Gaza: Mpango wa amani kati ya Israel na Hamas uko karibu kufanikiwa

Gaza: Mpango wa amani kati ya Israel na Hamas uko karibu kufanikiwa

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Matumaini mapya ya kusitisha vita vya GAZA yaanza kuonekana mara baada ya Wapatanishi (Misri na Katari) kueleza kuwa, kundi la wapiganaji la HAMAS limebadili Msimamo wake wa awali wa kutotoa orodha ya mateka walioko hai mpaka sasa.

Kundi la wapiganaji la HAMAS limekubali wanajeshi wa ISRAEL Kubaki ukanda wa GAZA, katika kile kinachoonekana kubadili msimamo wake wa awali ambao ulikwamisha upatikanaji wa mpango wa kusitisha vita.

Kundi la HAMAS tayari limekabidhi orodha ya mateka walioko hao mpaka sasa,wakiwemo raia wa Marekani,ambao wataachiwa huru chini ya mpango huu wa kusitisha vita. Hii ni kwa mjibu wa wapatanishi kutoka Misiri na Katar.

Ikumbukwe kuwa,kikwazo kikuu kilichokwamisha mipango ya kusitisha mapigano, ni misimamo mikali kutoka pande zote mbili za kukataa kulegeza mashariti yao. Kundi la HAMAS liliitaka ISRAEL kufanya yafuatayo kabla ya kuwaachilia mateka wote;

1. Kuondoa wanajeshi wake wote kutoka GAZA

2.Kuwaachilia maelfu ya wafungwa wa kipalestina walioko kwenye jela mbalimbali za ISRAEL.

3. Kuondoa Msingiro wa GAZA ambao umedumu tangu mwaka 2005.

Hata hivyo, baraza la vita la Israel likiongozwa na waziri mkuu BENJAMIN NETANYAHU lilikataa mashariti hayo ya HAMAS na kuapa kuendelea la Vita mpaka pale malengo yake yatakapotimia. Lakini,ISRAEL ilikubali shariti la kuwaachia wafungwa wa kipalestina kutoka kwenye jela za ISRAEL.

 
Sawa maaana wanaoteseka ni is wazee na watoto
 
Nibora waridhike na kidogo waatachopewa na israel kuliko kukomaa na kuwatesa wa Palestinne wanaojidai wanawapigania huku. 44 elfu wakiteketea inaumiza. Haswaa kkwakkwel ila naiman dam ya wapalestine pia imepotea. Bure bila sababu huwez teketeza wapalestnn 44elfu alafu upewe waffungwa 25 elfuu hamas koonyo kabisaa
 
Hawana namna tena isipokuwa kufuata takwa la Yahudi kama msaidizi wao Hizbolah.
 
Matumaini mapya ya kusitisha vita vya GAZA yaanza kuonekana mara baada ya Wapatanishi (Misri na Katari) kueleza kuwa, kundi la wapiganaji la HAMAS limebadili Msimamo wake wa awali wa kutotoa orodha ya mateka walioko hai mpaka sasa.

Kundi la wapiganaji la HAMAS limekubali wanajeshi wa ISRAEL Kubaki ukanda wa GAZA, katika kile kinachoonekana kubadili msimamo wake wa awali ambao ulikwamisha upatikanaji wa mpango wa kusitisha vita.

Kundi la HAMAS tayari limekabidhi orodha ya mateka walioko hao mpaka sasa,wakiwemo raia wa Marekani,ambao wataachiwa huru chini ya mpango huu wa kusitisha vita. Hii ni kwa mjibu wa wapatanishi kutoka Misiri na Katar.

Ikumbukwe kuwa,kikwazo kikuu kilichokwamisha mipango ya kusitisha mapigano, ni misimamo mikali kutoka pande zote mbili za kukataa kulegeza mashariti yao. Kundi la HAMAS liliitaka ISRAEL kufanya yafuatayo kabla ya kuwaachilia mateka wote;

1. Kuondoa wanajeshi wake wote kutoka GAZA

2.Kuwaachilia maelfu ya wafungwa wa kipalestina walioko kwenye jela mbalimbali za ISRAEL.

3. Kuondoa Msingiro wa GAZA ambao umedumu tangu mwaka 2005.

Hata hivyo, baraza la vita la Israel likiongozwa na waziri mkuu BENJAMIN NETANYAHU lilikataa mashariti hayo ya HAMAS na kuapa kuendelea la Vita mpaka pale malengo yake yatakapotimia. Lakini,ISRAEL ilikubali shariti la kuwaachia wafungwa wa kipalestina kutoka kwenye jela za ISRAEL.

Hatimae wamelegea baada ya Muhimili wa uovu kulegezwa.
 
Baada ya kuuwa maelfu ya wananchi wasio na hatia, kuwaachia uyatima, ujane, ugane, simanzi na upweke... Dunia haiko sawa..
Roho zao zipumzike, mahala pema peponi.
 
safari hii mayahudi wamefanya unyama wa kupitiliza. najiuliza sababu ilikuwa ni hii hii au kulikuwa na jambo jingine?????????? si kwa maangamizi waliyoyafanya kwa Hamas, Hizbu na Iran. nahisi kama kuna jambo walikuwa wanalitafuta mapema wakatumia hii kama kisingizio. hamas kuanza upya si ujinga tujipange upya
 
safari hii mayahudi wamefanya unyama wa kupitiliza. najiuliza sababu ilikuwa ni hii hii au kulikuwa na jambo jingine?????????? si kwa maangamizi waliyoyafanya kwa Hamas, Hizbu na Iran. nahisi kama kuna jambo walikuwa wanalitafuta mapema wakatumia hii kama kisingizio. hamas kuanza upya si ujinga tujipange upya
Inshalllah waanzze upya kwa aman na upenndo bila kinyongo
 
Mayahud na makafiri mtachomeka siku ya kiyamma inshallah

Ee mola wetu tujalie nasi tuonje vitu vitamu vya pepon😋
SIFA ya makafiri hayana umoja yapo kama nyumbu ni sawa na Palestine,IRAN, JODARN,MISRI, Yani WAARABU wote hiv kweli wanakishindwa kiinch Cha Israel kama mkoa Mwanza, Morogoro , Iringa +Mbeya
 
Ukiona hivyo ujue kipigo cha kijeshi kimekolea halafu mfadhili wao wa ugaidi Iran amekula Kona baada ya kubanwa mbavu na myahudi.
 
Back
Top Bottom