GWAMAKA USWEGE
JF-Expert Member
- Feb 23, 2023
- 1,398
- 5,198
- Thread starter
- #161
Kama una hiki kitabu mkuu, ni P^M , Wanangu wata enjoy sana .
Hebu tembelea bookstores pale Samora Avenue
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama una hiki kitabu mkuu, ni P^M , Wanangu wata enjoy sana .
Shukrani kwa muongozo mkuuHebu tembelea bookstores pale Samora Avenue
umekipata?Kama una hiki kitabu mkuu, ni P^M , Wanangu wata enjoy sana .
Bado sikakipata mkuu, hata nikipata soft copy, Nina printer, Nitakiprint kwa matumizi ya Mwanangu tu .umekipata?
Nilishuka nayo JKNA mwaka 1987 nikitokea kwa matajiri wa mafuta ambao walibadili mafuta kwa maendeleo ya wananchi waoSony walkman zilikuwepo bongo? Labda kwa washua.
Dah.. Umenikumbusha Windows 3.1 na DOS... back in 1994...
Zilikuwepo. Nilikuwa nayo hadi 2005 nikauza. Mi siyo wa JoshuaSony walkman zilikuwepo bongo? Labda kwa washua.
Kuna show inaitwa stranger things bwana, niliziona mule basi nikajua ni vitu flani vya kishua, vya wazunguZilikuwepo. Nilikuwa nayo hadi 2005 nikauza. Mi siyo wa Joshua
Sikumbuki lakini ilikuwa expensive kiasi chake.Kuna show inaitwa stranger things bwana, niliziona mule basi nikajua ni vitu flani vya kishua, vya wazungu
Bei yake ilikuwaje muda huo hata sijazaliwa
Kwani millennials hawa beti.Ushasema Gen Z. kwa taarifa yako hata mambo ya kisasa hawajayafehemu.
Wanajua kubet kuliko waliotengeneza hizo mashine
Hao ni lost generationKwani millennials hawa beti.
"Siyo Siri ni Revola" 🤣🤣🤣Huu Uzi batili na unastahili kufutwa. Nimeona comments zote ila sijaiona Revola. Malegendari wanaijua nguvu ya Revola
Dah.. Umenikumbusha Windows 3.1 na DOS... back in 1994
Kweli umezitumia mzee 🤣Hello Moto 🤣
Tim mwenyewe 😀😀😀