Gazeti la Raia Mwema laripoti njama za kuiba pesa BoT wakati wa msiba wa Hayati Dkt. Magufuli

Huyu msigwa ana kili gani?

Kwani mbona Hamza hajui kuna ushahidi kuwa ni mwanachama mwenztu wa CCM?.
 
Waliopanga njama hawakutajwa , uchunguzi umefichwa Gazeti lililofichua uchafu limefungiwa !

Mungu ibariki Tanzania
 
Tume zote awamu 6 ni magumashi Mama anawaogopa Sukuma Gang wote anajua akiwazingua 2025 hakatizi hata iweje ndio maana anaufyata waliochota mabilioni ameishia kuguna na kuwaachia.....
 
Tume zote awamu 6 ni magumashi Mama anawaogopa Sukuma Gang wote anajua akiwazingua 2025 hakatizi hata iweje ndio maana anaufyata waliochota mabilioni ameishia kuguna na kuwaachia.....
Ndiyo maana amegeukia maigizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…