PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Unawajuwa Kobazi au unawasikia?Wewe skilizia mziki.Kobaz waende wakaishi huko kwa makobaz wenzao
Chuki za hovyo hiziKobaz waende wakaishi huko kwa makobaz we
Hii dunia Sasahivi ni kujitwalia Tu maeneo kibabe kama alivyofanya Putin dhidi ya Ukraine.. marekani na yeye anataka kuinyakua Canada na Greenland yaani Kwakifupi kama hauna nguvu utaonewa tuAisee!! Ukraine alisha ambiwa maeneo yaliyo yakuliwa hayawez kurudiShwa tena..
hapo masharik ya kati hapawez kuja kutulia.. Iran akijichanganya wanapita nae mzima mzima
Hamas wanavaa kiraia kipindi cha mapigano na wanajichanganya na raia hii inawapa Israel wakati mguu kuwafuta Hamas wanaambiwa wanaua wanawake na watotoIsrael imeshindwa kuwamaliza Hamas hadi wanashtaki kwa US awasaidie.
Si kweli, lengo la Israel ni kuondoa wakaazi wa Gaza, hivyo walianza kushambulia makazi makusudi kuogofya raia, nilishaweka hapa video ikionyesha veteran wa IDF akiwapa maelezo vijana wa IDF kipindi wanakwenda kwenye retaliation ya Oct 7, yule veteran aliwaambia waue wanawake zao, watoto hadi vijana, yaani waue kila mtu... na ndicho walifanya Gaza.Hamas wanavaa kiraia kipindi cha mapigano na wanajichanganya na raia hii inawapa Israel wakati mguu kuwafuta Hamas wanaambiwa wanaua wanawake na watoto
Na wewe unaamini itabebwa kwa kuua watu zaidi ya 1.8MIle siku ya oct 7 ulikuwa mtego kwa hamas, Israel walijua every things, sasa things changed up kwa gaza inaenda kubebwa very simple
Hamas walizingua sana, hapa wapewe lawama hawa waduanzi.