neno ni upanga
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 494
- 1,656
Hivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........Habari wakuu naona hali inazidi kuwa mbaya huko gaza mpaka sasa idadi imefikia 1055 na majeruhi, zaidi ya 5000 lakini pia umeme wa solar nao umegoma kabisa kufanya kazi kwa maana hiyo Leo gqza watalala giza! Hawa jamaa saivi wanajuta walichokifanya Israel, unachokoza nyuki na hauna pa kukimbilia!!
Israel wanakimbilia 2000Habari wakuu naona hali inazidi kuwa mbaya huko gaza mpaka sasa idadi imefikia 1055 na majeruhi, zaidi ya 5000 lakini pia umeme wa solar nao umegoma kabisa kufanya kazi kwa maana hiyo Leo gqza watalala giza! Hawa jamaa saivi wanajuta walichokifanya Israel, unachokoza nyuki na hauna pa kukimbilia!!
Wanadai wanapata baraka kwa kujikomba kwa hao mabwana wa vita.Hivi kwanini wstanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata hatuna masirahi ya moja kwa moja, ni elimu duni au ujinga?
Mmmh wangejua hulka ya muyahudi na mwarabu dhidi ya ngozi nyeusi wange ka kimya tu......naona ni limbukeni pamoja na elimu duni.Wanadai wanapata baraka kwa kujikomba kwa hao mabwana wa vita.
Unaonaje ujifurahishe kabisa utamke WAMEKUFA MAYAHUDI 1,000,000?Israel wanakimbilia 2000
Mbona nyie mlishabikia kwa furaha vifijo Israel ilivyopigwa na hammas mkasema Palestine wamechoka kuonewaHivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Niondoe katika ujinga huo siwezi kabisa kushabikia upande wowote.Mbona nyie mlishabikia kwa furaha vifijo Israel ilivyopigwa na hammas mkasema Palestine wamechoka kuonewa
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Wewe huna akili mimi naeleza hali halisi kuwa waisraeli wengi wamekufa kuliko wapalestina.kuanzia sasa hivi ni wajinga tu ndio watakaokubali propaganda kuwa Israel au Mosad hawapigiki.Unaonaje ujifurahishe kabisa utamke WAMEKUFA MAYAHUDI 1,000,000?
ufanye na sherehe hapo kwako ushenzini ufurahie na wanao?
Hivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Halafu vya bandari kimyaaa. Huoni Media za Tanzania zikiongea ongeaa . Ila wakipata topic utaona media zote inaongelea live VIta. UjingaaaHivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Hali siyo imezidi kuwa mbaya, Bali hali ya Sasa imezidi kuwa nzuri zaidi. Magaidi 1055 yameuliwaHabari wakuu naona hali inazidi kuwa mbaya huko gaza mpaka sasa idadi imefikia 1055 na majeruhi, zaidi ya 5000 lakini pia umeme wa solar nao umegoma kabisa kufanya kazi kwa maana hiyo Leo Gaza watalala giza! Hawa jamaa saivi wanajuta walichokifanya Israel, unachokoza nyuki na hauna pa kukimbilia
Elimu duni na ujinga vyote kwa pamoja...Hivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Wanàamini Israel ni mkristu mwenzaoHivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Mbona umepanic ww ni myahud niniUnaonaje ujifurahishe kabisa utamke WAMEKUFA MAYAHUDI 1,000,000?
ufanye na sherehe hapo kwako ushenzini ufurahie na wanao?
Kweli au ndo hizo laana zinazo semwa kwamba tz tume laaniwaHalafu vya bandari kimyaaa. Huoni Media za Tanzania zikiongea ongeaa . Ila wakipata topic utaona media zote inaongelea live VIta. Ujingaaa
Ujinga na akili finyu za darasa la saba ndo zinawadanganya.Wanàamini Israel ni mkristu mwenzao
Acha kutudharau wa la saba[emoji41][emoji41][emoji41]Ujinga na akili finyu za darasa la saba ndo zinawadanganya.
Na wayahudi waliokufa wangapi mpaka sasa? Mbona hujasema?Habari wakuu naona hali inazidi kuwa mbaya huko gaza mpaka sasa idadi imefikia 1055 na majeruhi, zaidi ya 5000 lakini pia umeme wa solar nao umegoma kabisa kufanya kazi kwa maana hiyo Leo gqza watalala giza! Hawa jamaa saivi wanajuta walichokifanya Israel, unachokoza nyuki na hauna pa kukimbilia!!
Nguruwe kwel ww! Leo ww wa kuzuga as if hupendi kushabikia mambo ya waarabu na udini? Punguza unafikiMmmh wangejua hulka ya muyahudi na mwarabu dhidi ya ngozi nyeusi wange ka kimya tu......naona ni limbukeni pamoja na elimu duni.