Gaza: Mpaka sasa, Watu zaidi ya 1,055 wamekufa na 5,000 kujeruhiwa

Gaza: Mpaka sasa, Watu zaidi ya 1,055 wamekufa na 5,000 kujeruhiwa

Pande zote mbili zina kundi kubwa la watoto, wanawake na vikongwe wasio na hatia acheni upumbavu kushangilia damu kumwagwa i dont care uko pande gani! Member waliokua wanaheshimika humu wanatapika tuu na kujivua nguo. Hamjui kinavoendelea kuchafuka huko itakuja hadi huku! Domino effect.

Pray for the children 🙏
 
Pande zote mbili zina kundi kubwa la watoto, wanawake na vikongwe wasio na hatia acheni upumbavu kushangilia damu kumwagwa i dont care uko pande gani! Member waliokua wanaheshimika humu wanatapika tuu na kujivua nguo. Hamjui kinavoendelea kuchafuka huko itakuja hadi huku! Domino effect.

Pray for the children 🙏
Hivi ulikuwa huelewi vita ya tatu ya dunia imeshaanza?

Ushetani ulioenea duniani lazima tumalizane wenyewe kwa wenyewe.
 
Mmmh wangejua hulka ya muyahudi na mwarabu dhidi ya ngozi nyeusi wange ka kimya tu......naona ni limbukeni pamoja na elimu duni.

Muslims conflicts
Fight with hindus
Fight with Jews
Fight with Christians
Fight among themselves - shias and baha
Figjt with buddhists
Fights with atheists ( all over the world)


Fight fight everywhere

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Myahudi siku zote ndiyo mchokozi, mwezi uliopita kauwa watu gaza.
Ulikuwa unashabikia na kuungana na wapelestina walipovamia waisrael na kuwauwa. Sasa hivi unasema Myahudi mchokozi.
Huku bongo, ukimpiga mwanajeshi mmoja. Wakija wanajeshi wenzake hufunga mtaa. Wanatembeza kichapo kwa yoyote mpaka kuku.
Hao wapalestina, waongee na Hamas vizuri maana anachokifanya Israel anarudisha chenji iliyobakia.
Bado hamjasema.
 
Hivi kwanini watanzania wengi hupenda kushabikia vita vya nje hata kama hatuna masirahi ya moja kwa moja uko nje huvi ni elimu duni au ujinga?........
Simanishe huyu mleta mada ni kwamba naona watu wanashanikia sana vita ya Urusu na Ukuraini
Tulia andika vizuri. Kenge nyie mnaikorofisha Israel mlifikiri mtachekewa?. Na hapo bado mpaka uchanganye herufi kubwa na ndogo ndio tutaelewana
 
Bado.
Hataki mazungumzo yoyote, anatembezea kichapo cha nguvu mpka idadi ya waisrael waliouliwa wafidiwe.
Wanatakiwa wapelestina wafe zaidi ya mara 10 kwa idadi ya waisrael waliokufa ndiyo afanye hayo mazungumzo ya mateka ya wanajeshi.
Hahahaaa!Uzuri hapo Ghaza na majengo ya wanaisrael pia yapo.
 
Hiki ki mama hiki
Kimekukosea nini? Kimama'ko kimo humu JF? Niongee nacho kiutu uzima, maana naona hakijakufunda vyema kwa hizo lugha zako.

Nataka nikifahamishe kuwa asiyefundwa na ***** hufundwa na ulimwengu.

Au wewe ni mtoto wa "singo mama"? Kama ni mtoto wa "singo mama" nikusamehe bure tu. Maana mtoto kila baba anaeingia kwenu unaambiwa "mwamkie baba'ko" mara nyingi huwa anachanganyikiwa kimaadili na ndiyo wengi wenu huishia kule kwenye herufi.
 
Umekua mpole subiri wapelekewe moto
Palestine ilikuwepo na itaendelea kuwepo. Tena sasa ndiyo inaelekea kupta nchi yake. Hayo ya kuuliwa wapalestina hayajaanza leo wala jana, lakini unaonesha una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.

Hivi unafikri wayahudi wana raha ya maisha hapo?

Au wewe mungu wako ni myahudi?
 
Na wayahudi waliokufa wangapi mpaka sasa? Mbona hujasema?

Masaa matatu nyuma idadi ya wayahudi waliokufa iilikuwa zaidi ya 1,200 kwa mujibu wa wion.

Au hilo hulifahamu?
Gaza pekee walokufa ndo hao,bado hujaongelea wapiganaji wa Hamas walioingia Israel na kuchinjwa huko ambapo inasemwa ni takriban 800
 
Gaza pekee walokufa ndo hao,bado hujaongelea wapiganaji wa Hamas walioingia Israel na kuchinjwa huko ambapo inasemwa ni takriban 800
Hamas walishakufa siku nyingi, usiwahesabu kabisa ni maiti zinazotembea.

Unavyofikiri wewe na wao ni vitubtofauti kabisa.

Hao wakiondoka japo na nusu myahudi ni ushindi kwao.
 
Na wayahudi waliokufa wangapi mpaka sasa? Mbona hujasema?

Masaa matatu nyuma idadi ya wayahudi waliokufa iilikuwa zaidi ya 1,200 kwa mujibu wa wion.

Au hilo hulifahamu?

Hebu tupe tena update kwa sasa kwa mujibu wa wion? Naona number zinapanda kwa kasi sana upande mmoja.
 
Hadi wafike 10000
Hakika itafika,sasa hivi number inapanda kwa kasi.Nimeona kule Istagram Wapalestina wanalalamika kuna watu wengi sana wamefukiwa chini ya vifusi na hawana vifaa wala uwezo wa kuwaopoa.Mtu mmoja alikuwa analia kuwa ndugu zake zaid ya 18 wako ndani ya vifusi kwa hilo jengo lililoshushwa
 
Hebu tupe tena update kwa sasa kwa mujibu wa wion? Naona number zinapanda kwa kasi sana upande mmoja.
Update ipi tena? Za kuambiwa changanya na zako.

Nenda kwenye ile link ya wion ni live ile, nao wameshanunuliwa na wayahudi.

Hujuwi kuwa media za Internet ni biashara kubwa sasa hivi?
 
Hakika itafika,sasa hivi number inapanda kwa kasi.Nimeona kule Istagram Wapalestina wanalalamika kuna watu wengi sana wamefukiwa chini ya vifusi na hawana vifaa wala uwezo wa kuwaopoa.Mtu mmoja alikuwa analia kuwa ndugu zake zaid ya 18 wako ndani ya vifusi kwa hilo jengo lililoshushwa
Kidogo sana hiyo, siku moja au mbili zijazo tutaongelea malaki.
 
Update ipi tena? Za kuambiwa changanya na zako.

Nenda kwenye ile link ya wion ni live ile, nao wameshanunuliwa na wayahudi.

Hujuwi kuwa media za Internet ni biashara kubwa sasa hivi?
Naomba nisaidie hiyo link tafadhari kama hutojali
 
Back
Top Bottom