Morogoro kaskazini
JF-Expert Member
- Jul 5, 2020
- 2,392
- 9,187
Tatizo MLI ruhusu mashoga kujiunga na jeshi mnaudhaifu mkubwa kwenye ujasusi na MNA mafunzo duni hakuna inchi mnayoweza kuipiga.Mashababi jeshi la allah wenu hua sio rahisi kupigana nao maana hujitolea kufa ili wawahi mabikira walioahidiwa, hao kupigana nao kunahitaji na sisi tuahidiwe mabikira kama mlivyoahidiwa.
Ombeni sana Huyo dogo asichukue urais maana Nairobi ndio itakuwa bye bye