Gaza: Mpango wa amani kati ya Israel na Hamas uko karibu kufanikiwa

Kundi la wapiganaji la HAMAS limekubali wanajeshi wa ISRAEL Kubaki ukanda wa GAZA, katika kile kinachoonekana kubadili msimamo wake wa awali ambao ulikwamisha upatikanaji wa mpango wa kusitisha vita.
Wamelegeza msimamo baada ya vifo vya Wapalestina takribani 44,000.

War is more than evil.
 

View: https://x.com/IhabHassane/status/1868351066347119018
 
mbona kobaz wanasema Hamas wameshashida vita? na Israel imeshindwa kukomboa mateka
 
Gaza imechakaa.Zayuni kafanya matusi sana pale.
 
Unagonga mvinyo huku mbele watoto wakali 72 wanacheza cheza tu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…