mbaruku mkali
Member
- Nov 18, 2015
- 12
- 2
Kama unaona mwanahalisi limefanya makosa kutoa hayo majina 8 ya mawaziri waliovuja basi wachukulie hatua sio unaongea tu humu kwenye mitandao na unatakiwa ukumbuke lile ni gazeti bingwa la habari za kiuvhingizi serikali wenyewe waliligungia wakashindwa kesi sasa kubenea anaidai serikali bilioni 6 halafu wewe nani unaandika maneno meeengi unatumia enegy bure kizungumzia kitu ambacho hakikuhusu