Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

Gaza ni Marekani dhidi ya Palestina si Israel na HAMAS

shida mkuu unapigana vita kwenye akili yako !!
Kakuletea maandiko hapo kama evidence ya anachoongea ww unaleta bla bla

Kama huamini hicho alichosema njoo naww na ushahidi wako wa kupinga !! mgogolo una miaka zaidi ya elfu tatu unataka kuutazama kadiri majini yako yanavokutuma!

Na pia si hekima kufananisha frelimo,ANC na huu mgogoro Waisrael hawajatoka huko walikotoka wakaanza kulilia lile eneo No …Eneo linauhusiano na mababu zao tofaut na wapalestina ambao wamehamia kutoka nchi za kiarabu za jiran

Mkuu:

1. Ushahidi wa maandiko yako kutoka kwenye kitabu chako unachokiamini wewe ni sawa na gunia tupu kusimama!

2. Kaisari anasimama katikati ya kwake apewe yeye!

3. Ushahidi wangu huu hapa, huu unasimama wima mahakamani:

IMG_20231216_142943.jpg


4 Nikuongeze na huu hapa kutokea tokea kwa zako:

IMG_20231216_143204.jpg
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;

1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.

3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:

View attachment 2848731

2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.

3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama

4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:

UNSC kusimamisha vita Gaza

5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:

Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.

7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.

8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.

9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.

10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.

11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.

12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!

13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
Marekani na Isreal zinaupunguka. Wasiaahau walikuwemo Warumi walikuwa wanajeshi kubwa na katili sasa wapo wapi?
 
nivizuri uwe unasema ni mawazo yako!

Marekani apigane na palestina kwa masilahi gan labda??? ushaona marekani imepigana vita vya hasara!!

Uadui wa palestina na marekani umeanza lini???

US aid to gaza 100 million $
US aid to palestina annually 600million. $
US aid to palestina combined since 1994-5.2Billion $

Haya tueleze huo ugomvi na US na palestina ulianza lini na wanagombea nn??
Ugomvi ambao dunia haiujui unaujua ww na akilk yako

1. Kabla ya kusema jambo soma kwanza.

2. Bila hivyo hamtaacha kurukia treni kwa mbele.

3. Ulijiridhisha na maudhui ya mada au kichwa cha mada kikakuelekeza ku google for irrelevant statistics?
 
Palestina ianzishe uhusiano na North Korea pamoja na Russia kupitia Wagner, hawa wengine akina Iran waogawaoga tu...

Nilitegemea kuwaona Hizbollah wakilianzisha upande mwingine kama support kwa Palestina huku na kufanya vita isiyoiasha..

Taleban na wale Chechniya huwa wana wapiganaji wenye uvumilivu na uwezo wa kudumu vitani kwa muda mrefu sana ambacho ni kitu USA na Israel hawataki kukiona..

Iran angetumia influence yake na Urusi, kupitisha wataleban na wachechniya wapite Iran to syria and Lebanon wakae upande wa Hizbollah tushuhudie mtanange wa chini kwa chini..
Hiv unajua pale Russia kwenye utawala asilimia kubwa Jews wewe.
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;

1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.

3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:

View attachment 2848731

2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.

3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama

4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:

UNSC kusimamisha vita Gaza

5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:

Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.

7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.

8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.

9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.

10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.

11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.

12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!

13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
Safi kabisa
 
Vita viendeleee washenzi wa Hamas wamalizwe kbs wao na mazalia yao maana wametuulia ndugu zetu

Pro Hamas mbona mnataka vita isitishwe na wakati nyie ndo mnasema inapoteza sana

Kwamba?

IMG_20231221_202015.jpg


Kwa hiyo anayeomba vita isiendelee kumbe nani?
 
Hapa anasubiliwa muajemi tu sema naye kawa mjanja sn ameshanusa harufu kuwa yy ndiye target amebaki kupiga porojo tu huko pembezoni lkn hatii mguu.
Muajemi akili kubwa ana Hizbullah ana houthi ana nawengine kibao
Sasa mpaka yeye kuona anaingia sehemu mzima mzima ujue hali ishakua tete kabisa
Kama kweli us na shost zake walidhania kwamba eti iran atauingilia huu mzozo unaoendelea walikosea sana
Pia mie sikudhania tokea mwanzo kama iran ataingilia hili suala nilijua tu kama iran atakua kule anaangalia
Sana sana nilijua Hizbullah ndio wataingia wazima wazima ila nawao wamekua wanaingia nusu nsusu
Ila nimegundua tu kwamba Hizbullah wana akili kubwa hawafanyi mambo kwa kukurupuka
njia pekee yakunfanya iran aingie mgogoro wa moja kwamoja na israhell ama marekani niwao kuanza kushambulia iran ndani ya Mipaka yake siioni iran yakupigana eti kisa Hizbullah ama hamas wanapigana
Kama washirika wakaribu kabisa wa Hizbullah walipigana na israhell mwaka 2006 na iran hakuingia moja kwa moja itakua hanas
Kama mshirika wake assad anapigwa kila leo na israhell itakua ghaza
Mwisho israhell na shost zake hawatamani kwa sasa kuingia ulingoni na iran wanajua hata kama iran itaumia sana ila kuna wasi wasi israhell ikapotea maana wameonesha kama wadhaifu sana kwenye suala la vita mpaka wao kwa wao sasa wanaanza kuvutana huko israhell walijua vita itakua ya siku kadhaa khatimae masiku yanakatika dalili yakushinda vita hawana wala kuimaliza
 
nivizuri uwe unasema ni mawazo yako!

Marekani apigane na palestina kwa masilahi gan labda??? ushaona marekani imepigana vita vya hasara!!

Uadui wa palestina na marekani umeanza lini???

US aid to gaza 100 million $
US aid to palestina annually 600million. $
US aid to palestina combined since 1994-5.2Billion $

Haya tueleze huo ugomvi na US na palestina ulianza lini na wanagombea nn??
Ugomvi ambao dunia haiujui unaujua ww na akilk yako
Suala lakua marekani anapigana na Palestine hili lipo wazi tokea kabla ya huu mgogoro wasasa
Tokea mwama 1994 us unasema kapeleka msaada wa usd 5B pale Palestine sijajua msaada umegawanyikaje
Ila sasa kama hujui marekani kila mwaka anawapa israhell msaada wa dola zaidi ya billion 3 kila mwaka tena huu msaada niwakijeshi tu
Msaada huo ndio unaowezesha israhell kutengeneza makombora na vifaa vyengine vya kijeshi ambaovyo viliwaua wapalestine wa ghaza 2008 yakawaua 2014 naleo yanawaua tena 2023
Msaada huo huo ndio unasaidia majeshi ya israhell kuvamia na kuua watu ukingo wa magharibi nakila sehem ya palestina wanayoikalia kwamabavu
Sijajua kama hjjui haya ama unafanya kusudi ila marekani anachangia kwa [emoji817]% mauaji ya wapalestine au yeye ndio anapigana na wapalestine nyuma ya mgongo wa israhell
 
1. Kwa hiyo huku kwenye kauli yako hii, tulimalizana?

View attachment 2849004

2. Kama #1 kwa hiyo sasa umekuja kiimani zaidi?

3. Kama #2 ni kweli, unasemaje kuhusu hili?

Kama Maji Maji au Mau Mau ilikuwa halali, iweje lawama kwa wapalestina?
Jibu ni kwamba wenye amri ya kupigana au kuacha wameshatoa majibu
1. Hamas wamekataa kuzungumza kwa nia ya kubadilishana mateka na wafungwa ila wanataka vita iishe maana watu wao wanaangamia bure
2. Israel wamekataa kuweka silaha chini mpaka Hamas waondolewe nguvu zao, miuondo mbinu kuharibiwa na mateka kurejeshwa wakati katika hali yoyote

Sasa hapo mazungumzo ya kusitisha yako wapi?

Vitu viwili tu ambavyo ndivyo vitasitisha kwa muda vita kati ya Hamas na Israekl
1. Askari wengi na raia wa Israel kufia katika ardhi ya Gaza kwa kupewa taarifa za kiusalama za Hamas za kilaghai
2. Gaza itabaki magofu na makaburi huku baadhi ya wenyeji watakaobaki kuyahama makazi na kugeuka kuwa tegemezi zaidi kutokana na hisani ya Israel
3. Kutatokea mauji ya kutatanisha kwa baadhi ya viongozi wa Israel, nchi majirani ya Israel wanaounga mkono Hamas pamoja na UN
4. Hakuna kesi ya uharifu wa kivita dhidi aidha Israel au Hamas itafaulu bila maumivu ya kupoteza uhai kutokea isivyotarajiwa
 
Hamas walipochimba matanuli yao ya kilomita nyingi, walijiaminisha Sasa kuwa wanaweza kufanya lolote kwa Israel na wakashinda, siku zote Hamas Wana wazo la kufuta Israel, lakini je, wataweza? Hili suala liko kiimani zaidi. Miaka ya 580 Mungu alinena kupitia manabii wake Zakaria, Ezekiel na Amos kuwa, Israel wamesahau Mungu, na akasema atawatawanya eneo Hilo, ikatokea mwaka 135 AD Waisraeli walipigwa na Warumi na kutawanywa. Mungu alisema pia kuwa atawarejesha Israel na walirejea mwaka 1948. Pia Mungu alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7) na yanatokea Sasa Kuta za Gaza zinawaka Mungu pia alisema atakapowarudisha Israel, hakuna wa kuwatoa (Amos 9:15). Haya maneno yalishasemwa miaka ya nyuma 580 BC na Sasa yanatimia,bado moja, kwamba watakaporejeshwa hakuna wa kuwatoa, hili tusubiri tuone, nani atawatoa Waisraeli? Je, UN? Je, maandamano ya Dunia? Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo hawataweza, wakikomaa watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Unabii ulioahidiwa kumlinda isreali kama taifa ulishamalizika sababu israeli walimkataa yesu mpaka kufa kwake waliwakataa mitume baada ya Yesu...
Wakati wa Yesu.... Aliwaambia nyuba yao yaani hekalu limeachwa kwa ukiwa kwa maana Mungu hataishi tena ndani ya Hekalu la suleiman.. Sababu walimkataa Yesu... Sasa je ahadi zile zilibatika... Hapana ila zimeamia kwa kila anaemwamini kristo(soma 1wakorinto 7:19) pia soma wagalatia 3:29.... Ondoeni swala la kwamba kuna Taifa, kwa mtazamo wa kidunia, ambalo Mungu analiangalia ila ni watu wamwaminio kristo hao ndo watarithi ahadi zote zilizahidiwa kwa wana wa israel..
Pia taifa hili la israeli linafanya mambo mengi ambayo Mungu aliwakataza mfano kuruhusu mapenzi ya jinsia moja... Wayahudi wengi hawamwamini Yesu..... Baadhi yao hawaamini kama kuna Mungu kabisa... Tumia muda wako kusoma maandiko....
 
Kwa hiyo vita imesimama?

Katika watu wasioaminika kabisa, jamii ya waarabu ni no.1. Na hilo alilidhihirisha hata Gadafi. Na akasema ni aheri awe mwanachama wa taasisi ya Waafrika kuliko waarabu, kwa sababu hawaaminiki na hawana msimamo.
Acha kusambaza chuki humu maana ndyo kazi yako tokea vita ianze

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Hamas walipochimba matanuli yao ya kilomita nyingi, walijiaminisha Sasa kuwa wanaweza kufanya lolote kwa Israel na wakashinda, siku zote Hamas Wana wazo la kufuta Israel, lakini je, wataweza? Hili suala liko kiimani zaidi. Miaka ya 580 Mungu alinena kupitia manabii wake Zakaria, Ezekiel na Amos kuwa, Israel wamesahau Mungu, na akasema atawatawanya eneo Hilo, ikatokea mwaka 135 AD Waisraeli walipigwa na Warumi na kutawanywa. Mungu alisema pia kuwa atawarejesha Israel na walirejea mwaka 1948. Pia Mungu alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (Amos 1:6-7) na yanatokea Sasa Kuta za Gaza zinawaka Mungu pia alisema atakapowarudisha Israel, hakuna wa kuwatoa (Amos 9:15). Haya maneno yalishasemwa miaka ya nyuma 580 BC na Sasa yanatimia,bado moja, kwamba watakaporejeshwa hakuna wa kuwatoa, hili tusubiri tuone, nani atawatoa Waisraeli? Je, UN? Je, maandamano ya Dunia? Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo hawataweza, wakikomaa watafutwa mazima.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Naona umeweka tabiri za watu wakale tu kabla ya Yesu,lakini huu ndiyo utabiri wa kufanyia Kazi kwa sasa toka kitabu cha Luka 19:


28 Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.


Sasa ebu leta ufafanuzi wa utabiri huo wa Yesu.
 
Naona umeweka tabiri za watu wakale tu kabla ya Yesu,lakini huu ndiyo utabiri wa kufanyia Kazi kwa sasa toka kitabu cha Luka 19:


28 Na alipokwisha kusema hayo, alitangulia mbele akipanda kwenda Yerusalemu.
41 Alipofika karibu aliuona mji, akaulilia,
42 akisema, Laiti ungalijua, hata wewe katika siku hii, yapasayo amani! Lakini sasa yamefichwa machoni pako.
43 Kwa kuwa siku zitakuja, adui zako watakapokujengea boma, likuzunguke; watakuzingira na kukuhusuru pande zote;
44 watakuangusha chini wewe na watoto wako ndani yako, wasikuachie jiwe juu ya jiwe, kwa sababu hukutambua majira ya kujiliwa kwako.


Sasa ebu leta ufafanuzi wa utabiri huo wa Yesu.

Kuna na huu hapa mwamba Hana hamu nao:

Ukweli kuhusu Gaza, usiopendwa na wakristo wasio haki

Ya bwana eliasmisinzo ni Amos 9:15 mengine aah aaah ..🤣🤣
 
Huu ndiyo ulio ukweli mchungu. Ikumbukwe;

1. Israel anajinasibu kupambana na HAMAS akisema hana taabu na wapalestina huku wahanga wakiwa wapalestina; hadi West Bank ambako hakuna HAMAS.

3. Kila vita vinapotaka kusimama, maafisa wazito wazito wa Marekani huenda Israel na vita hurundima upya kwa kasi mpya na ari mpya punde tu wanene hao wanapoondoka:

View attachment 2848731

2. Vita viliwaka moto Kwa kasi zaidi baada ya kusimama, siku moja tu baada ya waziri Blinken kuzuru Israel.

3. #2 hapo ikumbukwe Blinken alisema wanapenda vita iendelee, ila waone vifo vya raia vinapungua (japo kidogo) siyo vita kusimama

4. Baada ya Israeli kuuwa mateka wake Israel, nia ya kurejea mezani iliimatika Hadi UN: UNSC ikaitishwa kwa azimio la kusitisha vita:

UNSC kusimamisha vita Gaza

5. Kama safari ile, safari hii wanene wengine wakaelekea Israel; na alipoondoka tu mnene huyo wa Pentagon, vita vilivyokuwa vimeanza kupoa kuonesha dalili ya kufikia mwisho mwema vikarindima tena, kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi:

Vita Gaza katika mwelekeo mwema, busara inapoanza kurejea

6. Bwana Lloyd Austin akaitangazia dunia kuwa Sasa vita itakuwa 'more surgical," whatever that means, na eti kuwa haitakuwa "shoot to kill" ila "think first before shooting" eti wasiuwe mateka wengine kama wale kama watatokea tena.

7 Tokea hapo Marekani amekuwa anajivuta miguu na kura UNSC tokea jumatatu Kkla siku ati mpaka aridhike; hadi wa leo.

8. Mawaziri wote wawili hawa na ma spy masters wao kila wakifika Israel hushiriki kwenye vikao vya baraza la vita kama wajumbe kamili.

9. #8 hapo yawezekana hushiriki siku zote kupitia teknolojia.

10. Marekani hataki suluhu, hana haja na mateka mengine yote ni mbwembwe kumnyorosha mpalestina, bila shaka lengo kuu akimtafuta Iran ajichanganye.

11. #10 hapo ndiyo maana kaleta manowari zake pale na ana madege yake juu bega kwa bega katika operation hii.

12. Sasa hivi Blinken kafichama, kimya hasikiki; mnafiki mkubwa!

13. Hadi dunia itakapo mstukia beberu mkuu mwenye vita yake na Iran huyu, bado tupo tupo sana!
Israel kawakamata waislam wote Duniani, mmeandamana, mmepiga mayowe kote Duniani but nani awasikilize,

Israel iligeuza sherehe za allah akbarrr!!! za 7octoba kuwa kilio kikali hadi cha leo huko Gaza hakika Israel ni hatari jamn
 
Back
Top Bottom