Mwananchi Huru
JF-Expert Member
- Nov 20, 2021
- 2,128
- 1,896
THERE COMES A TIME WHEN CACOPHONY IS BETRAYALTupaze Sauti tukatae huu ujinga wa CCM View attachment 2388525
Nani kakuzuia Wewe Kufanya siasa za ndani kama hizi?Tuna nchi ya kipuuzi mnooooo, Inawezekana vipi CCM wafanye siasa wao wenyewe huku vyama vingine vikizuiliwa? Huu ni ujinga na stupidity ya Hali ya juu. Hivi hakuna washauri? Nini nafasi ya Wazee wa CCM? Hawaoni aibu? Aibuuuu saaana
Fanyeni kazi acheni maneno maneno,THERE COMES A TIME WHEN CACOPHONY IS BETRAYAL
Neno alilotia msukuma liko wapi?Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi tarehe 15 Oktoba, 2022 amekutana na kuzungumza na wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Geita.
View attachment 2388503
View attachment 2388505
View attachment 2388507
View attachment 2388516
#CCMImara
#KaziIendelee
Siasa za ndani zikoje? Acha kujitoa akiliNani kakuzuia Wewe Kufanya siasa za ndani kama hizi?
Haya baadhi ya mamtu majinga pia machawa yasiyo na mchango kwa hii nchi.Fanyeni kazi acheni maneno maneno,
Wewe mchango wako Ni upi?Haya baadhi ya mamtu majinga pia machawa yasiyo na mchango kwa hii nchi.
Hasara tupu tena kubwa
Msimu wa uchaguzi huu bwege wa ufipa. Utapanuka moyo bure bwanakaka. Hili chama linajulikana Africa yote na duniani Kwa mfumo wa kidemokrasia unaotoa viongozi Bora kabisa. Chaguaneni tu na nyie nani amewakataza?. Nilishawashauri kitambo kama hamtafurusha dikteta DJ makengeza Kwa kiti basi mtazidi kupotea kwenye medani ya siasa za nchi hii. Hakuna uamsho Wala bashasha tena kutoka Kwa watanzania. Sababu mmeishiwa Agenda , mmebaki kudandia hoja za viti vya Rais madhabahuni. What a shame 🤣Tuna nchi ya kipuuzi mnooooo, Inawezekana vipi CCM wafanye siasa wao wenyewe huku vyama vingine vikizuiliwa? Huu ni ujinga na stupidity ya Hali ya juu. Hivi hakuna washauri? Nini nafasi ya Wazee wa CCM? Hawaoni aibu? Aibuuuu saaana
Safi sana CCM wale wanaosubiri katiba mpya na kuibiwa kura wao wanataka katiba mpyaMwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi tarehe 15 Oktoba, 2022 amekutana na kuzungumza na wajumbe wa kamati ya siasa Mkoa wa Geita.
View attachment 2388503
View attachment 2388505
View attachment 2388507
View attachment 2388516
#CCMImara
#KaziIendelee
Tuna nchi ya kipuuzi mnooooo, Inawezekana vipi CCM wafanye siasa wao wenyewe huku vyama vingine vikizuiliwa? Huu ni ujinga na stupidity ya Hali ya juu. Hivi hakuna washauri? Nini nafasi ya Wazee wa CCM? Hawaoni aibu? Aibuuuu saaana
Cha kuchekesha wapinzani wakianza mikutano tu chama la wazee linajibanza tena kwenye vyombo vya dola. Uchaguzi ukifika ndio chama la wazee linajitoa ufahamu mazima na kuishia kupora uchaguzi.Msimu wa uchaguzi huu bwege wa ufipa. Utapanuka moyo bure bwanakaka. Hili chama linajulikana Africa yote na duniani Kwa mfumo wa kidemokrasia unaotoa viongozi Bora kabisa. Chaguaneni tu na nyie nani amewakataza?. Nilishawashauri kitambo kama hamtafurusha dikteta DJ makengeza Kwa kiti basi mtazidi kupotea kwenye medani ya siasa za nchi hii. Hakuna uamsho Wala bashasha tena kutoka Kwa watanzania. Sababu mmeishiwa Agenda , mmebaki kudandia hoja za viti vya Rais madhabahuni. What a shame 🤣
😂😂😂Hizi zinaitwa za uso liveMsimu wa uchaguzi huu bwege wa ufipa. Utapanuka moyo bure bwanakaka. Hili chama linajulikana Africa yote na duniani Kwa mfumo wa kidemokrasia unaotoa viongozi Bora kabisa. Chaguaneni tu na nyie nani amewakataza?. Nilishawashauri kitambo kama hamtafurusha dikteta DJ makengeza Kwa kiti basi mtazidi kupotea kwenye medani ya siasa za nchi hii. Hakuna uamsho Wala bashasha tena kutoka Kwa watanzania. Sababu mmeishiwa Agenda , mmebaki kudandia hoja za viti vya Rais madhabahuni. What a shame 🤣
Mkuu unateseka Sana huko Njoo CCM urudishe hata mwiliCha kuchekesha wapinzani wakianza mikutano tu chama la wazee linajibanza tena kwenye vyombo vya dola. Uchaguzi ukifika ndio chama la wazee linajitoa ufahamu mazima na kuishia kupora uchaguzi.
Huu ni upuuzi wa kiwango Cha SGR aiseeee heri hata usingeongeaMsimu wa uchaguzi huu bwege wa ufipa. Utapanuka moyo bure bwanakaka. Hili chama linajulikana Africa yote na duniani Kwa mfumo wa kidemokrasia unaotoa viongozi Bora kabisa. Chaguaneni tu na nyie nani amewakataza?. Nilishawashauri kitambo kama hamtafurusha dikteta DJ makengeza Kwa kiti basi mtazidi kupotea kwenye medani ya siasa za nchi hii. Hakuna uamsho Wala bashasha tena kutoka Kwa watanzania. Sababu mmeishiwa Agenda , mmebaki kudandia hoja za viti vya Rais madhabahuni. What a shame 🤣
Mkuu unateseka Sana huko Njoo CCM urudishe hata mwili