Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Wazalendo mafisi wanashabikia gazeti likifungiwa kwa kuandika habari za mafisadi?Tanzania ni takataka? wewe mwenzetu raia wa nchi gani maana hili ni tusi kwetu wazalendo, kama wewe ni mtanzania pia tafadhali tangulia dampo tutakukuta.
Lama una nakala za kabla sijazaliwa basi wewe ni mstaafu,ndiyo maana unaomuda wa kusoma magazeti,wapambanaji hawana muda huo.Njoo nikuonyeshe nakala zingine hujazaliwa ninazo.wewe so unafungia vitumbua au kuuza kwa wauza duka?!
Haina maana kuwa wewe unauchukia sana ufisadi,siku nyingine chagua maneno ya kuongea, usiwe kama nyani.Wazalendo mafisi wanashabikia gazeti likifungiwa kwa kuandika habari za mafisadi?
Mkifika Mahakamani mnaangukia pua !Ila hawa MAWIO inabidi wafungiwe maisha. Ni wachochezi na wazandiki
Itashindwa mahakamani vibaya sana !Hapa ndipo serikali inapokosea. Sababu iliyotumika kulifungia hili gazeti ni dhaifu mno.
Hio picha kwenye avatar yako umeipenda sana eehHahahahahaaaaa. Ulitaka afanyeje kwa uchochezi wa Mawio!
Umeonaeee....Bado haiondoi ukweli kua Ben na Mrisho walizingua hata hao wanaopigiwa kelele kua ni wezi watapona tu.Ccm hawasafishiki wote wezi tu.La muhimu ni kupiga kazi watoto wetu wale siasa za bongo ni kuumizana vichwa tu.Nashauri hata kina lisu kaeni kimya tu mnapigania wajinga kwa kupambana na wezi ila nani anawaona kwenye hili kundi la vipofu?
Mkuu kwani Lowassa alisemaje baada ya kubanwa sana na media... "maagizo toka juu"..so tuwajadili wahusika wengine tu ila hawa wawili waachwe. Hivi mawaziri watakaopandishwa kizimbani wakajitetea kwamba ulikuwa uamuzi wa pamoja wa baraza la mawaziri (ambalo Rais ndio Mwenyekiti) itakuwaje? Magufuli hadi leo akibanwa sakata la uuzaji wa nyumba za serikali anajibu "it was collective decision by cabinet".