Utotole
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,607
- 4,263
Wewe umempa yako achezee? Kama ndiyo shauri yako. kama hapana kwa nini uamini hao watu wengine akili zao zitachezewa? Take it or leave it. Mbona udaku mnasoma kila siku na hatuwasikii mkilalamika huku? Hata riwaya ambazo zimeandikwa kuwa ni za visa vya kubuni mnazisoma, na tamthilia au filamu mnaangalia hadi wengine mnatoa machozi kwa visa na matukio ambayo mnajua kabisa dhahiri kuwa ni ya kubuni. Sasa mnahangaika nini na majina 8 ya mawaziri watarajiwa?Kubenea tapeli yule,,hapo anacheza na akili za watu