Gaza: Wanamgambo wa Hamas waanza kujisalimisha kwa jeshi la Israel, Hakuna tena kujificha nyuma ya wanawake na watoto, ni vita ya ana kwa ana

Takbirrrr
 
... wanesikia kuna pump lenye capacity ya 60,000 ltrs per min (Guinness Record) linafungwa huko Mediterranean kujaza mashimo yao lazina watoke tu panya buku hao!

Hao Israel wanawachelewesha; piga risasi hao itapunguza mengi. Huruma huruma zitawa-cost bila sababu.
 
Hamna lolote Israel anacho fanya kuwashika raia wa kawaida na kujidai wanamgambo wa Hamasi 😄

Vita hi hashindi wasalimieni Wamarekani na waingereza pamoja na mashoga zao Israel ile Central operation yao imepata kipiga takatifu wamekufa wote waliopo kwenye joint operation yao.
 
Bado maji hayajajazwa kwenye mashimo yao,watatoka wote na kidakwa kama kuku wa kideri
Uliona wapi maji ya bahari yakawa silaha isipokuwa kwa vichaa na wanaomini vichaa lazima wawe vichaa.

Kipigo anachopewa Israel mpaa kinawavuruga akili hamna walicho pata, Hamasi wako very strong na hizo picture za kushika raia wasio na silaha kujidai ni wanamgambo wa Hamasi ni kama ile filim walio act wakaingia kwenye jumba pale Gaza eti wameuwa wanamgambo wa Hamasi, wako wapi hamna 😄

Sa wameona wakamate raia wa kawaida na kujidai wanamgambo wa Hamasi, afu silaha zimewasuta kumbe za plasitic wamekuja nazo wao 😄
 
Acha uwongo wewe wamekamata raia hawana hata silaha kwenye makazi huko Khan
Yunus na Israel haijasema kua ni Hamas hizo ni Propaganda
 
Acha uwongo wewe wamekamata raia hawana hata silaha kwenye makazi huko Khan
Yunus na Israel haijasema kua ni Hamas hizo ni Propaganda
Aljazeera wanawabisha wanasema tv channel ya Israel ambayo ni wasemaji rasmi wa Israel mara wasema tumefananisha viatu vyao na Hamasi 😄 Mara lazima tufanye hivi ili wanamgambo wa Hamasi wajisalimishe 😄 Sa wanauliza swali Aljazeera tangu kuanze vita Israel kawahi onyesha hata mwanamgambo mmoja ha Hamasi wamemshika au wameuwa hamna vipi apate mara moja mateka vile 😄

Kingine kwa ujinga wao wameshika mpaa wandishi wa habari



View: https://youtu.be/QQX8mbk2VrM?si=SYt-1wOXGz8WFptJ
 
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]Israel ni matapeli na waongo wanapigana kwa mihemko ya kike

Israel is telling us these men were caught in Khan Yunis but their pictures tell a different story.....

Last picture of map for reference, Beit Lahiya is located in northern Gaza while Khan Yunis is 21 miles to the south.

More Israeli LIES....
 
Hata boxer hawakuruhusiwa kuvaa, si kutakuwa na uhaba wa wanaume huko, au ndio maana kuna Sera ya 1 kwa 4
 
Punguza chuki ww mrokole uchwara mpaka sasa hakuna ushahidi wowote unao onesha kuwa hao ni wapiganaji wa Hamas.
Hiyo Israel yenu vita inewashinda wameanza kukamata kila mwanaume wakihofia kuwa ni Hamas, hao wanaume unao waona hapo wakifanyiwa hivyo baada ya Israel kuivamia kambi moja wapo ya wakimbizi huko gaza kusini kwa madai kuwa ni kambi ya hamas lakini mpaka sasa hawajapata huo ushahidi wa madai yao.
 
Eti kipigo,wenzio wanakufa kwa maelfu wewe unaleta siasa na kingine hayo ni magaidi ni lazima yaadhibiwe vikali sana.
 
Hakuna mwanajeshi hapo aliyekamatwa hata mmoja acheni kujipa matumaini hewa. Hao ni raia kama raia wengine wanaopigwa mabomu kila uchao na israeli. Wanamgambo wa Hamas hawakamatwi kilofa lofa hivyo wewe.
 
Wamejisalimisha baada ya Israel kuanza kuingiza maji kwenye mitaro yao mzee.
 
Yule msemaji wa AL-HAMAS, FaizaFoxy, amethibitisha kuwa Hawa ni wapigani wao? Au mnazusha tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…