine.. marekani na yeye anataka kuinyakua Canada na Greenland yaani Kwakifupi kama hauna nguvu utaonewa tu
 
Hamas wanavaa kiraia kipindi cha mapigano na wanajichanganya na raia hii inawapa Israel wakati mguu kuwafuta Hamas wanaambiwa wanaua wanawake na watoto
Si kweli, lengo la Israel ni kuondoa wakaazi wa Gaza, hivyo walianza kushambulia makazi makusudi kuogofya raia, nilishaweka hapa video ikionyesha veteran wa IDF akiwapa maelezo vijana wa IDF kipindi wanakwenda kwenye retaliation ya Oct 7, yule veteran aliwaambia waue wanawake zao, watoto hadi vijana, yaani waue kila mtu... na ndicho walifanya Gaza.

Kingine kuvaa kiraia ni mbinu ya kivita, zingatia IDF wana jeshi imara la anga, wana vifaa na bado wanasaidiwa misaada, hata sniper anajificha kwa mazingira.
 
Jina lake ndilo hilo, hata kabla hawajamtwaa ripoti zinasema tayari ameshabatizwa!
-wakati Hamas anavamia Gaza October 7th,
Netanyahu aliuzinuka sana sana na alihaidi atalipiza kisasi ambacho kitabadili historia ya Gaza,
Debris ambazo zipo Gaza zinasemekana ili kuziondoa zote zitahitaji miaka 10,huku gari zikifanya kazi usiku na mchana, hii ndiyo hadha ya uchokozi!
 

Attachments

  • FB_IMG_17387595993652095.jpg
    FB_IMG_17387595993652095.jpg
    366.1 KB · Views: 1
Ile siku ya oct 7 ulikuwa mtego kwa hamas, Israel walijua every things, sasa things changed up kwa gaza inaenda kubebwa very simple

Hamas walizingua sana, hapa wapewe lawama hawa waduanzi.
 
Back
Top Bottom