Gazeti la Uhuru lamalizika sokoni tangu saa 2 asubuhi, Wasomaji walisaka hata kwa dau kubwa

Gazeti la Uhuru lamalizika sokoni tangu saa 2 asubuhi, Wasomaji walisaka hata kwa dau kubwa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"

Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!

Umeshapata_nakala_yako_tayari?.jpg
 
Wanaficha aibu yao. Wanamsemea mama kuwa hatagombea 2025 wakati ndio kwanza kaanza kunogewa na Airbus kuzunguka nchi na dunia.

Yani wanataka mama aache raha zote hizo baada ya miaka 4 tu.

Sitostaajabu baada ya 2025 watatokea watu 'kumuomba' mama agombee tena hata kama katiba hairuhusu. Na kwa jinsi mama alivyomsikivu atakataa kidogo halafu atakubali kama alivyofanya rafiki yake Kagame Rwanda.

Halafu Uhuru wanataka kumsingizia mama kuwa hatogombea, they are not serious.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo .

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"

Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja !

View attachment 1888254
Alooh!?
 
Aiseee alert hiyo ndani ya chama. Ajue kuwa anaandaliwa kisaikolojia.

CCM bana, hili chama hapo tu ndiyo huwa nalielewa.

Hakuna mkubwa ndani ya chama. Niliweka uzi wakora wakaufuta. Nikieleza hakuna mtu kama mtu awezaye kukishinda hiki chama.

Kuanzia Nyerere hadi hao walio mfuatia.

Shikamoo CCM.
 
CCM wanaanzisha haya mambo makusudi kubadili upepo wa kisiasa.Gazeti lina makada tele na tele hvyo hakuna cha bahati mbaya-they know what they are doing-Na tarehe 15/8 kuwakumbusheni tu, tozo mpya PHASE II zinaanza.
 
Awamu ya 5 inaishia 2025. Mama aache usanii.
Kama ni serikali mpya mbona mawaziri ni wale wale wa JPM wakiongozwa na Majaliwa.

Mama must go 2025.
Awamu ya tano iliisha tarehe 27,march 2021 au kabla ya hapo.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"

Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!
Mitaani watu wanafurahia kinywaji tangu asubuhi.kisa gazeti 🤣
 
hana wazo la kugombea 2025.... hii ni 2021....inawezekana wazo likamjia 2023...Kibaya nini hapo?
 
SUKUMA GANG+CHADEMA wakishirikiana na UAMSHO kumpiga spana huyu mama atakimbilia kwao OMAN kabla ya 2025.
 
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.

Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"

Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!

View attachment 1888254
mnahangaika na mama nyie wahuni sana hamna kazi ya kufanya
 
Back
Top Bottom