KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,159
- 5,070
Mwishoni umekosea kidogo. Kwa mintarafu ya vile vitabu, huyu hatapumzika kwa amani aslani.Unajinyonga kwa sababu ya maisha magumu?,nani kasema maisha ni rahisi rahisi tu pasipo kupambana?,apumzike kwa amani