Nadhani something is wrong with you! ..........Statistics as today........
At least 26 people killed in Israeli attack that levels neighbouring homes in southern city, Palestinian officials say.
Gaza's Ministry of Health said on Thursday that at least 179 people had been killed and 303 wounded in Israeli attacks over the past day, bringing the death toll in Gaza since the war began on October 7 to 18,787 with 50,897 injured.1 day ago
Kwa hiyo kufa kwa raia 18,787 ndio kushinda Vita......Ipe Hongera Hamas basi kwa hilo! .......Na kuabika mbele ya Ulimwengu una maana ipi...? Ulimwengu ndani ya ubongo wako? Umeulizia Bolivia....Chad.....Guatemala........Belize...Una sensa yoyote ile......! Labda ulimwengu wa nchi 22 za kiarabu.....ambayo wameiabisha Palestina kwa kutotoa msaada wowote! Imebidi US atoe litu kidogo kwa Egpty ili ifungue mpaka kuingiza misaada! Egpty hataki kabisa hata Hamas mmoja aingie, anajua wazi ataleta ugonjwa wa Moslem Brotherhood!
Facts: Gaza inaharibiwa! Itaanza upya tena....Hakuna chochote kile ambacho Hamas iimefanikiwa katika kusukuma agenda yake! Waarabu mataifa 22 wanaendelea kutoa laana, lakini wanashindwa kuchukua hatua yoyote ile!
Taratibu akili imeanza kuingia...Abu Mazrouk mara aseme tuko tayari kuitambua Israel.......mara akatae! Unajua kabisa hali imekua ngumu.....! Sijui nani anaibika....