Pre GE2025 Geita: Viongozi wa dini Chato wachangisha Tsh. Mil 1.4 kwaajili ya Rais Samia kuchukua fomu ya kugombe Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi fomu zipo ngapi maana Kila siku nakutana na Uzi watu wamechanga


Afu ccm si walishapitisha wagombea? Au mimi Kuna kitu sielewi hapa
Toa 1800 upatiwe ng'ombe 2 na kilo 500 za mchele mjini shule
 
Wajinga na ujinga ndiyo mtaji wa tapeli. Unachanga pesa huku una maisha magumu. 1.4m kulipa jitu ambalo limekuibia kwa kufuru. Limepitishwa na wapuuzi wewe unakuja kulichangia tena. Mimi nikikutana na Hawa waliochanga nafyeka viboko wote na kuwatia ndani
 
Nyerere aliwahi kusema maadui wakubwa wa 3 wa taifa hili ni

1.Ujinga
2. Maradhi
3. Umaskini

Na bado mpaka Leo hii Hawa maadui wa 3 bado hatujaweza kuwatokomeza
Ht Trump alikuwa anachangiwa tena na watu wenye akili km Elon, wamarekani ni adui yupi anawaandama? We ndio jinga lisiloelimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…