Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekuwa ngapi sasa?mbna up umekimbia bila dataNangoja kusikia Gdp figures za Kenya. Nasikia kwamba GDP ya Kenya imekuwa rebased na kwa hivyo size ya GDP itaongezeka significantly.
Kaeni mkao wa kula habari ikitoka nitapost humu.
Gdp yetu ni Ksh 10.7 trillion. Una swali lingine?
Naona sasa umenunua decorder yako ili uweze kuona stations za Kenya. Naona unatazama Citizen tv sana. Habari za Kenya ni moto na changamfu sio kama zenu boring. Njaa na mapigano zitaendelea hata baada ya Kenya kuwa first world. Marekani bado wanapigana marisasi kwenye makanisa na shopping malls. Marekani pia wana watu wanaokosa kupata chakula cha kutoshaHii kes 10.7 Tr imesaidiaje kupunguza UMASIKINI mfano NJAA inayoua watu na MAPIGANO inayopelekea watu kupoteza maisha huko laikipia?
Naona sasa umenunua decorder yako ili uweze kuona stations za Kenya. Naona unatazama Citizen tv sana. Habari za Kenya ni moto na changamfu sio kama zenu boring. Njaa na mapigano zitaendelea hata baada ya Kenya kuwa first world. Marekani bado wanapigana marisasi kwenye makanisa na shopping malls. Marekani pia wana watu wanaokosa kupata chakula cha kutosha
Najaribu tu kusema kwamba hata nchi zilizoendelea bado zina malumbano.😛😛😛
Naona unajifariji. Marisasi ya marekani yanahusianaje na a poverty stricken kenya. I can understand you, if you could say, kenya as a country has two worlds. The majority kiberans and the few politicians and whites.
Najaribu tu kusema kwamba hata nchi zilizoendelea bado zina malumbano.
Which poverty are you talking about? Last time I checked Tanzania had more people living in extreme poverty than Kenya. Why are you turning a blind eye to your country's poverty?😛😛😛
Naona unajifariji. Marisasi ya marekani yanahusianaje na a poverty stricken kenya. I can understand you, if you could say, kenya as a country has two worlds. The majority kiberans and the few politicians and whites.
Which poverty are you talking about? Last time I checked Tanzania had more people living in extreme poverty than Kenya. Why are you turning a blind eye to your country's poverty?
Is it not you who said that Kenya is a poverty-stricken country? Mbona sasa unacatch for just reminding you that Tanzania ina mafukara wengi kuliko Kenya? Najua ukweli mchungu ila zoea tuKakojoe urudi kuendelea kulala. Maana hata hujui unachoongea.
Is it not you who said that Kenya is a poverty-stricken country? Mbona sasa unacatch for just reminding you that Tanzania ina mafukara wengi kuliko Kenya? Najua ukweli mchungu ila zoea tu
Weka katika USD mim sijui thamani ya hela ya madafu ya kenyaGdp yetu ni Ksh 10.7 trillion. Una swali lingine?
Kati ya sarafu ya Lazyland na ya Kenya gani ndio ya madafu?
Ulicalculate mwenyewe ukapata 74 ama?🤣🤣Gdp ya kenya ni $74bil msidanganywe
2021 hayo mengine ni makaratasi tu serikali ya kenya inadanganya kwa sababu za deni kuwa kubwa ili iendelee kukopesheka na sababu za uchaguzi ujao
Zote za madafu anyway translate kwa USD ni jiue Kenya GDP by now?Kati ya sarafu ya Lazyland na ya Kenya gani ndio ya madafu?
Kunyaland= hunger & starvation [emoji23][emoji23]Kati ya sarafu ya Lazyland na ya Kenya gani ndio ya madafu?