Gazeti la Mwanahalisi linatafuta cha kusema pindi baraza la Mawaziri litakapotangazwa

Gazeti la Mwanahalisi linatafuta cha kusema pindi baraza la Mawaziri litakapotangazwa

Magu hatabiriki,hakuna ukweli,mnawaharibia wenzenu kwa uzushi huu.
 
Hahahhahha mwanahalisi wahuni snaa hizo ni fitna kwa hao watwajao wasipewe lo
 
Yaan hapo kwa Riz1! mbona itakuwa ni kama kurudisha utawala wa awamu ya 4 ?! sheeedah
 
sidhani Kama magufuli ataweka hao watyu watamrudisha nyuma kiutendaji. fullu uozo
 
Hahahahahhahahaaaa.....tulisema sisi hakuna jipyaaaaaaa...hahahahahhaaa...

Huyo mangoes yeye ni mambo ya nje nini?ahhahaha ccm buanaaa

Jiongeze mkuu hiyo taarifa siyo rasmi lakin ajabu kwako ww umeifanya ndio rasmi.
 
Wakati joto la kusubiri rais John Magufuli atangaze majina ya baraza lake la mawaziri likizidi kupanda, gazeti la Mwanahalisi limetoa baadhi ya majina yanayodaiwa kuvuja kutoka kwenye orodha hiyo.


Mmoja kati ya majina ambayo yamevuta usikivu wa wengi ni jina la aliyekuwa waziri wa mambo ya nje, Bernard Membe ambaye alikuwa mmoja kati ya wagombea wa CCM waliokuwa wanatajwa kuwa chaguo la rais mstaafu, Jakaya Kikwete.


Kwa mujibu wa gazeti la Mwana Halisi, majina mengine yanayotajwa ni pamoja na
January Makamba,
Dk. Asha Rose Migiro,
Ridhiwani Kikwete,
Peter Serukamba na
Mwigulu Nchemba.

Jina jingine lililotajwa kwenye orodha hiyo ni jina la aliyekuwa Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agostino (SAUT), Dk. Charles Kitima.

Dk. Kitima anadaiwa kuwa mmoja kati ya watu waliomuamini sana Dk. Magufuli wakati akiwa Waziri wa Ujenzi na hata kumualika kuwa mgeni rasmi kwenye mahafari ya chuo hicho.


NB: Majina haya ni kwa mujibu wa gazeti la Mwanahalisi ambalo limedai kuyapata baada ya kuvuja. Rais Bado hajatangaza baraza lake la mawaziri


Hata hivyo,Rais Magufuli anatarajiwa kutangaza baraza lake la mawaziri muda wowote kuanzia sasa.

Kwa mujibu wa katiba, rais anapaswa kutangaza baraza lake kabla ya kuanza kwa vikao vya bunge vya mwezi Januari.

source Mpekuzi blog
Bunge la January mawaziri hawatakuwa na cha kusema maana ndio kwanza watakuwa wameingia ofisini...
 
Rose migiro, Bernad membe hawa ni wabunge wa majimbo yepi?
 
Jiongeze mkuu hiyo taarifa siyo rasmi lakin ajabu kwako ww umeifanya ndio rasmi.

Mkuu huo ni ukweli mtupu namie nilinyetwishwa kiaina..baraza safi sana hiliii...hapakazi tuuu...magufuliselemass oyeeee..mwandishi kamsahau nape tuu
 
Mkuu TataMadiba

MWanahalisi ni gazeti pendwa kwa habari za uchunguzi.

Kumbuka ni MWanahalisi huyu huyu ambaye alinadika HABARI KUHUSU ALIYEMTEKA NA KUMTESA DR. ULIMBOKA.

je nayo ilikuwa ni uongo?????? mbona mliamua kulifungia hili gazeti kama ni gazeti la uongo???

Lisemwalo lipo na kama halipo ujue linakuja.

Usiweweseke tulia siku yake itafika tu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu huo ni ukweli mtupu namie nilinyetwishwa kiaina..baraza safi sana hiliii...hapakazi tuuu...magufuliselemass oyeeee..mwandishi kamsahau nape tuu
Hadi Nape anahusishwa na Baraza la Mawaziri? Haiwezekani bwana!
 
Back
Top Bottom