Waache, tuendelee kuwauzia bidhaaDada zenu wanaongoza kufia uarabuni na wengine wanauzwa Libya utumwa usibishe
Hamna sector yoyote Kunyaland iliyoajiri wengi ukiondoa kilimo, bado hicho kilimo kilichoajiri zaidi ya 99% ya wakenya kinachangia almost zero kwenye gdp
Ila wakunya chini ya 1 million as diaspora wanachangia pesa nyingi kuliko wakunya million 58 back shithole [emoji28][emoji28][emoji28]
Development without basic needs, food, water and shelter?, Only in failed StatesHata ukitutukana bado uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa sectors zingine za Uchumi zinazidi kukua na kuifanya Kenya iwe more developed than other more underdeveloped societies surrounding us.
Acha ujinga, huwezi kufikiria development Kama huwezi kujitosheleza kwa kwa chakula, what is development?Hata mjadala kuhusu masuala ya uchumi pia ni wa kuingiziwa matusi enyi 'great thinkers'? What a shame! Eti na mnajiita wastaarabu? Jielimisheni bana, GDP sio 'figure' zilizotolewa angani. Huwa zinaafikiwa kupitia takwimu ambazo zina viashiria vingi sana kuhusu masuala nyeti ya ukuaji wa uchumi. Kwa mfano shughuli za kibiashara, takwimu zinazohusu fedha, mapato, export/import n.k, n.k.
Matusi ambayo huwa yanatamalaki kila mara, kwa zaidi ya miaka kumi, yamebadilisha nini kwenye uchumi au GDP ya nchi ya Kenya au hata nchi zingine ukanda huu? Hivi hatuna hata uwezo mdogo tu wa kufanya uchambuzi makinifu na mijadala ya maana, kuhusu masuala haya nyeti, kama binadamu wenye akili timamu?
Jambo ambalo huwa najiliwaza nalo sana ni kwamba mijadala ya aina hii, kwenye jukwaa hili, huwa yanafanywa kwa lugha ya kiswahili, kwa asilimia kubwa. Bure sijui tungekuwa tunazificha nyuso zetu wapi mbele ya waafrika wenzetu na wengine wengi duniani. Kisa aibu za umbumbumbu, ulofa na upumbavu mwingine wa sampuli hiyo, ambao huwa tunaundeleza wazi humu.
Njaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Hapa mathick skulls ndio wengi men
Mkubwa wa machiefNjaa[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Kusoma ndio hujui ama?πππ Happy kwa screenshot yako imeandikwa output of America's farms were $131B which translates to 0.6%Huna akili wewe mkunya, hivi unaanzaje kuongelea hunger stricken shithole kwenye sentence 1 na worlds superpower?
View attachment 1930796
Hata ukitutukana bado uchumi wetu ni mkubwa kushinda wenu. Cha kufurahisha zaidi ni kuwa sectors zingine za Uchumi zinazidi kukua na kuifanya Kenya iwe more developed than other more underdeveloped societies surrounding us.
Twice but cannot implement even a single small project that Tz implements on its own.
Tanzania ita rebase gdp yake next year nadhani baada ya sensa. Last time nashangaa hawakuingiza sector muhimu katika econony kama mining, telecommunications na informal econony hivyo basi GDP inaweza ikawa kubwa sana after rebase kama wata capture output za hizo sektaNa tanzania wana rebase lini GDP yawexafika111Busd
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ripoti ya njaa imeshatoka[emoji38][emoji38][emoji38]
Hawawezi kuishi bila Tanzania, hilo lipo waziWaache, tuendelee kuwauzia bidhaa
Basi yawexafika 110 BTanzania ita rebase gdp yake next year nadhani baada ya sensa. Last time nashangaa hawakuingiza sector muhimu katika econony kama mining, telecommunications na informal econony hivyo basi GDP inaweza ikawa kubwa sana after rebase kama wata capture output za hizo sekta
somebody get a mop....we having a foam party πππMbona huu uzi umejaa povu hivi? π€£ π€£ π€£
Nyie ni wasanii sana in 2019 uchumi wenu ulikuwa less than $80bn dollars in 2020 eti uchumi uliongezeka kwa more than $20bn dollars this is economic con gdp ya karatasi ili muweze kukopa tuu.somebody get a mop....we having a foam party [emoji23][emoji23][emoji23]
Gdp ya kenya ni $74bil msidanganyweNyie ni wasanii sana in 2019 uchumi wenu ulikuwa less than $80bn dollars in 2020 eti uchumi uliongezeka kwa more than $20bn dollars this is economic con gdp ya karatasi ili muweze kukopa tuu.
Low IQ brainGdp ya kenya ni $74bil msidanganywe
2021 hayo mengine ni makaratasi tu serikali ya kenya inadanganya kwa sababu za deni kuwa kubwa ili iendelee kukopesheka na sababu za uchaguzi ujao