GDP figures za Kenya zinakuwa released leo

GDP figures za Kenya zinakuwa released leo

Dada zenu wanaongoza kufia uarabuni na wengine wanauzwa Libya utumwa usibishe

Hamna sector yoyote Kunyaland iliyoajiri wengi ukiondoa kilimo, bado hicho kilimo kilichoajiri zaidi ya 99% ya wakenya kinachangia almost zero kwenye gdp


Ila wakunya chini ya 1 million as diaspora wanachangia pesa nyingi kuliko wakunya million 58 back shithole [emoji28][emoji28][emoji28]
Waache, tuendelee kuwauzia bidhaa
 
Hata ukitutukana bado uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa sectors zingine za Uchumi zinazidi kukua na kuifanya Kenya iwe more developed than other more underdeveloped societies surrounding us.
Development without basic needs, food, water and shelter?, Only in failed States
 
Hata mjadala kuhusu masuala ya uchumi pia ni wa kuingiziwa matusi enyi 'great thinkers'? What a shame! Eti na mnajiita wastaarabu? Jielimisheni bana, GDP sio 'figure' zilizotolewa angani. Huwa zinaafikiwa kupitia takwimu ambazo zina viashiria vingi sana kuhusu masuala nyeti ya ukuaji wa uchumi. Kwa mfano shughuli za kibiashara, takwimu zinazohusu fedha, mapato, export/import n.k, n.k.

Matusi ambayo huwa yanatamalaki kila mara, kwa zaidi ya miaka kumi, yamebadilisha nini kwenye uchumi au GDP ya nchi ya Kenya au hata nchi zingine ukanda huu? Hivi hatuna hata uwezo mdogo tu wa kufanya uchambuzi makinifu na mijadala ya maana, kuhusu masuala haya nyeti, kama binadamu wenye akili timamu?

Jambo ambalo huwa najiliwaza nalo sana ni kwamba mijadala ya aina hii, kwenye jukwaa hili, huwa yanafanywa kwa lugha ya kiswahili, kwa asilimia kubwa. Bure sijui tungekuwa tunazificha nyuso zetu wapi mbele ya waafrika wenzetu na wengine wengi duniani. Kisa aibu za umbumbumbu, ulofa na upumbavu mwingine wa sampuli hiyo, ambao huwa tunaundeleza wazi humu.
Acha ujinga, huwezi kufikiria development Kama huwezi kujitosheleza kwa kwa chakula, what is development?
 
Hata ukitutukana bado uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa sectors zingine za Uchumi zinazidi kukua na kuifanya Kenya iwe more developed than other more underdeveloped societies surrounding us.

Huo unaitwa uchumi makaratasi. Njaa inawaua lkn mnajificha kwenye hiyo tarakimu.
Mngewekeza ike galana kalalu project, the story could be different.

CC: joto la jiwe
 
Twice but cannot implement even a single small project that Tz implements on its own.

Which project have you implemented, maana mwisho tuliambiwa Dar-Moro mtaanza kutumia SGR miaka miine imepita sasa, mlijitutumua kwa ujuha kwa kuanzisha miradi kote bila kukaa mtathmni ipi ina tija na ipi iko ndani ya uwezo wenu. Leo mnatozwa tozo za kiajabu ajabu maana mama amekuta hazina hamna kitu.
Uwanja wa kimataifa Chato wakulima wanaomba watumie kuanika mpunga.

Na usisahau hii Watanzania mnaotutambia kujenga kila kitu kwa hela ya ndani, mnadaiwa kila mmoja milioni moja
 
Na tanzania wana rebase lini GDP yawexafika111Busd
Tanzania ita rebase gdp yake next year nadhani baada ya sensa. Last time nashangaa hawakuingiza sector muhimu katika econony kama mining, telecommunications na informal econony hivyo basi GDP inaweza ikawa kubwa sana after rebase kama wata capture output za hizo sekta
 
Tanzania ita rebase gdp yake next year nadhani baada ya sensa. Last time nashangaa hawakuingiza sector muhimu katika econony kama mining, telecommunications na informal econony hivyo basi GDP inaweza ikawa kubwa sana after rebase kama wata capture output za hizo sekta
Basi yawexafika 110 B
 
somebody get a mop....we having a foam party [emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie ni wasanii sana in 2019 uchumi wenu ulikuwa less than $80bn dollars in 2020 eti uchumi uliongezeka kwa more than $20bn dollars this is economic con gdp ya karatasi ili muweze kukopa tuu.
 
Nyie ni wasanii sana in 2019 uchumi wenu ulikuwa less than $80bn dollars in 2020 eti uchumi uliongezeka kwa more than $20bn dollars this is economic con gdp ya karatasi ili muweze kukopa tuu.
Gdp ya kenya ni $74bil msidanganywe
2021 hayo mengine ni makaratasi tu serikali ya kenya inadanganya kwa sababu za deni kuwa kubwa ili iendelee kukopesheka na sababu za uchaguzi ujao
 
Gdp ya kenya ni $74bil msidanganywe
2021 hayo mengine ni makaratasi tu serikali ya kenya inadanganya kwa sababu za deni kuwa kubwa ili iendelee kukopesheka na sababu za uchaguzi ujao
Low IQ brain
giphy.gif
 
Back
Top Bottom