Gazeti la The Economist: Rais Magufuli na CCM kuendelea kushika madaraka baada ya Uchaguzi Mkuu

Gazeti la The Economist: Rais Magufuli na CCM kuendelea kushika madaraka baada ya Uchaguzi Mkuu

MsemajiUkweli,

Swala la idadi ndogo ya wabunge wa upinzani me sitaki kuamini Coz kila uchaguzi huwa tunahisi hivyo na matokeo yake ndio kwanza wanajaa,

Me nadhani watanzania wanawaamini sana upinzani kwenye ubunge kuliko kwenye urais

Na la urais linakuwa gumu sana hasa kwenye kuunda serikali bcoz upinzani hawana watu ambao wanaweza kusema wanaunda serikali
Is either hujui au unapiga propaganda! Tangu mfumo wa vyama vingi uanze CCM wameshinda, kihalali mala mbili tuu, that was 2000 second term BW Mkapa, na 2005, J Kikwete first term! Chaguzi nyingine zote mazonge na Tume wanamtangaza wao! Inasemekana 2010 W Slaa, Alichakachuliwa, 2010 unajua 3m won against 10m as per NEC!

Wabunge nadhani kama uko Tz unajua, Hata hapa mjini, Mbagala unajua kinachotokea mpaka wengine sasa tunaitwa "wanaume wa Dar" since we can't fight for our right like watu wa mikoani wanavyompigania mshindi kihalali!
 
Nyanjomigire,
Gazeti la The Economist halijasema lolote kuhusu uhalali/muundo wa tume ya Uchaguzi lakini una haki ya kuwa na mtazamo wako! Kumbuka mtazamo wako hauwezi kuondoa angalizo la gazeti la The Economist kuhusu matokeo ya Uchaguzi Mkuu.

Labda tujiulize, kutorudi kwao CCM madarakani kutasaidia nini Watanzania? Ni chama gani kitaziba nafasi ya CCM baada ya kutorudi madarakani?

Ni kweli, hakuna lolote lililofanywa kwa zaidi ya miaka 60 kwa mtu ambaye akili ya kawaida (common sense) ni bidhaa adimu katika ubongo wake!
Kutokurudi kwa ccm kutaisaidiaje Tanzania ni issue that is open to debate and we shouldn't take bets on it nor assuming the role of a prophet.

Kuhusu hatua iliyopigwa toka uhuru wewe unaweza kuwa na mtizamo wako labda kulingana na "Affinity or Behavioral Characteristics or even Sycophancy existing between you vis a vis the rulers".

Nchi hii na umri huo toka uhuru bado haiwezi kabisa ikaendesha mambo yake bila kutegemea "Economic Handouts" toka nje si swala la kujivunia hata kidogo na mara kwa mara tunashuhudia pro-government media wakishindana kutangaza pale hizo "Handouts" zinapotolewa au kuahidiwa.

Very shameful and it's not something worth smiling about.
 
Is either hujui au unapiga propaganda! Tangu mfumo wa vyama vingi uanze CCM wameshinda, kihalali mala mbili tuu, that was 2000 second term BW Mkapa, na 2005, J Kikwete first term! Chaguzi nyingine zote mazonge na Tume wanamtangaza wao! Inasemekana 2010 W Slaa, Alichakachuliwa, 2010 unajua 3m won against 10m as per NEC!

Wabunge nadhani kama uko Tz unajua, Hata hapa mjini, Mbagala unajua kinachotokea mpaka wengine sasa tunaitwa "wanaume wa Dar" since we can't fight for our right like watu wa mikoani wanavyompigania mshindi kihalali!
Hebu kiruhusu kichwa chako kitafakari basi Bingwa. 2010 Dr. Slaa alimshinda a serving Preaident? Halafu 2015 CDM ikiwa ina nguvu na maarufu mara dufu ya 2010 na DR. Slaa akiwa maarufu mara dufu ya 2010, CCM wakiwa wamemuweka mgombea asiye maarufu na kukiwa na mpasuko mkubwa. CDM ikamwacha Dr.Slaa aliyekuwa ametoka kumshinda Rais aliyeko madarakani 2010 na kumuweka Lowassa aliyekuwa ana siku tatu amehama toka CCM na nembo ya ufisadi Tanzania kwa mujibu wa CDM yenyewe. Kama unachosema ni kweli basi inawezekana CDM 2015 mmeweka record na waliochukua maamuzi hayo ni mbumbumbumbu kweli kweli!
 
Nadhani huu utafiti na angalizo la hili gazeti umewafanya viongozi wetu wa upinzani kuingiwa na hofu/wasiwasi na kuanza kutafuta nguvu za kisiasa na kiuchumi kutoka nje ya mipaka ya nchi!

Hii sentesi ya INTELLIGENCE UNIT isemayo, ‘’Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power’’, imetoa ujumbe ambao vyama vya upinzani kama havitajipanga vizuri kuna uwezekano wa kujikuta bunge lina idadi ndogo sana ya wabunge wa upinzani na pia halmashauri za miji na Majiji zikiangukia kwenye mikono ya CCM!

Sio ajabu kuona kwa sasa viongozi wetu wa upinzani wanashindana kwenye nje ya nchi kutafuta msaada wa kisiasa na kifedha!
Hivi ni lazima uwe msomi sana au usome 'the economist' ndiyo ujue CCM itatawala milele? Mbona viongozi wa CCM wanasema na wanapanga hivyo kila siku?
Hata kudai wapinzani wanangoja eti intelligence ya gazeti hilo iseme ndiyo wapange mambo yao ni upuuzi mtupu!
Haihitaji akili kuvunja misingi ya UTU, Haki za binadamu, democracy na Utawala Bora.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nguvu ya Police na Jeshi, in the ballot box CCM wanashindwa asubuhi sana tena sana! Kwenye uhuru ha haki... free and fair election ,upinzani will emerge winner!
Gazeti la The Economist limeandika, "Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power".
 
Hili gazeti limetuharibia kabisa sisi wapinzani kwa wahisani wetu maana tuliwaaminisha kuwa tutashinda uchaguzi ujao kwa kishindo cha msingi watupe tu pesa kwa ajli ya maandalizi sasa sijui tutawashawishi vipi tena watuelewe. Tulisusia uchaguzi wa Serikali za mitaa ili wahisani wasije kujua kuwa sisi bado dhaifu na wasingetupatia pesa tena. Hakika hili ni pigo kwetu sisi wapinzani.
Wahisani makini hawatoi tu pesa bila kufanya utafiti wao!

Hata hivyo msiwe na wasiwasi kwa sababu wacheza kamari za kisiasa hawakosekani na hao watawapa pesa wakitegemea labda kuna muujiza unaweza kutokea katika Uchaguzu Mkuu!
 
INTELLIGENCE UNIT ni sehemu ya kitengo ndani ya Gazeti la The Economist ambacho hufanya uchunguzi na utafiti wa kisiasa na kiuchumi kwa nchi mbali mbali duniani na kutoa matokeo au matarajio.

Kitengo hiki cha kiuchunguzi kina wafanyakazi wabobezi zaidi ya 100 duniani ambao hutoa tafiti na utabiri baada ya uchunguzi kuhusu masuala ya kiuchumi kwa nchi mbali mbali kila mwanzo wa mwaka kulingana na mazingira halisi.

Ikumbukwe kuwa gazeti la The Economist limekuwa mwiba mkali hasa kwa Rais Magufuli kwa sababu linaamini sera za kisiasa na kiuchumi za Rais Magufuli zinaenda kinyume na mtazamo/msimamo wa kisiasa na kiuchumi wa gazeti hili.

Kwenye suala la kiuchumi, The Economist linaamini katika Ubinafsishaji na kuachia uchumi huru bila ya serikali kuingilia kati. Kwenye suala la kijamii, The Economist linaamini katika ndoa za jinsia moja na kuhalalisha utumiaji wa baadhi ya madawa ya kulevya kama bangi.

Ukitaka kujua msimamo wa Gazeti la The Economist kuhusu masuala ya kisiasa na kiuchumi;
GONGA LINK HII>>>Is The Economist Left or Right Wing

Hata hivyo linapofika suala la uchambuzi na utafiti, gazeti la The Economist hutoa matokeo ya tafiti na utabiri kama ambavyo jopo la wachunguzi wake limeona na kufikia hitimisho.

Kwenye masuala ya kisiasa nchini, jopo la wachunguzi wa INTELLIGENCE UNIT limesema baada ya Uchaguzi Mkuu, Rais Magufuli na CCM wataendelea sio kutawala tu bali pia watahodhi kwa kiwango kikubwa madaraka ya nchi.

Kwenye masuala ya kiuchumi limesema pamoja na kwamba serikali ya Rais Magufuli imeonesha mipango na nia ya kuboresha uwajibikaji katika sekta za umma na kuboresha maisha ya wananchi lakini inakabiliwa na uwezo mdogo kifedha.

INTELLIGENCE UNIT imebainisha kuwa, kutokuwa na utungaji sera ulioeleweka nchini kutawafanya wawekezaji kuogopa kuwekeza nchini, hata hivyo matarajio kwa nusu ya mwaka yanaonekana kuwa imara kutokana na kukua kwa sekta ya utoaji huduma nchini na uwekezaji kwenye miundombinu kitaifa.

Ukitaka kusoma repoti yote;
GONGA LINK HII>>>ENTELLIGENCE UNIT: Tanzania political and economic forecast


Usitupatie interpretation ya The Economist kwa mlengo wako wa kiMagufailure.

Kaa usubiri kinachokuja acha kututoa kwenye hoja za msingi.
 
Weka sababu za Economist kwanini Magufuli atashinda, wacha kelele..

Au na wewe hapa unataka tujadili hisia za hao wazungu?!

Ziweke hapa halafu tuanze kuzijadili, kama ni positive au negative, but sio kukurupuka tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
Msingi wa mada ni hoja za gazeti la The Economist.

Nashangaa unataka tuziache hoja za gazeti ambalo limefanya uchunguzi na utafiti na kisha kutoa kile kitakachotokea kwenye Uchaguzi Mkuu.

Mimi sijafanya uchunguzi na utafiti na kwa msingi huu siwezi kuanza kutoa sababu za CCM kushinda au kushindwa kwa kutumia hisia zangu! "No research, no right to speak"

Kumbuka gazeti la The Economist limeandika, "Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power".
 
The Economist wamesema,‘’Under the leadership of John Magufuli, the long-standing ruling party, the CCM, will retain a firm grip on power’’.

Pigia mstari maneno, ''WILL RETAIN A FIRM GRIP ON POWER''

Mtatawala milele usijali Mkuu。
 
Hilo gazeti lilichokifanya pamoja na kuwa halimpendi Magufuli LINALENGA kuwaonya wafadhili wa nchi zao kuwa wasiingie mkenge kuwachangia pesa upinzani walioanza kujipitisha pitisha huko nje ya nchi kwenye nchi zao kuwa ni matapeli wala hawana nia ya kushinda wanawinda pesa tu dakika hizi za majeruhi wazitafune kuelekea uchaguzi mkuu

LInatoa warning signals
Zito na Mazurui wamepewa kavu

 
Hata wakati ccm wako vizuri upinzani walipata viti vingi vya ubunge na kila uchaguzi wanaongezeka na hata this time kama chadema wakimsimamisha lissu take my word wabunge watakaa na wengi watarudi
CCM ya 2015 ilikuwa imedhoofika ndio maana ilibidi Halmashauri Kuu umuagize Katibu Mkuu afanye ziara nchi zima ili kuimarisha.

CCM ya 2015 ilikuwa na wanachama ambao hata kuvaa sare zao za chama waliogopa!

CCM ya 2015 ilianza kukosa uungwaji mkono kwenye kundi la wananchi wa kipato cha chini kutokana na utendaji wa serikali yake.

CCM ya wakati wa sasa ni tofauti sana na kwa msingi huu, wapinzani wana wakati mgumu sana katika Uchaguzi Mkuu.
 
Back
Top Bottom