tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Hii kitu nimeitumia hadi mwaka 2004 mkuuView attachment 3144115
Gen Z, hawajawahi kutumia Floppy 😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu nimeitumia hadi mwaka 2004 mkuuView attachment 3144115
Gen Z, hawajawahi kutumia Floppy 😁
Mwaka 2009 kuna demu wangu Mjerumani aliniachia hii yangu ilikuwa nyeusiView attachment 3144114
Hii hapa nilitamba nayo sana miaka ya 2005-2006. Ilikuwa inabeba nyimbo 300 🤣🤣
washua hawapo bongo?Sony walkman zilikuwepo bongo? Labda kwa washua.
Jenny Matrix 2024
Mbona viazi vimefungwa kama furushi la nyama.
Umeme ulikatika na mimi nilikuwa naangalia Jason's Lyrics na masela dah🥹 halafu tulikuwa tumetoroka hostel kwa hiyo lazima jioni tusepe. Nilitamani kuondoka na dekiView attachment 3144044
Gen Z, hii kitu ilikuwa inafungiwa chumbani kwa baba, inatolewa jumamosi tu baada ya kumaliza kazi za nyumbani. Ninyi kizazi cha nyoka hamuwezi kuelewa 🤣
Umeme ulikatika na mimi nilikuwa naangalia Jason's Lyrics na masela dah🥹 halafu tulikuwa tumetoroka hostel kwa hiyo lazima jioni tusepe. Nilitamani kuondoka na deki
Hii kitabu niliiba kabatini kwa mjomba, ilinipa sana mademu enzi hizo.
Darasa la 3,4,5,6 English
Siku hizi wanataka wapate elimu kwa kuwawekea filamu.Ukiwapa changamoto ndogo tu wasome kitabu kama "The mine boy,Song of Lawino & Okol,The lonely hill" watalalamika ni vikubwa sana halafu vina lugha tata.Watavikacha tu.