Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,458
- 4,283
Kama kweli hajui itajulikana tu soon labda asiwe na kengere
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wAmepokezana kijiti na mkoa wa MaraKanda ya ziwa kuna nini lakini?
Geita imeukwaa ubabe wa Kanda maalumu siku hizi hadi pawe na mfululizo wa matukio ya mauaji kila mwezi?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huo Mkoa una ukatili kushinda yote TanzaniaHABARI Polisi mkoani Geita wamelazimika kufukua ndani ya nyumba ya mwalimu Francis Elizeus wa shule ya msingi Lubanga baada ya ndugu wa mke wake kumtuhumu kuwa amemuua mke wake Jenifer Mashimo na kumfukia ndani hali iliyopelekea ndugu hao kumtishia maisha mwalimu huyo. Mke wa Mwalimu huyo inadaiwa alitoweka tangu Machi 2020
Kamanda wa Jeshi la polisi mkoa wa Geita Safia Jongo anasema walipata taarifa ya tukio hilo wakafuatilia kibali cha mahakama ili waweze kujiridhishaa juu ya uwepo wa mwili ndani ya nyumba ya wanandoa hao ambapo hata hivyo hawajaupata
“Tarehe 3, Kibali kilipatikana na zoezi la ufukuaji ulianza kwahiyo siku ya tarehe 3, tulifukua mashimo manne ndani ya nyumba ambapo wale ndugu walikuwa wanahisi hayo maeneo kwamba ndugu yao amefukiwa lakini mpaka ikafika usiku hatukuweza kufanikiwa"
Tarehe 5 zoezi lile pia likaendelea ambapo tulifukua kila eneo ambalo tulitilia mashaka kwamba linaweza likafukiwa mwili lakini hatima yake tulikiridhisha kabisa kila eneo ambalo linastahili kufukuliwa ndani ya ile nyumba na lile eneo ndani ya ule mji tulilifukua na hakuna mwili uliopatikana kwahiyo familia na wenyewe wamethibitisha kwamba hakuna mwili uliofukiwa” alisema Jongo.
Kamanda Jongo anasema kwa sababu za kiuchunguzi na usalama imewalazimu kumshikilia mwalimu huyo ili waweze kumuepusha na watu wanaomtishia Maisha.
Walimu wanapenda kudeka sana na kutia huruma...Kwaio bwana platinum member ulitaka
Aseme bwana mmoja mzilankende amemuua mkewe..
Ukitajwa ualimu watu wanapanic....
Huwa nasema binadamu tunaishi Kwa kuviziana sana....hatuaminiani, tena wanandoa ni Ile wazungu wanaitwa "close enemy"Hao ndugu wa huyo mwanamke hawana akili au wana akili kama za huyo mwanamke wao
Msamehe Bure, vijana washaskia jf Kuna tuzo hivyo Kila muda ni kufyatua Uzi tuUkipewa mtihani ujibu swali kwa kutoa na vielelezo,kuwa mwalimu Francis ameua jibu lako litakua lipi.
Nakuuliza wewe ilieandika heading hapo juu.
Una tatizo kubwa la akili na habari za kusadikika ulizomezeshwaAlhamdulliah sio Muislamu maana vijana wa upinde wangeanza kuja juu.
Upinde kaa pembeni usinipe najisi !Una tatizo kubwa la akili na habari za kusadikika ulizomezeshwa
Hauzidi Kilimanjaro na ArushaHuo Mkoa una ukatili kushinda yote Tanzania
kweli haihusik asee, basi tuseme Mwanaume mmoja huko geita ambaye ni mwl anashikiliwa akihisiwa kumuu mke wakeUalimu wake unahusikaje kwa kupotea kwa huyo mke?!
Tuheshimu taaluma ya ualimu.
Tunataja taaluma endapo inahusika kwenye tukio...mf. taaluma ya udereva kwenye ajali ya gari.
Hebu tuwaacheni waalimu wapumue kidogo.