Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #61
Muulize mama yakoKwanza na tufahamu wewe GenZ mbogo au Kizee cha Kibongo,kabla hatujaendelea na je ni utashi wako ama unachovya mguu kwenye dimbwi la Mamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muulize mama yakoKwanza na tufahamu wewe GenZ mbogo au Kizee cha Kibongo,kabla hatujaendelea na je ni utashi wako ama unachovya mguu kwenye dimbwi la Mamba.
Haya Mama Majibu tafadhali.Muulize mama yako
MamaHaya Mama Majibu tafadhali.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Yaani katika kitu nimewakubali gen z ya Tanzania ni kutokuandamana sababu kuna mizee ambayo ujanani kwao ilichezea pesa Sasa hivi maisha Yao magumu yanaanza kushawishi vijana eti waandamane hivi jamani Kwa akili ya kawaida yaani kijana afe azikwe aoze halafu lizee liishi liponde raha Kwa damu ya kijana iliyomwagika hii ni akili au matope.
Yaani enzi zao yalizubaa nchi ikaliwa na Nyerere wakabaki kuchekacheka tu kumbe Nyerere alikua tapeli namba Moja halafu nashangaa watu wanakalia kumuita mtu tapeli kama Nyerere eti baba wa Taifa hii kauli inanikeraga sana. Nyerere ndio mwanzo wa maisha mabovu ya watanzania ila mizee ilishindwa kumuambia ukweli Leo hii inasema vijana tuandamane nasema hapa haandamani mtu mpaka mfe na njaa nyie wazee.
Mbona mashambulizi kwa Paul15 Mgoshii.Wewe ni dogo sana, hata huu uhuru wa kuandika utumbo wako hapa, kuna watu walioupigania,
Tuliokuwepo enzi Nyerere, Redio moja na magazeti ya serikali tu, ndio tunajua Hali ilikuwaje,
Kuna watu waliwekwa kizuizini ndio ukapata nafasi ya kuandika huu utumbo,
Naudia Tena punguza kiherehere,
Gen Z ya Tz 😃😃😃Kwamba? ???
😁😁Mtajua mwenyewe mkuu.Gen Z ya Tz 😃😃😃
Ntu menyewa anakuwa nkali kaa kalishwa pii pii.Uzi wako wa jana nilikuunga mkono lakini wa leo🚮
Wewe sio Gen Z! Ni m'baba mwenye kitambi fisadi lililokubuu unakula kodi zetu kutwa! au ni Chawa uliyepewa buku 7 kuanzisha kampeni ya kutupumbaza Gen Z wa Tz
Muda utafika waliokufa watafufuka.
Sio kweli unanisingiziaUkishaambiwa ephen wangu ,machozi yanabubujika kwishaaa😁😁
Tom Mboya wa Kenya aliwahi kusema ujamaa wa ni 'euphemism for laziness' yaani 'tafsida ya uvivu'Nyerere alikua tapeli namba Moja halafu nashangaa watu wanakalia kumuita mtu tapeli kama Nyerere eti baba wa Taifa hii kauli inanikeraga sana. Nyerere ndio mwanzo wa maisha mabovu ya watanzania ila mizee ilishindwa kumuambia ukweli
Kwani hatuoni unafikiri 😊Sio kweli unanisingizia
Point hiii.Sasa hapa Bongo kati ya wazee na vijana ni nani anakufa njaa?
Wewe sio Gen Z, wewe ni Gen Mavi.
Nyerere amekufa mwaka 1999, hadi sasa ni miaka 25, robo ya karne bado wapumbavu wanalaumu kufeli kwao kwa kumsingizia Nyerere.Yaani katika kitu nimewakubali gen z ya Tanzania ni kutokuandamana sababu kuna mizee ambayo ujanani kwao ilichezea pesa Sasa hivi maisha Yao magumu yanaanza kushawishi vijana eti waandamane hivi jamani Kwa akili ya kawaida yaani kijana afe azikwe aoze halafu lizee liishi liponde raha Kwa damu ya kijana iliyomwagika hii ni akili au matope.
Yaani enzi zao yalizubaa nchi ikaliwa na Nyerere wakabaki kuchekacheka tu kumbe Nyerere alikua tapeli namba Moja halafu nashangaa watu wanakalia kumuita mtu tapeli kama Nyerere eti baba wa Taifa hii kauli inanikeraga sana. Nyerere ndio mwanzo wa maisha mabovu ya watanzania ila mizee ilishindwa kumuambia ukweli Leo hii inasema vijana tuandamane nasema hapa haandamani mtu mpaka mfe na njaa nyie wazee.
Njaa yake inampa hasira na kaamua kuimaliza kwa kuja na uzi wa kumlaumu Nyerere aliyekufa 1999.Uzi wako wa jana nilikuunga mkono lakini wa leo🚮
Wewe sio Gen Z! Ni m'baba mwenye kitambi fisadi lililokubuu unakula kodi zetu kutwa! au ni Chawa uliyepewa buku 7 kuanzisha kampeni ya kutupumbaza Gen Z wa Tz
Muda utafika waliokufa watafufuka.
Mtoto mdogo huyu maziwa mdomoni, akili zao ndio hizi.Nyerere amekufa mwaka 1999, hadi sasa ni miaka 25, robo ya karne bado wapumbavu wanalaumu kufeli kwao kwa kumsingizia Nyerere.
Mnaropoka tu ila hamujui mnachoandika. Hivi mnajuwa kuwa Nyerere alizuia kuchimbwa madini kwenye migodi kwa sababu miaka ya 1960-80s nchi haikuwa na wasomi? Kuna maeneo kama North mara aliweka kambi ya JKT ya Buhemba ili watu wasichimbe.
Alisema kama sisi hatuna uwezo wa kuchumba, tusubiri kizazi kijacho kije kipate elimu ndipo tuanze exploration. Na uchimbaji madini ulianza mwaka 1997 wakati wa Mkapa na mpaka sasa madini yaliyochimbwa hayafiki 5% ya yaliyopo chini ya ardhi.
Sasa mnamlaumu Nyerere kwa kitu gani wakati aliwawekea akiba ya raslimali??
Kumbe huwa unanionea wivu😂Safi sana bora wamekuambia 😁😁😁