Gazeti la Uhuru lamalizika sokoni tangu saa 2 asubuhi, Wasomaji walisaka hata kwa dau kubwa

Mhariri Mtendaji wa na Mhariri wa Uhuru Media vipi Tena.Jambo zito Kama hili,nimepitia mahojiano ya Mtukufu Rais na Salim Kikeke sijasikia maneno haha.Tuwe makini
 


Katiba inamruhusu kugombea muhula mwingine mmoja. Hivi Watanzania mbona tunapenda kudanganya sana
 
Mama analijenga TAIFA.....

Gazeti la UHURU wamemlisha maneno
.......

#KaziIendelee
 
Nikajua labda kuna makala inayoangazia kufufuka kwa yule mtesi wa watu wake
 
mbwa kamla mbwa
 

Utakuwa ulikuwa uhuru wa vyombo vya habari aliosema.
 
Umebakiza ulimbukeni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…