Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

Israel kawakamata waislam wote Duniani, mmeandamana, mmepiga mayowe kote Duniani but nani awasikilize,

Israel iligeuza sherehe za allah akbarrr!!! za 7octoba kuwa kilio kikali hadi cha leo huko Gaza hakika Israel ni hatari jamn

1. Kumbe wewe unadhani Gaza kuna vita dhidi ya waislamu? Kuwa ni wayahudi dhidi ya waislamu?

2. Au unadhani wayahudi ni waislamu? Au kuwa Kila anayempinga mwisraeli ni mwislamu?

3. Kwamba kwa sababu hiyo wakristo wote ndiyo mnakenua?

4. Jipe muda kutambua Nini kinaendelea kujua watoto wadogo wale haikuwa haki kukosa huruma vile kama wachoropoa mimba tu!

5. Kumbe kwa mawazo yako wanaokiona ni wakristo wa dunia nzima? Kumbe dunia ipi unayoiongelea?

IMG_20231228_074415.jpg


IMG_20231228_074516.jpg
 
Wenye vita vyao wameelekea Israel. Rafah itashabuliwa muda si mrefu:

IMG_20240322_072705.jpg
 
mkisha kaa na wajinga wanawajaza sumu tu.
unafahamu wapalestina kibao wanaishi marekani na wana citizen
 
Wenzio wanaleta fact wewe Unaleta BIBLE KNOWLEDGE hivi shuleni mlipelekwa mkasome nini


Poor
Pooor
Pooorest 🤤
Ghazzat (Gaza) kuna shimo la kuzimu lisiloonekana kwa macho ya nyama na binadamu wa kawaida anapumbazwa na haiba za sura za wenyeji kutoonesha hatia usoni lakini pia wanakuvuta uwe karibu nao ili wakusome vizuri kabla hawajakuangamiza.

Delila alikuwa mwanamke mwenye asili ya jamii ya Natuf (waarabu wa Gaza) ndiye aliyeingia urafiki na Samson mwenye nguvu nying kutoka Israel jamii ya Skhul na Qafzeh hominids (Hebrania) akashawishiwa kueleza chanzo cha nguvu zake alijitahidi kudanganya lakini hatimaye akatamka kwamba 'ukininyoa nywele zangu na nguvu zangu kwisha' ndipo mwanamke huyo mrembo alipotekeleza hilo na hatimaye akavamiwa na jeshi la wafilisti kumwangamizaakaamua kung'oa nguzo za jengo walimoingia akafa nao.

"Gaza is also mentioned in the Hebrew Bible as the place where Samson was imprisoned and met his death. The prophets Amos and Zephaniah are believed to have prophesied that Gaza would be deserted. According to biblical accounts, Gaza fell to Israelite rule, from the reign of King David in the early 11th century BCE"
 
Wenzio wanaleta fact wewe Unaleta BIBLE KNOWLEDGE hivi shuleni mlipelekwa mkasome nini


Poor
Pooor
Pooorest 🤤
Ghazzat (Gaza) kuna shimo la kuzimu lisiloonekana kwa macho ya nyama na binadamu wa kawaida anapumbazwa na haiba za sura za wenyeji kutoonesha hatia usoni lakini pia wanakuvuta uwe karibu nao ili wakusome vizuri kabla hawajakuangamiza.

Delila alikuwa mwanamke mwenye asili ya jamii ya Natuf (waarabu wa Gaza) ndiye aliyeingia urafiki na Samson mwenye nguvu nying kutoka Israel jamii ya Skhul na Qafzeh hominids (Hebrania) akashawishiwa kueleza chanzo cha nguvu zake alijitahidi kudanganya lakini hatimaye akatamka kwamba 'ukininyoa nywele zangu na nguvu zangu kwisha' ndipo mwanamke huyo mrembo alipotekeleza hilo na hatimaye akavamiwa na jeshi la wafilisti kumwangamizaakaamua kung'oa nguzo za jengo walimoingia akafa nao.

"Gaza is also mentioned in the Hebrew Bible as the place where Samson was imprisoned and met his death. The prophets Amos and Zephaniah are believed to have prophesied that Gaza would be deserted. According to biblical accounts, Gaza fell to Israelite rule, from the reign of King David in the early 11th century BCE"
 
1. Kwa mara nyingine wale wenye vita vyao wametimba kuliko na jambo lao (mashariki ya kati):

IMG_20240429_081703.jpg


2. Ikumbukwe hapa kunatafutwa mwendelezo wa vita, na hapa wamekuja na wababe wa vita wameongea? Vitalipuka vita Rafah!

IMG_20240429_081507~2.jpg
IMG_20240429_081507~2.jpg


3. Kwani kipi kilitaka kupoa hadi hii hulka ya kihayawani inayowatuma kwenda kulikamilisha jambo lao huko kabla hawajazidiwa na nguvu ya hoja nyumbani?

3. Si kuwa ni hili jambo letu wasilolitaka?

IMG_20240429_081410.jpg



4. Bila shaka hapo #2 na #3 ikizingatiwa na nyumbani nako ni mwendo mdundo?

Marekani: Migomo kwa Palestina yasambaa kama moto wa nyika!

5. Hata hivyo wamdanganye nani hawa? Watuambie nini?

IMG_20240429_082119.jpg

IMG_20240429_082420.jpg

IMG_20240429_082506~2.jpg

IMG_20240429_082506~2.jpg
 
Back
Top Bottom