Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Kuna hii Rising sign ni kama mask ambayo mtu huvaa kuficha halisi wake, mara nyingi rising sign represents your outer personality what the world first sees in you.Mimi ni Gemini tena nawafungia dimba, 20/06. Nina tabia nyingi za Gemini, kasoro hiyo ya ujivuni, nafikiri kumjua Mungu mapema, kujali wengine na jinsi nilivyolelewa vimenisaidia kuepuka hilo.
Japo kwa bahati mbaya, mtu akiniona kwa mara ya kwanza, anasema ninaringa, najisikia sana. Akinizoea ananiambia mwenyewe, nilikuona uko hivi, kumbe hauko hivyo. Una muonekano tofauti na matendo yako. Hata tulioonana tokea humu JF watakuwa mashahidi kwa hili.
Evidence ya behaviors? You must be joking anyway, soma post #26 among few! Kama hutaki wewe tu, wengine wote wanaprove kwamba wanabehave namna hiyo!Pattern gani? Weka evidence hapa.
Weka evidence kwamba uvutano wa dunia na mwezi unasababisha menstrual cycle.Evidence ya behaviors? You must be joking anyway, soma post #26 among few! Kama hutaki wewe tu, wengine wote wanaprove kwamba wanabehave namna hiyo!
Knowledge ni familiarity or undestanding gained through experience/education.Knowledge ni nini? Unajuaje hii ni knowledge na hii ni kabobo ya mumbo jumbo tu?
Utajuaje hii ni knowledge na hii ni illussion ya knowledge lakini si knowledge?Knowledge ni familiarity or undestanding gained through experience/education.
Science ni sehem tu ya elim, hivo haiwezi kuthibitisha kila knowlege.
Huu ndiyo uchawi Sasa ukisikia wanaita mchawi itika beeeSijui kuhusu nyota ila mimi nahisi nna shida ambayo inafanana kidogo na hii...naweza jua kabisa nna makosa ila siwezi kukiri mbele za watu.Ni bora nisimame mwenyewe nikiwa sipo sahihi kuliko kukubali hayo.
Hahaha haya bhanaKwa nini nisome kitabu hiki? N8na vitabu zaidi ya 1,000 vya kusoma katika list yangu, kwa nini nisome hiki?
Hapo ndipo uliponikosea heshima π€¦Nina Amini Mimi ndio kiumbe wa Mwenyezi Mungu mwenye ego kuu Kuliko kiumbe yoyote yule duniani.
Kujua knowlegde fulani ni illussion/fact, ni lazima uifanyie analysis knowldge husika, na si kutumia knowldge nyingine kuithibitisha.Utajuaje hii ni knowledge na hii ni illussion ya knowledge lakini si knowledge?
Ila she is so lovely, napigwa mabusu muda wote.....halafu very smart, yani msafi hasa na mtulivu.π€£π€£π€£π€£Huyo ni Mimi kabisa yani.
S/he is a real Gemini
Umesahau kumweka hapo Pdidy mkuuKwa mujibu WA elimu ya Astrology kipengele cha Zodiac ,Watu WA nyota ya Mapacha( Gemini) ni watu walio zaliwa Kati ya tarehe 21 May Hadi 20 June.
Watu WA nyota ya Mapacha wana sifa moja common dunia nzima.
They are so proud ( wajivuni kupita kiasi)
They have got the most biggest egos in the universe.
Wana Amini wao ni bora Kuliko mtu yoyote yule duniani.
Wanajifanya wanajua ( much knows) pengine Kuliko mtu yoyote duniani.
They are arrogance
Unapo zungumzia watu WA nyota ya Mapacha unazungumzia watu kama vile :
1. Donald Trump.
2. Kanye West.
3. Pac and Biggie.
4. TID
5. Lady Jay Dee.
6. Giggy Money. etc.
Wote hawa wana sifa kuu zinazo fanana.
They are so proud/ they have big egos, they are so arrogant etc.
Mimi pia ni Gemini. Nina Amini Mimi ndio kiumbe wa Mwenyezi Mungu mwenye ego kuu Kuliko kiumbe yoyote yule duniani. Not even Lucifer can beat me.
Nina Amini katika viumbe wote wa Mwenyezi Mungu Mimi ndio kiumbe wake bora Kuliko yoyote yule.
Nina Amini ukimuondoa Mwenyezi Mungu, Hakuna kiumbe yoyote yule awe jini au Malaika whichever come first ambae yupo juu kuzidi Mimi.
Nimeishi na dhana hii tangu utoto wangu.
Sababu kuu iliyo nifanya nikache Dini niliyo irithi Kwa wazazi wangu ni kuji assess na kugundua kwamba Hakuna mahali popote kwenye Holy Qur'aan, Taurati, Zaburi ama Injili ambayo inasimama na Mimi.
Kwa mfano Qur'aan na Bible Zina sema Mariam mama wa Yesu ndio mama bora Alie barilkiwa Kuliko wanawake wote duniani ila Mimi ndani ya nafsi yangu Nina Amini mama yangu mzazi alonizaa ndio mama bora kabisa duniani tangu dunia iumbwe.
Nimejaribu Ku surpress my ego but all in vain. Nothing on earth can ever make me to swallow my pride . Nimeamua kuishi my pride .
Nyie wenzangu mmefanyaje au mnafanyaje?.
N.b: Nilijiunga JF mwaka 2012 kama njia moja wapo ya kufanya therapy to put my Ego on the line Kwa sababu in real life I don't engage with people they way I am doing here.
Imenisaidia Kwa kiasi chake Kwa sababu at least naweza kujibizana na watu hapa.
Hata ninapo andika threads za kuwasifu watu hapa jf huwa nafanya therapy ya kudeal with my ego Kwa sababu in real life I don't talk about people and I don't talk to people cause I don't know anything that me and them can talk about.
Nikinywa wine huwa ina saidia kusurpress my ego at a moment. Naweza kumpigia mtu simu etc but kesho Yake I will blame my self
Haha tatizo ni sista duu sana, mtu akikuangalia anakaa mita 18Mimi ni Gemini tena nawafungia dimba, 20/06. Nina tabia nyingi za Gemini, kasoro hiyo ya ujivuni, nafikiri kumjua Mungu mapema, kujali wengine na jinsi nilivyolelewa vimenisaidia kuepuka hilo.
Japo kwa bahati mbaya, mtu akiniona kwa mara ya kwanza, anasema ninaringa, najisikia sana. Akinizoea ananiambia mwenyewe, nilikuona uko hivi, kumbe hauko hivyo. Una muonekano tofauti na matendo yako. Hata tulioonana tokea humu JF watakuwa mashahidi kwa hili.
π π π π π binadamu hata uweje, lazima wakupe sifa isiyo yako kwanza. Baadaye ndiyo wanajua walikosea. Umemisika sana sana wewena mzew wa Hall V.Haha tatizo ni sista duu sana, mtu akikuangalia anakaa mita 18
Na kama huna shobo
Hapa waswahili lazima tuseme wewe ni mjivuni.
Kheri ya mwaka mpya kwanzaπ π π π π binadamu hata uweje, lazima wakupe sifa isiyo yako kwanza. Baadaye ndiyo wanajua walikosea. Umemisika sana sana wewena mzew wa Hall V.
Asante saana mkuu.Kheri ya mwaka mpya kwanza
Kwako na kwa mzee wa halll v Mr sumbai
Mwaka huu muongezeke maradufu kwenye kila kitu.
I'm grateful mkuu.Kheri ya mwaka mpya kwanza
Kwako na kwa mzee wa halll v Mr sumbai
Mwaka huu muongezeke maradufu kwenye kila kitu.
Thanks BLπ π π π π binadamu hata uweje, lazima wakupe sifa isiyo yako kwanza. Baadaye ndiyo wanajua walikosea. Umemisika sana sana wewena mzew wa Hall V.