cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Nyokooo weyeee kwa kupenda umbeyaa haujamboo, mbezi wazima??Hii utandawazi ipo kasi zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyokooo weyeee kwa kupenda umbeyaa haujamboo, mbezi wazima??Hii utandawazi ipo kasi zaidi[emoji23][emoji23][emoji23]
Subiri na comment yako ifutwe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna comments chache, ni uzi ulisuswa au kuna mafekechee yalifanyika??
hakuna aliyekukataza kulia kisa wewe ni mwanaume,tunakataza kunyong'onyea ukiwa na suruali.kwamba wakati wote unatakiwa utulize akili zako maana maamuzi yako yanabeba hatima ya wengi.Mkuu namchukia sana alie leta habari za gender leo mm mtoto wakiume naumizwa nashindwa kulia au kuongea kwa uwazi kisa tu mwanaume tume mezeshwa vitu vya kijinga that why tunakufa mapema kisa kuficha hisia
Gender imefungamanishwa na majukumu ya kijamii.Kwa hiyo maana ya gender ni mavazi? Au ni nini haswa, sijaelewa samahani
Mfano sex kuna mwanamke na mwanaume, kwenye gender kuna nini?
Bado sijapata jibu la moja kwa moja, gender ni nini?Gender imefungamanishwa na majukumu ya kijamii.
Kwamba kuna majukumu 'yakike' na 'yakiume'
😂😂😂😂Kabla sijasahau nyoooko nawwe wewe pia mpenda umbea. Ndio maana kama tunaanza chemistry hivi mbezi wazima huku uko vpNyokooo weyeee kwa kupenda umbeyaa haujamboo, mbezi wazima??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuwa mwanamke Sasa acha kulia liaIpo hivi my fact kuna sio kwenye nguo ila nimechukulia mfano ili apate kunielewa kwa uwepesi
Kuna vitu katika jamii yetu leo mimi nikionekana na fanya lazima nitadharaulika
Mfano mimi nimeumizwa na kitu hasira imepanda sana lakini natamani kulia au kuongea na watu ili wajue yaliyo ni thibu ila jamii imenitengeneza mimi kuwa sipaswi kulia au nitakapo jaribu kushare na watu tatizo lile wapo watakalo liona ni dogo sana kwa mwanaume kwasababu jamii imemtengeneza mwanaume kutoweza kuonyesha feeling zake mbele za hadhara ndio maan tunarudiwa kutendewa makosa yale yale kila siku kwasababu wengine hawajui kama haya tunayotendewa yana tuumiza tofauti na mwanamke akichukia ata show kuwa amechukuia na mtu atakuwa chonjo kutofamfanyia lile tena kwasababu anatambua kuwa atakwazika hapo sijui umenielewa
Wengi tumetoka bilabilaNani mwengine aliyeelewa anisaidie maana nimetoka kapa