General Muhoozi, mtoto wa Museveni kaitishia Kenya kwa mara ya pili

General Muhoozi, mtoto wa Museveni kaitishia Kenya kwa mara ya pili

Screenshot_20220903-130447.png
 
Awalipue tu Hawa washenzi nawachukia wanajiona na walimpiga akiwa mtoto so naye kakua so wanyooshwe tu kama vipi watangaze vita .

Kama noma ni noma tu revenge mtu wangu
 
Ukiona hivyo jua ya kwamba kuna jambo ambalo linaweza leta mivutano ndani ya kenya wenyewe kwa wenyewe kwa hiyo hapo kunachezwa karata tatu ya kutwist people's mind badala ya kutwangana wenyewe kwa wenyewe wataanza ku concentrate kwa mtoto wa museveni hii mbinu hata kipindi chá uchaguzi mwakajana ,kenya ilitumika na ilisaidia kuwaunganisha wa kenya
 
Kitendo cha Ruto kipeleka KDF Congo DRC kunamchefua Dogo kumbuka hawa ni mahasimu wakubwa.
 
Huyu jamaa huwa ni mental case
True behaviour ya mtu inatengenezwa na yale aliyoyapitia: lazima kila mwanajeshi atamani kupigana. Tazama Kagame, Kiduku, Putin et cetera
 
Siasa tu hizo!

Hakuna mental case hapo!

Wale jamaa wa mambo hayo wanajua fika Nini kijana wa mseven anafanya!
Kuna siku watu wanaweza wakakudaka na kuanza kukugonga wasamilia wakataka kuingilia kukusaidia na wewe utawakataza na kuwaambia "waacheni, ni siasa tu hizi".

Katika hili la mtoto Museven hapo siasa ipo wapi? Si bora hata ungesema ni mchangamshaji tu huko Twitani?
 
Mtoto wa Museveni na mtoto wa kagame wanaandaliwa kuwa maraisi baada ya wazazi wao kufa.
 
Wakenya watakuwa soup sasa. I can't wait to drink that soup na pili pili za mwendokasi pata picha nashika lipaja la Mk254 nalipiga mwenyewe na pombe kali. Gordon's
 
Kwa mara ya pili mtoto wa Rais wa Uganda, General Muhoozi kaitishia Kenya kwa mars ya pili, na kusema nitakuja for sure. Na anadai wakenya wamuombe msamaha yeye.

View attachment 2491068
Mara ya kwanza Museveni aliomba Wakenya wamsamehe kijana wake ila kwa sasa kurudi tena.

Kwa sasa tweet hizi zimefutwa!

View attachment 2491069
On a serious note kuna Mtu aliye Jirani nae ( tena Mtu wa Press ya Baba yake ) nina Mawasiliano nae kanihakikishia kuwa Muhoozi Kainerugaba anavuta sana Bange na kuna muda pia huwa anakunywa Pombe Kali hadi anachanganyikiwa kufanya Vitendo ambavyo huwezi amini kuwa vinafanywa na Mtoto mkubwa wa Rais.

Ukweli ni kwamba Baba yake ( Mheshimiwa Rais Museveni ) hapendi na anachukizwa zaidi na haya ayafanyayo ila Kikwazo ni Mama yake Mzazi ( First Lady Janet ) ambaye anampenda Kijana wake huyo wa Kipekee kuliko Kitu chochote na ukitaka Kugombana nae mseme vibaya Muhoozi.

Nimalizie tu kwa Kuwatoa Hofu juu ya Kauli hizi za Kipuuzi za Muhoozi Kainerugaba ( Mtoto wa Rais Museveni wa Uganda ) na kwamba hakuna atakachoweza kukifanya kwa Kenya na nashukuru hajawahi Kuitaja Tanzania kwani hata Baba yake anaijua Tanzania hasa ilivyo imara Kijasusi na Kijeshi kuliko Uganda yake na jinsi ilivyomsaidia na inavyomsaidia kuwa hapo hadi hii leo.

Msameheni tu bure huyu Muhoozi Kainerugaba kwani kwa 99,9% hii siyo Akili yake bali ni Akili ya Mchanganyiko wa Bange na Pombe zake Kali za Urusi anazozipenda.
 
On a serious note kuna Mtu aliye Jirani nae ( tena Mtu wa Press ya Baba yake ) nina Mawasiliano nae kanihakikishia kuwa Muhoozi Kainerugaba anavuta sana Bange na kuna muda pia huwa anakunywa Pombe Kali hadi anachanganyikiwa kufanya Vitendo ambavyo huwezi amini kuwa vinafanywa na Mtoto mkubwa wa Rais.

Ukweli ni kwamba Baba yake ( Mheshimiwa Rais Museveni ) hapendi na anachukizwa zaidi na haya ayafanyayo ila Kikwazo ni Mama yake Mzazi ( First Lady Janet ) ambaye anampenda Kijana wake huyo wa Kipekee kuliko Kitu chochote na ukitaka Kugombana nae mseme vibaya Muhoozi.

Nimalizie tu kwa Kuwatoa Hofu juu ya Kauli hizi za Kipuuzi za Muhoozi Kainerugaba ( Mtoto wa Rais Museveni wa Uganda ) na kwamba hakuna atakachoweza kukifanya kwa Kenya na nashukuru hajawahi Kuitaja Tanzania kwani hata Baba yake anaijua Tanzania hasa ilivyo imara Kijasusi na Kijeshi kuliko Uganda yake na jinsi ilivyomsaidia na inavyomsaidia kuwa hapo hadi hii leo.

Msameheni tu bure huyu Muhoozi Kainerugaba kwani kwa 99,9% hii siyo Akili yake bali ni Akili ya Mchanganyiko wa Bange na Pombe zake Kali za Urusi anazozipenda.

Hasa mtu anapanga mipango ya urais na Bebecool wakiwa cassino wanavuta na kunywa useme pana watu pale? Yaani bebecool ndio anamuunganisha na vijana wa uganda,
 
True behaviour ya mtu inatengenezwa na yale aliyoyapitia: lazima kila mwanajeshi atamani kupigana. Tazama Kagame, Kiduku, Putin et cetera
Nasema mental case sababu anajitekenya mwenyewe af anacheka yy na baba ake.. Huyo mtu wa hvo unadhan ana akili timamu, ulevi wa madaraka umewatoa akili hadi kutumia cheap tricks kiasi hicho kutaka kuja kuwarubuni wananchi wao.
 
On a serious note kuna Mtu aliye Jirani nae ( tena Mtu wa Press ya Baba yake ) nina Mawasiliano nae kanihakikishia kuwa Muhoozi Kainerugaba anavuta sana Bange na kuna muda pia huwa anakunywa Pombe Kali hadi anachanganyikiwa kufanya Vitendo ambavyo huwezi amini kuwa vinafanywa na Mtoto mkubwa wa Rais.

Ukweli ni kwamba Baba yake ( Mheshimiwa Rais Museveni ) hapendi na anachukizwa zaidi na haya ayafanyayo ila Kikwazo ni Mama yake Mzazi ( First Lady Janet ) ambaye anampenda Kijana wake huyo wa Kipekee kuliko Kitu chochote na ukitaka Kugombana nae mseme vibaya Muhoozi.

Nimalizie tu kwa Kuwatoa Hofu juu ya Kauli hizi za Kipuuzi za Muhoozi Kainerugaba ( Mtoto wa Rais Museveni wa Uganda ) na kwamba hakuna atakachoweza kukifanya kwa Kenya na nashukuru hajawahi Kuitaja Tanzania kwani hata Baba yake anaijua Tanzania hasa ilivyo imara Kijasusi na Kijeshi kuliko Uganda yake na jinsi ilivyomsaidia na inavyomsaidia kuwa hapo hadi hii leo.

Msameheni tu bure huyu Muhoozi Kainerugaba kwani kwa 99,9% hii siyo Akili yake bali ni Akili ya Mchanganyiko wa Bange na Pombe zake Kali za Urusi anazozipenda.
Kama hali ndio Hiyo!

Bas ana tatizo la kiroho Zaid na linatibika kwa kutibu Roho na nafsi na akawa tuamini jipya kwa matumizi ya Baadae!!

Kama sober house wameshindwa bas ibada au kisomo cha ukombozi kitahitajika Zaidi!
 
Back
Top Bottom