Jeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikubwa ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, iliteketezwa na Jeshi la Israel.
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
Magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa sababu za kiusalama ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
Uharo mtupu mabasha zenu baada ya cinema ya kihindi kubuma kama Shifa Hospital wamesema siyo Hamas mashoga peke ndiyo wanameza hizi propaganda.
🚨 BREAKING: IDF ADMITS TODAY'S MASS ARRESTS ARE NOT NECESSARILY HAMAS
In a statement, the IDF spokesman states that the IDF arrested Palestinians who may not be part of Hamas, as they were in Hamas hotspots.
The detainees will be interrogated to investigate who is and isn't linked to Hamas.
Full Statement by IDF Spokesman Rear Adm. Daniel Hagari:
"Jabaliya and Shejaiya are 'centers of gravity'... for terrorists, and we are fighting them. They are hiding underground and come out and we fight them.
Whoever is left in those areas, they come out from tunnel shafts, and some from buildings, and we investigate who is linked to Hamas, and who isn't.
We arrest them all and interrogate them."
Source: Times of Israel
———
🚨 BREAKING: IDF YAKUBALI KUKAMATWA KWA MISA LEO SI LAZIMA HAMAS
Katika taarifa yake, msemaji wa IDF anasema kuwa IDF iliwakamata Wapalestina ambao huenda si sehemu ya Hamas, kwa vile walikuwa katika maeneo yenye Hamas.
Wafungwa hao watahojiwa ili kuchunguza ni nani anahusishwa na asiyehusika na Hamas.
Taarifa Kamili na Msemaji wa IDF Daniel Hagari:
“Jabaliya na Shejaiya ni ‘centers of gravity’... kwa magaidi, na tunapambana nao wanajificha chini ya ardhi na wanatoka na tunapambana nao.
Yeyote anayeachwa katika maeneo hayo, wanatoka kwenye shimo la handaki, na wengine kutoka kwa majengo, na tunachunguza ni nani anayehusishwa na Hamas, na ni nani asiyeunganishwa.
Tunawakamata wote na kuwahoji."
Chanzo: Times of Israel