Kada wa CCM hana tofauti na nguruwe π subiri makombo!
Vijana walamba miguu ya wenzao ni hasara kwa Taifa na ni fedheha kwa wazazi wao!Kamanda mwenye kibiongo Hana tofauti na nguruwe anayesubiri kuliwa.
Zingaty tofauti ya kamanda mwenye na asiye na kibiongo.
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Kwamba mkiwa busy mnazungusha mnayegemea nani kuwapigania?
Bure kabisa!
Vijana walamba miguu ya wenzao ni hasara kwa Taifa na ni fedheha kwa wazazi wao!
Mtoto si riziki wewe!
Mimi na baba yako siyo Gen Z, lakini tuna masikitiko kuwa na litoto siyo riziki ni heri baba yako angepiga punyeto!Riziki utakuwa wewe mwenye kuitisha wengine ila wewe haumo?
Bure kabisa!
Mimi na baba yako siyo Gen Z, lakini tuna masikitiko kuwa na litoto siyo riziki ni heri baba yako angepiga punyeto!
Mimi na baba yako tunasikitikia uzee wako ukiwa fukara na mtumwa! Sisi kazi tumeimaliza ila tungefurahi kuona uzee wako unakuwa bora kuliko sisi!Makasiriko ya nini ndugu?
Kwa hiyo wewe siyo Gen Z na hapa upo kuwaitisha Gen Z?
Kama ndivyo huoni uko kama unawaitisha kama huyu mwamba hapa Kwa maslahi yako tu?
View attachment 3063276
Hudhani kama wewe haumo kwenye wito huo busara ilikuwa kukaa kimya kuwasubiri waitishane wenyewe?
Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi
Tafakari, unadhani uzi huo haukuhusu?
Kutumia wengine kama kama ndomu haikubaliki.
Mimi na baba yako tunasikitikia uzee wako ukiwa fukara na mtumwa! Sisi kazi tumeimaliza ila tungefurahi kuona uzee wako unakuwa bora kuliko sisi!
Amka pigania haki yako achana na uchawa! Uchawa siyo dili, ungana na wenzako kupigania rasilimali za nchi yako!
Hongera!Hongera!
Mimi sio generation Z ni millenial kwa hiyo haya nayoongea ni kufanya reality check.Kwanza ulianza kulaumu kuwa sisi tulifanya nini! Hii ni hoja mfu kwani enzi zetu hakukuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo sasa ya bandari, madini, misitu, Ngorongoro, Loliondo, KIA nk.
Pili idadi ya wasomi enzi hizo ilikuwa ndogo kwa hiyo nguvu yao siyo kama hivi sasa. Sasa kuna vijana wasomi wengi ambao wakiungana wezi na waporaji wataogopa.
Kumbuka enzi zetu hatukuwa na tatizo la ajira kama leo na wala hatukuwa na tatizo la kazi za kuajiriwa au kujiajiri bali tulikuwa na tatizo la elimu na ujuzi wa kufanya kazi! Darasa la saba aliweza kuajiriwa serikalini na sasa ndiyo wanakula pension kitu ambacho kwa sasa ni ndoto!
Tatu ni kuwa wengi wa enzi zetu hawana tatizo la ajira wala kazi, ni wazee ama wamestaafu au wanaelekea kustaafu. Hivyo kwa kuwa tunaona hali ya maisha ilivyo ngumu na tunaona kesho yenu itakuwa ngumu zaidi tuko tayari kuwaunga mkono endapo mtakuwa wamoja kupambania maisha yenu ya sasa na kesho.
Umoja wenu ndiyo kesho yenu njema!
Sijakataza mtu asifanye ila vizazi vilivyopita visijione kama vinastahili kunyooshea vidole vizazi vya sasa kwa kushindwa kuondoa vitu ambavyo wao waliviruhusu vitokeeWao kutokufanya haihalalishi sisi kutokufanya
Sijakataza mtu asifanye ila vizazi vilivyopita visijione kama vinastahili kunyooshea vidole vizazi vya sasa kwa kushindwa kuondoa vitu ambavyo wao waliviruhusu vitokee
OkayWewe ni mmoja wa ndugu zangu ninaowaamsha! Kuamka ni hiari yako na kesho ni yako!
GenZ ni vijana wasomi kama ulivyowasikia wakenya, hawa wetu ni wa uchawambuzi wa mpira na kubeti, hawajui dunia inaendaje.Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.
Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.
Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!
HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!
VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!
VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU
VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!