GEN Z ya Tanzania tuna akili sana

we ni kapumbavu kajinga ka kwanza hivyo ndivyo nilivyo kutathimini
 
Ukiambiwa maana ya G-Z ni nini wala hujui; wengi wa G-Z wa Tanzania hawajihusishi sana kwa kuandika uozo kama wako. Wewe labda ni Millenia na kushuka
 
Nikweli maana huku gen z ni generation Zero! Na hakika wanachoweza ni kubet,kucheza pool table na kupiga puli.... Ptuuh!!
 
Sijui wewe unaandika nini hapa,ugumu wa maisha unachagua huyu ni mzee huyu ni kijana?,umeandika upoloto tupu hapa halafu unajiita gen Z
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…