Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi tarehe 15 Oktoba, 2022 amekutana na kuzungumza na wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Geita.
#CCMImara
#KaziIendelee