Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hao walioandika ni watu tu kama nyie sasa kukosea kwa mtu mmoja ndiyo mnaona kitu cha kuandika siku nzimaTangu lini sisi tulikuwa gazeti la uhuru ?
Bwashee hilo tumevutiwa na kile kichwa cha habari leo tumeamua tulisome gazeti "adam na hawa".Chadema mnasoma sana gazeti la Uhuru siku hizi!
😆😆😆 Adam na hawa !!Bwashee hilo tumevutiwa na kile kichwa cha habari leo tumeamua tulisome gazeti "adamu na hawa".
Kibaya ni wapi Mhariri kapata hiyo.... Maana Maza mwenyewe hajasema hilo.hana wazo la kugombea 2025.... hii ni 2021....inawezekana wazo likamjia 2023...Kibaya nini hapo?
Wanaficha aibu yao. Wanamsemea mama kuwa hatagombea 2025 wakati ndio kwanza kaanza kunogewa na Airbus kuzunguka nchi na dunia.
Yani wanataka mama aache raha zote hizo baada ya miaka 4 tu.
Sitostaajabu baada ya 2025 watatokea watu 'kumuomba' mama agombee tena hata kama katiba hairuhusu. Na kwa jinsi mama alivyomsikivu atakataa kidogo halafu atakubali kama alivyofanya rafiki yake Kagame Rwanda.
Halafu Uhuru wanataka kumsingizia mama kuwa hatogombea, they are not serious.
Mama analijenga TAIFA.....Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"
Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!
View attachment 1888254
mbwa kamla mbwaWanaficha aibu yao. Wanamsemea mama kuwa hatagombea 2025 wakati ndio kwanza kaanza kunogewa na Airbus kuzunguka nchi na dunia.
Yani wanataka mama aache raha zote hizo baada ya miaka 4 tu.
Sitostaajabu baada ya 2025 watatokea watu 'kumuomba' mama agombee tena hata kama katiba hairuhusu. Na kwa jinsi mama alivyomsikivu atakataa kidogo halafu atakubali kama alivyofanya rafiki yake Kagame Rwanda.
Halafu Uhuru wanataka kumsingizia mama kuwa hatogombea, they are not serious.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"
Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!
View attachment 1888254
BiasharaNakopi elf 1000 nauza kwa elf 2 mbili.
Mkuu unawajibu wahuni? Huna kazi ya kufanya?mnahangaika na mama nyie wahuni sana hamna kazi ya kufanya
Umebakiza ulimbukeni.Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hii , leo gazeti la Uhuru limenunuliwa lote kabisa mitaani na kwisha kabisa huku wanunuzi wengi wakilisomea vyumbani mwao ili kutafuta utulivu na kuelewa zaidi maudhui ya gazeti hilo kwa leo.
Ikumbukwe kwamba kwa miaka mingi sana gazeti hili lilikuwa ndio gazeti la mwisho kwa mauzo kiasi cha kushangaza namna linavyoweza kujiendesha kwa kuuza nakala chache kila siku, huku vijana wengi wakiliita gazeti la "kufungia vitumbua"
Bado tunashang'aa kulikoni leo gazeti hili kutafutwa hadi kwa gharama ya tsh elfu 10 kwa nakala moja!
View attachment 1888254
Wanasema hata saa mbovu ipo siku hupatia majira! 🤣Chadema mnasoma sana gazeti la Uhuru siku hizi!
Hahahaaaa.......!Wanasema hata saa mbovu ipo siku hupatia majira! 🤣
mnahangaika na mama nyie wahuni sana hamna kazi ya kufanya