Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Trump atamalizwa na mmarekani mwenzie tu
Subirini
Subirini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakipigwa waite watu magaidiWanaanza tena.
Sawa,ngojea tuone itakuwajeKobaz waende wakaishi huko kwa makobaz wenzao
😂😂Trump atamalizwa na mmarekani mwenzie tu
Subirini
Una hoja usikilizweTrump atamalizwa na mmarekani mwenzie tu
Subirini
Muislam kawaida hashindwi mpaka dalika ya mwisho. Gaza kama wangalikuwa wakiristo nadhani hata yesu wangalimkanaKobaz waende wakaishi huko kwa makobaz wenzao
So hapa kilichokufurahisha ni nini? Waislam kumuunga mkono kwa kupinga ushoga na kutokubaliana nae msimamo wake juu ya gaza au kuna lingine?? Acha ushambenga utaolewaSasa huyu Trump mbona anatuchanganya sisi Kobazi? Tulimuunga mkono kwa kupinga kwake homosexuality na ndoa za 'kikanjanja' ambapo ndo inapo things fall apart mwanamke anataka apewe 50% ya mali. Huko kote tulimuunga mkono. Ila hili la Palestina anatuweka njiapanda sana huyu Mwanaizaya! 😆😂
Utamuelewa vipi mtu ambaye ikitokea akapimwa na madaktari wa magonjwa ya akili, lazima agundulike na tatizo la ukichaa!!Trump mpaka muda huu sijamuelewa kabisa kauli zake na haya anayoyafanya ila muda ni Mwalimu
Kuwaondoa wapalestina gaza ni uhamuzi sahihi kwa upande wa Israeli...ni kete matata sana wanayo taka kuicheza ...kama watatumia muda vizuri ...ni ngumu kuwa na amani baina ya Israeli na Palestina kutokana na vitabu vyao vya dini hasa dini ya mudi boy ...kitu ambacho waislamu wanashindwa kukijua ni kwamba kuna tofauti baina ya ukristo na uisrael waisrael nao wanaimani ambayo nayo misingi yake inachagiza kumwagana damu kwa sababu ndivyo torati ilivyoBaada ya Trump kumpa rungu Netanyahu kwa kumpatia silaha za kila aina ili kuingamiza Gaza.
Nchini Israel wameshatoa jina jipya Kwa eneo lote la Gaza baada ya kuondolewa wapalestina wote kwenda Egypt na Jordan
Katika mkutano wao Kati ya Trump na Netanyahu wamekubaliana kuwaondoa wapalestina wote ili kutengeneza Gaza mpya ambayo inaitwa west Israel.
Trump ameongea na waandishi wa habari na kuwaambia kuwa "haoni kama Israel inaweza kuachia Gaza tena bila Wapalestina wote waondoke"
Huu ni mfupa ngumu sana kwa Netanyahu na Trump kama wataweza kuwaondoa wapalestina, tuache tusubiri tuone itakuaje View attachment 3225803
Wataondoka ....nchi pekee iliyo na uwezo wa kuzuia jambo hilo ni urussiBaada ya Trump kumpa rungu Netanyahu kwa kumpatia silaha za kila aina ili kuingamiza Gaza.
Nchini Israel wameshatoa jina jipya Kwa eneo lote la Gaza baada ya kuondolewa wapalestina wote kwenda Egypt na Jordan
Katika mkutano wao Kati ya Trump na Netanyahu wamekubaliana kuwaondoa wapalestina wote ili kutengeneza Gaza mpya ambayo inaitwa west Israel.
Trump ameongea na waandishi wa habari na kuwaambia kuwa "haoni kama Israel inaweza kuachia Gaza tena bila Wapalestina wote waondoke"
Huu ni mfupa ngumu sana kwa Netanyahu na Trump kama wataweza kuwaondoa wapalestina, tuache tusubiri tuone itakuaje View attachment 3225803
Sawa ngoja tuoneBaada ya Trump kumpa rungu Netanyahu kwa kumpatia silaha za kila aina ili kuingamiza Gaza.
Nchini Israel wameshatoa jina jipya Kwa eneo lote la Gaza baada ya kuondolewa wapalestina wote kwenda Egypt na Jordan
Katika mkutano wao Kati ya Trump na Netanyahu wamekubaliana kuwaondoa wapalestina wote ili kutengeneza Gaza mpya ambayo inaitwa west Israel.
Trump ameongea na waandishi wa habari na kuwaambia kuwa "haoni kama Israel inaweza kuachia Gaza tena bila Wapalestina wote waondoke"
Huu ni mfupa ngumu sana kwa Netanyahu na Trump kama wataweza kuwaondoa wapalestina, tuache tusubiri tuone itakuaje View attachment 3225803
Trump &Musk ni wabaguzi na wenye chuki sana, kadiri muda unavyoenda ndio mtajua rangi zaoTrump mpaka muda huu sijamuelewa kabisa kauli zake na haya anayoyafanya ila muda ni Mwalimu
Kumbe hujui hata kusoma we mama?So hapa kilichokufurahisha ni nini? Waislam kumuunga mkono kwa kupinga ushoga na kutokubaliana nae msimamo wake juu ya gaza au kuna lingine?? Acha ushambenga utaolewa