Weka ushahidi usio acha shaka ili tukuaamini!!Mkuu wa mkoa wa Arusha anayepigiwa chapuo kuwa Rais wa nchi huko mbeleni anaishi hotelini huko arusha na kila siku anatumia million 6 na laki 2
Sasa hapo hajapewa nchi akijapewa nchi itakuaje na katiba hii mbovu viongozi wa umma muwe na huruma kidogo sasa ukipiga million 6.2 mara 30 jibu unalo
Chawa mnaumia bosi wenu akitumia elfu 10 huku nyie mkitumiwa elfu 10 kwa weekAcheni umbea na kupenda kulishwa Matango pori.mnaacha kufanya kazi mnakalia umbea na uongo tu
Ndo maana yake mbaya zaidi machawa wanapewa elfu 5 au 10Halafu mtu kama huyu umwambie ccm ni mbaya! Yuko tayari kukupoteza
Hizo ni taarifa za uongo na uzushi mkubwa sana . puuzeni taarifa hizo na kipeperusha chake.lengo ni kutumika na maadui wa Mwamba kutaka kumchafua Mwamba.Tumebubujikwa na machozi ya simanzi baada ya hizo taarifa na wengine wamezimia kabisa kama lucas na ephen
Unapenda habari za kizushi na umbea kama mwanamke vile. Ushahidi upo wapi? Hata mtumie vipeperushi vya aina gani kumpaka matope Mwamba bado hamuwezi kufanikiwa hata kidogo.Mwamba ni Mpango wa Mungu MwenyeweHalafu mtu kama huyu umwambie ccm ni mbaya! Yuko tayari kukupoteza
Lakini pamoja na kuikarabati office ya ya DSM lakini mwisho wa siku hakuondoka nayo,wengine tunafaidika nayo,na hiyo ndiyo maana halisi ya serekali!!Tanzania hii yote yanawezekana,maana baada ya kuteuliwa kuwa RC DSM alijarabati ofisi yake jwa gharama kubwa sana mamilioni sijui aliyatoa wapi,akaacha kutuumia VX za serikali akawa anabadilisha vibao vya Plate number za RC DSM kwenye ma range na ma lexus
Mimi wala sina shida na Makonda ni mtu wa kazi na harakati kibao namkubali na ni mtu wa maana kabisa!Tafuta pesa acha kulalamika mkuu!!
Kwani wewe umezuiwa kuwa na pharmacy? Hata akiwa na kitega uchumi kila ubalozi inakuzuia nini wewe kuwa na miradi yako? Tungeni sana uzushi na uongo lakini watanzania wanafahamu vyema uadilifu na uzalendo wa Mwamba Makonda.Saizi ana Defender mbili new Mode kali sana!
Huyu jamaa mwacheni tu! Mwanza Capri point ana Apartments hatari na bado
Pharmacy kila kona ya nchi!
[emoji7]Acheni uzushi wenu,acheni kumpaka matope Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.natambua kuwa mnaumia sana mnapoona akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya wana Arusha na kuendelea kukubalika,kuungwa mkono na kuwaletea maendeleo makubwa.najuwa hali hiyo inawaumizeni sana kwa sababu ninyi mlisema hawezi kuongoza jiji la Arusha.
Sasa mnashangaa namna jiji lilivyotulia na kusifika kwa kasi na mipango ya maendeleo.mpaka kufikia hatua viongozi mbalimbali kumpongeza Mwamba kwa uchapakazi wake uliotukuka.
Ndio sababu ya kuanza kutunga vihabari vya uzushi na uongo.hata hivyo hamuwezi kumkwamisha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda wala kumkatisha Tamaa.
Sasa ebu mkope hata laki 5 tuone kama atakukopesha!na akikupesha vumilia madai yake!!Saizi ana Defender mbili new Mode kali sana!
Huyu jamaa mwacheni tu! Mwanza Capri point ana Apartments hatari na bado
Pharmacy kila kona ya nchi!
Uzushi tu.huyo Kubenea amezoea kuishi kwa habari za uongo na uzushi tu mjini.ameona auze gazeti kupitia jina la Mwamba Mwenyewe Paul MakondaMwanahalisi,= kubebea= kitenge
Huyo matenge kajuaje au naye .......Mkuu wa mkoa wa Arusha anayepigiwa chapuo kuwa Rais wa nchi huko mbeleni anaishi hotelini huko arusha na kila siku anatumia million 6 na laki 2
Sasa hapo hajapewa nchi akijapewa nchi itakuaje na katiba hii mbovu viongozi wa umma muwe na huruma kidogo sasa ukipiga million 6.2 mara 30 jibu unaloView attachment 3082309
Baba kwa upambaji wako unaweza kulipamba Gereza la Ukonga likapendeza.Acheni uzushi wenu,acheni kumpaka matope Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda Kijana Jasiri kusini mwa jangwa la Sahara.natambua kuwa mnaumia sana mnapoona akiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya wana Arusha na kuendelea kukubalika,kuungwa mkono na kuwaletea maendeleo makubwa.najuwa hali hiyo inawaumizeni sana kwa sababu ninyi mlisema hawezi kuongoza jiji la Arusha.
Sasa mnashangaa namna jiji lilivyotulia na kusifika kwa kasi na mipango ya maendeleo.mpaka kufikia hatua viongozi mbalimbali kumpongeza Mwamba kwa uchapakazi wake uliotukuka.
Ndio sababu ya kuanza kutunga vihabari vya uzushi na uongo.hata hivyo hamuwezi kumkwamisha Mwamba Mwenyewe Paul Makonda wala kumkatisha Tamaa.