Gemini (Mapacha) wenzangu mnatumia mbinu gani kushindana na Egoism?

Gemini (Mapacha) wenzangu mnatumia mbinu gani kushindana na Egoism?

Mimi ni Gemini tena nawafungia dimba, 20/06. Nina tabia nyingi za Gemini, kasoro hiyo ya ujivuni, nafikiri kumjua Mungu mapema, kujali wengine na jinsi nilivyolelewa vimenisaidia kuepuka hilo.

Japo kwa bahati mbaya, mtu akiniona kwa mara ya kwanza, anasema ninaringa, najisikia sana. Akinizoea ananiambia mwenyewe, nilikuona uko hivi, kumbe hauko hivyo. Una muonekano tofauti na matendo yako. Hata tulioonana tokea humu JF watakuwa mashahidi kwa hili.
 
Mimi ni Gemini tena nawafungia dimba, 20/06. Nina tabia nyingi za Gemini, kasoro hiyo ya ujivuni, nafikiri kumjua Mungu mapema, kujali wengine na jinsi nilivyolelewa vimenisaidia kuepuka hilo.

Japo kwa bahati mbaya, mtu akiniona kwa mara ya kwanza, anasema ninaringa, najisikia sana. Akinizoea ananiambia mwenyewe, nilikuona uko hivi, kumbe hauko hivyo. Una muonekano tofauti na matendo yako. Hata tulioonana tokea humu JF watakuwa mashahidi kwa hili.
Kuna hii Rising sign ni kama mask ambayo mtu huvaa kuficha halisi wake, mara nyingi rising sign represents your outer personality what the world first sees in you.
 
Evidence ya behaviors? You must be joking anyway, soma post #26 among few! Kama hutaki wewe tu, wengine wote wanaprove kwamba wanabehave namna hiyo!
Weka evidence kwamba uvutano wa dunia na mwezi unasababisha menstrual cycle.

Unafuatilia mazungumzo au unadandia treni kwa mbele tu?
 
kwa ku google tu umekuja na conclusion wewe gemin. haya mambo ya nyota nyota bas tu tuwalaumu walioleta. unapata shida sana unajiona na unajisifia kujificha kwenye kivul cha kujita gemini. nikuulize hivi umeshaweza kuyaelewa mambo ya elimu hio unayozungumzia? umesha cover vitabu vingap ukajua hasa kwneye makororko ya astrology hizo unazoita nyota zipo vip? muda na siku uliyozaliwa umevijua? umeshasoma kitabu kinaitwa kitaab bahga al taarif fii ilm al huruf. ? impact ya heruf.na majina.
rekebishq tabia yako ujivuni alikua nao firauni na kakaa miaka 300 hana hata mafua .
 
Knowledge ni nini? Unajuaje hii ni knowledge na hii ni kabobo ya mumbo jumbo tu?
Knowledge ni familiarity or undestanding gained through experience/education.

Science ni sehem tu ya elim, hivo haiwezi kuthibitisha kila knowlege.
 
Knowledge ni familiarity or undestanding gained through experience/education.

Science ni sehem tu ya elim, hivo haiwezi kuthibitisha kila knowlege.
Utajuaje hii ni knowledge na hii ni illussion ya knowledge lakini si knowledge?
 
Sijui kuhusu nyota ila mimi nahisi nna shida ambayo inafanana kidogo na hii...naweza jua kabisa nna makosa ila siwezi kukiri mbele za watu.Ni bora nisimame mwenyewe nikiwa sipo sahihi kuliko kukubali hayo.
Huu ndiyo uchawi Sasa ukisikia wanaita mchawi itika beee
 
Utajuaje hii ni knowledge na hii ni illussion ya knowledge lakini si knowledge?
Kujua knowlegde fulani ni illussion/fact, ni lazima uifanyie analysis knowldge husika, na si kutumia knowldge nyingine kuithibitisha.

Huwezi tumia grammar(language knowldge) kuthibitisha uwepo energy(science knowldge), hiki ndo ulikua unakifanya huko juu.
 
Challenging Attributes of a Gemini
One of the reasons Geminis have difficulty making decisions is because they are overthinkers. They can be indecisive and unreliable, and it can be hard for a Gemini to commit to things. Agreeing to do something in the moment often feels right, but later (when something more exciting happens), a Gemini’s attention shifts and wanders.

Sometimes Geminis receive a bad reputation for hurting others. When they are feeling depressed or sad, lashing out at others verbally becomes a pattern of theirs. The comments they make can become sarcastic, cutting, and condescending. The person on the other end will either verbally strike back to defend themselves or be so dumbfounded that they retreat. Those who are tolerant will realize this behavior happens when Geminis are in a bad mood—and their mood fluctuates often.
 
Kwa mujibu WA elimu ya Astrology kipengele cha Zodiac ,Watu WA nyota ya Mapacha( Gemini) ni watu walio zaliwa Kati ya tarehe 21 May Hadi 20 June.

Watu WA nyota ya Mapacha wana sifa moja common dunia nzima.

They are so proud ( wajivuni kupita kiasi)

They have got the most biggest egos in the universe.

Wana Amini wao ni bora Kuliko mtu yoyote yule duniani.

Wanajifanya wanajua ( much knows) pengine Kuliko mtu yoyote duniani.

They are arrogance

Unapo zungumzia watu WA nyota ya Mapacha unazungumzia watu kama vile :

1. Donald Trump.

2. Kanye West.

3. Pac and Biggie.

4. TID

5. Lady Jay Dee.

6. Giggy Money. etc.

Wote hawa wana sifa kuu zinazo fanana.

They are so proud/ they have big egos, they are so arrogant etc.

Mimi pia ni Gemini. Nina Amini Mimi ndio kiumbe wa Mwenyezi Mungu mwenye ego kuu Kuliko kiumbe yoyote yule duniani. Not even Lucifer can beat me.

Nina Amini katika viumbe wote wa Mwenyezi Mungu Mimi ndio kiumbe wake bora Kuliko yoyote yule.

Nina Amini ukimuondoa Mwenyezi Mungu, Hakuna kiumbe yoyote yule awe jini au Malaika whichever come first ambae yupo juu kuzidi Mimi.

Nimeishi na dhana hii tangu utoto wangu.

Sababu kuu iliyo nifanya nikache Dini niliyo irithi Kwa wazazi wangu ni kuji assess na kugundua kwamba Hakuna mahali popote kwenye Holy Qur'aan, Taurati, Zaburi ama Injili ambayo inasimama na Mimi.

Kwa mfano Qur'aan na Bible Zina sema Mariam mama wa Yesu ndio mama bora Alie barilkiwa Kuliko wanawake wote duniani ila Mimi ndani ya nafsi yangu Nina Amini mama yangu mzazi alonizaa ndio mama bora kabisa duniani tangu dunia iumbwe.

Nimejaribu Ku surpress my ego but all in vain. Nothing on earth can ever make me to swallow my pride . Nimeamua kuishi my pride .

Nyie wenzangu mmefanyaje au mnafanyaje?.


N.b: Nilijiunga JF mwaka 2012 kama njia moja wapo ya kufanya therapy to put my Ego on the line Kwa sababu in real life I don't engage with people they way I am doing here.

Imenisaidia Kwa kiasi chake Kwa sababu at least naweza kujibizana na watu hapa.

Hata ninapo andika threads za kuwasifu watu hapa jf huwa nafanya therapy ya kudeal with my ego Kwa sababu in real life I don't talk about people and I don't talk to people cause I don't know anything that me and them can talk about.

Nikinywa wine huwa ina saidia kusurpress my ego at a moment. Naweza kumpigia mtu simu etc but kesho Yake I will blame my self
Umesahau kumweka hapo Pdidy mkuu
 
Mimi ni Gemini tena nawafungia dimba, 20/06. Nina tabia nyingi za Gemini, kasoro hiyo ya ujivuni, nafikiri kumjua Mungu mapema, kujali wengine na jinsi nilivyolelewa vimenisaidia kuepuka hilo.

Japo kwa bahati mbaya, mtu akiniona kwa mara ya kwanza, anasema ninaringa, najisikia sana. Akinizoea ananiambia mwenyewe, nilikuona uko hivi, kumbe hauko hivyo. Una muonekano tofauti na matendo yako. Hata tulioonana tokea humu JF watakuwa mashahidi kwa hili.
Haha tatizo ni sista duu sana, mtu akikuangalia anakaa mita 18

Na kama huna shobo

Hapa waswahili lazima tuseme wewe ni mjivuni.
 
Haha tatizo ni sista duu sana, mtu akikuangalia anakaa mita 18

Na kama huna shobo

Hapa waswahili lazima tuseme wewe ni mjivuni.
😅😅😅😅😅 binadamu hata uweje, lazima wakupe sifa isiyo yako kwanza. Baadaye ndiyo wanajua walikosea. Umemisika sana sana wewena mzew wa Hall V.
 
Back
Top Bottom