Wewe umempa yako achezee? Kama ndiyo shauri yako. kama hapana kwa nini uamini hao watu wengine akili zao zitachezewa? Take it or leave it. Mbona udaku mnasoma kila siku na hatuwasikii mkilalamika huku? Hata riwaya ambazo zimeandikwa kuwa ni za visa vya kubuni mnazisoma, na tamthilia au filamu mnaangalia hadi wengine mnatoa machozi kwa visa na matukio ambayo mnajua kabisa dhahiri kuwa ni ya kubuni. Sasa mnahangaika nini na majina 8 ya mawaziri watarajiwa?Kubenea tapeli yule,,hapo anacheza na akili za watu
swadaktaMkuu TataMadiba
MWanahalisi ni gazeti pendwa kwa habari za uchunguzi.
Kumbuka ni MWanahalisi huyu huyu ambaye alinadika HABARI KUHUSU ALIYEMTEKA NA KUMTESA DR. ULIMBOKA.
je nayo ilikuwa ni uongo?????? mbona mliamua kulifungia hili gazeti kama ni gazeti la uongo???
Lisemwalo lipo na kama halipo ujue linakuja.
Usiweweseke tulia siku yake itafika tu.
kubenea ni mganga njaa tu yule, anatumia ukanjanja wake kupiga madili.jamani mwenye kuelewa cv ya kubenea iwekwe hapa tuichambue tunaweza kumsifu kama mtu wa madia mahili kumbe hana fani hiyo
Kubenea mhuni na tapeli hafai kwa lolote kazi yake ni kucheze akili za watu apuuzwe.
kubenea ni mganga njaa tu yule, anatumia ukanjanja wake kupiga madili.
Mbona wewe ndiyo unajisumbua bure?
Nani kakwambia uwahi huku.
Acha watu wasome gazeti wapate habari, mbona Uhuru lipo na unasomaga wewe na hakuna anayekuuliza?
Wewe umempa yako achezee? Kama ndiyo shauri yako. kama hapana kwa nini uamini hao watu wengine akili zao zitachezewa? Take it or leave it. Mbona udaku mnasoma kila siku na hatuwasikii mkilalamika huku? Hata riwaya ambazo zimeandikwa kuwa ni za visa vya kubuni mnazisoma, na tamthilia au filamu mnaangalia hadi wengine mnatoa machozi kwa visa na matukio ambayo mnajua kabisa dhahiri kuwa ni ya kubuni. Sasa mnahangaika nini na majina 8 ya mawaziri watarajiwa?