Maco marco
Senior Member
- Jun 10, 2023
- 108
- 86
Rat raceLuck dube_crazy world
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rat raceLuck dube_crazy world
Nikikumbuka mauaji ya mtanzania Joshua hakika naungana na Israel nasema piga hao mbwa mpaka wanyookeHuu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;
1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.
3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:
View attachment 2848731
2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.
3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama
4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:
UNSC kusimamisha vita Gaza
5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:
Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea
6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.
7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.
8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.
9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.
10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.
11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.
12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!
13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
Hamas walipochimba matanuli yao ya kilomita nyingi, walijiaminisha Sasa kuwa wanaweza kufanya lolote kwa Israel na wakashinda, siku zote Hamas Wana wazo la kufuta Israel, lakini je, wataweza? Hili suala liko kiimani zaidi. Miaka ya 580 Mungu alinena kupitia manabii wake Zakaria, Ezekiel na Amos kuwa, Israel wamesahau Mungu, na akasema atawatawanya eneo Hilo, ikatokea mwaka 135 AD Waisraeli walipigwa na Warumi na kutawanywa. Mungu alisema pia kuwa atawarejesha Israel na walirejea mwaka 1948. Pia Mungu alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7) na yanatokea Sasa Kuta za Gaza zinawaka Mungu pia alisema atakapowarudisha Israel, hakuna wa kuwatoa (Amos 9:15). Haya maneno yalishasemwa miaka ya nyuma 580 BC na Sasa yanatimia,bado moja, kwamba watakaporejeshwa hakuna wa kuwatoa, hili tusubiri tuone, nani atawatoa Waisraeli? Je, UN? Je, maandamano ya Dunia? Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo hawataweza, wakikomaa watafutwa mazima.Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;
1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.
3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:
View attachment 2848731
2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.
3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama
4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:
UNSC kusimamisha vita Gaza
5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:
Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea
6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.
7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.
8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.
9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.
10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.
11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.
12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!
13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
Kila
Nikikumbuka mauaji ya mtanzania Joshua hakika naungana na Israel nasema piga hao mbwa mpaka wanyooke
Ndiyo suala la Palestina liko kiimani zaidi, Nabii Zakaria aliishi miaka ya 591 BC na Mungu alinena kupitia kinywa chake kwamba, "Nitaifanya Yerusalemu(Israel) kuwa jiwe zito, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi (Zakaria 12:2-12). Mataifa ya Dunia yataungana kuishambulia Israel, lakini yatapata jeraha nyingi. Maandamano ya Dunia yameanza kuhusu suala hili la Hamas, mwisho hayatakuwa maandamano tu, Mataifa wataunganisha majeshi kuishambulia Israel, na unabii utatimia, jeraha nyingi watapata mataifa.1. Kwa hiyo huku kwenye kauli yako hii, tulimalizana?
View attachment 2849004
2. Kama #1 kwa hiyo sasa umekuja kiimani zaidi?
3. Kama #2 ni kweli, unasemaje kuhusu hili?
Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?
1. Uliwahi kuyakumbuka mauaji ya Ben, Mawazo, Lijenje, Azory au wale was kwenye viroba?
2. Uliwahi kukumbuka kuna watanzania waliwahinkufa Congo, Uganda, msumbiji, Zimbabwe Nk?
3. Siyo ungejitathmini labda utakuwa ni mnafiki, time saver fulani tu mwenye kudhani Israel ni wajomba zake Mungu.
Kwa nini huwa hamsomi hoja kazi kukurupuka tuKwa hiyo ni Marekani ndio waliwatuma Hamas wakawaue wananchi zaidi ya 1,000 nchini Israel?
Mwajemi mtafanya nini mnafikiri hao ni kama hamasi . Mmeshaazoea kupigana na vinchi vilivyo dhoof lihali huyo muajema anazo setilite zake drone zake , mizanga yake aliyozalisha mwenyewe katikati ya mbinyo wa vikwazo lukuki vya kiuchumiHapa anasubiliwa muajemi tu sema naye kawa mjanja sn ameshanusa harufu kuwa yy ndiye target amebaki kupiga porojo tu huko pembezoni lkn hatii mguu.
Hapa anasubiliwa muajemi tu sema naye kawa mjanja sn ameshanusa harufu kuwa yy ndiye target amebaki kupiga porojo tu huko pembezoni lkn hatii mguu.
Mwajemi mtafanya nini mnafikiri hao ni kama hamasi . Mmeshaazoea kupigana na vinchi vilivyo dhoof lihali huyo muajema anazo setilite zake drone zake , mizanga yake aliyozalisha mwenyewe katikati ya mbinyo wa vikwazo lukuki vya kiuchumi
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Usiwe kama mtu asiejielewa, kwani hufahamu kuwa kumbukumbu huja kutokana na kisababishi? Hii post yako inaongelea Hamas afu nikumbuke ya nyuma ilhali mawazo yangu yapo Gaza???
Unafiki ni kujifanya una uchungu na ngozi nyeupe kisa sababu unayojua wewe, ilhali mi nikionesha uchungu kisa kuuwawa kikatili mtanzania mwenzangu niwe mnafiki?
Kama ndivyo na iwe mara 100, ila wale mbwa wapigwe mpaka wachakae
Yaaaani nyieempaka mseemeeee maaamaaee nyinyii😂😂😑😑😑😑😑
Ndiyo suala la Palestina liko kiimani zaidi, Nabii Zakaria aliishi miaka ya 591 BC na Mungu alinena kupitia kinywa chake kwamba, "Nitaifanya Yerusalemu(Israel) kuwa jiwe zito, kila atakayejaribu kunyanyua jiwe Hilo atapata jeraha nyingi (Zakaria 12:2-12). Mataifa ya Dunia yataungana kuishambulia Israel, lakini yatapata jeraha nyingi. Maandamano ya Dunia yameanza kuhusu suala hili la Hamas, mwisho hayatakuwa maandamano tu, Mataifa wataunganisha majeshi kuishambulia Israel, na unabii utatimia, jeraha nyingi watapata mataifa.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamas walipochimba matanuli yao ya kilomita nyingi, walijiaminisha Sasa kuwa wanaweza kufanya lolote kwa Israel na wakashinda, siku zote Hamas Wana wazo la kufuta Israel, lakini je, wataweza? Hili suala liko kiimani zaidi. Miaka ya 580 Mungu alinena kupitia manabii wake Zakaria, Ezekiel na Amos kuwa, Israel wamesahau Mungu, na akasema atawatawanya eneo Hilo, ikatokea mwaka 135 AD Waisraeli walipigwa na Warumi na kutawanywa. Mungu alisema pia kuwa atawarejesha Israel na walirejea mwaka 1948. Pia Mungu alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7) na yanatokea Sasa Kuta za Gaza zinawaka Mungu pia alisema atakapowarudisha Israel, hakuna wa kuwatoa (Amos 9:15). Haya maneno yalishasemwa miaka ya nyuma 580 BC na Sasa yanatimia,bado moja, kwamba watakaporejeshwa hakuna wa kuwatoa, hili tusubiri tuone, nani atawatoa Waisraeli? Je, UN? Je, maandamano ya Dunia? Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo hawataweza, wakikomaa watafutwa mazima.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
1. Wanaitwa wakristo wafia dini uchwara hao; ujuaji mwingi!
2. Kuna na hili jingine MK254 ambalo kila asiyekubaliana na Israel huyo ni Mwislamu hata kama ni Mwamposa, Lissu, Ruto, Putin, Xi au Papa Francis.
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;
1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.
3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:
View attachment 2848731
2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.
3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama
4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:
UNSC kusimamisha vita Gaza
5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:
Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea
6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.
7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.
8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.
9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.
10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.
11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.
12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!
13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
1. Mkuu dini ni suala binafsi na la hiari.
2. Imani Yako si ya wengine.
3. Vitabu vyako ni relevant kwako si Kwa wengine.
4. Uhalali wa kuvitumia vitabu vyako visivyokubalika Kwa wengine huoni ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa?
5. Kuifuta Israel ni propaganda zilizoshindwa za kuwatenga HAMAS Ili kuwafuta kimataifa.
6. HAMAS kama PAC, ANC, FRELIMO Maji Maji, Mau Mau nk hatimaye walifanya maamuzi magumu ya kutumia nguvu baada ya njia zingine zote kukwama Tokea 1948.
7. PAC na kauli mbiu yao "One settler, One bullet" hakukuwafanya kudhamiria kuwafuta Makaburu ambao hata kwenye chama hicho walikuwamo.
8. Tofautisha kauli mbiu mjomba, Gari la chama halina reverse, haikuwa na maana duni ya usemi huo kama ulivyo.